kitali
JF-Expert Member
- Apr 6, 2012
- 5,204
- 8,315
Ushoga upo Zanzibar nenda kwenye data uchunguz wa kitaifa mwaka huuNani kampongeza? Tumesema Papa kasema Israel ni magaidi huo ushoga mtabakia nao wenyewe.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ushoga upo Zanzibar nenda kwenye data uchunguz wa kitaifa mwaka huuNani kampongeza? Tumesema Papa kasema Israel ni magaidi huo ushoga mtabakia nao wenyewe.
Fungua uzi wa ushoga tutakuja kujadili hoja. hapa Papa anasema Israel ni magaidi wanauwa watoto Gaza. Soma na hiiUshoga upo Zanzibar nenda kwenye data uchunguz wa kitaifa mwaka huu
Wanaukumbi.
NDANI TU: 🇮🇱 🇵🇸 Papa Francis anasema vita vya Israel huko Gaza ni "ugaidi."
"Ninaendelea kupokea habari nzito na zenye uchungu kutoka Gaza. Raia wasio na silaha wanakumbana na milipuko ya mabomu na risasi. Mama na binti yake waliuawa na wavamizi wa Israel walipokuwa wakienda chooni. Ni ugaidi."
View: https://x.com/bricsinfo/status/1824470915104526615?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
Papa atasema kisha atalala ila Operation dhidi ya magaidi iko pale pale.Nani kampongeza? Tumesema Papa kasema Israel ni magaidi huo ushoga mtabakia nao wenyewe.
Wanaukumbi.
NDANI TU: 🇮🇱 🇵🇸 Papa Francis anasema vita vya Israel huko Gaza ni "ugaidi."
"Ninaendelea kupokea habari nzito na zenye uchungu kutoka Gaza. Raia wasio na silaha wanakumbana na milipuko ya mabomu na risasi. Mama na binti yake waliuawa na wavamizi wa Israel walipokuwa wakienda chooni. Ni ugaidi."
View: https://x.com/bricsinfo/status/1824470915104526615?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
Wanaukumbi.
NDANI TU: 🇮🇱 🇵🇸 Papa Francis anasema vita vya Israel huko Gaza ni "ugaidi."
"Ninaendelea kupokea habari nzito na zenye uchungu kutoka Gaza. Raia wasio na silaha wanakumbana na milipuko ya mabomu na risasi. Mama na binti yake waliuawa na wavamizi wa Israel walipokuwa wakienda chooni. Ni ugaidi."
View: https://x.com/bricsinfo/status/1824470915104526615?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
Wanaukumbi.
NDANI TU: 🇮🇱 🇵🇸 Papa Francis anasema vita vya Israel huko Gaza ni "ugaidi."
"Ninaendelea kupokea habari nzito na zenye uchungu kutoka Gaza. Raia wasio na silaha wanakumbana na milipuko ya mabomu na risasi. Mama na binti yake waliuawa na wavamizi wa Israel walipokuwa wakienda chooni. Ni ugaidi."
View: https://x.com/bricsinfo/status/1824470915104526615?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
Hamas amemvamia Yahudi na kuwauwa Mayahudi na kuwateka wengine! HUYAJUI HAYO?Hayo maneno kamwambie Papa.
Angalia ulivyokuwa mjinga kati ya Israel na Palestina nani kamvamia mwenzake.
Papa atasema kisha atalala ila Operation dhidi ya magaidi iko pale pale.
Wanaukumbi.
NDANI TU: 🇮🇱 🇵🇸 Papa Francis anasema vita vya Israel huko Gaza ni "ugaidi."
"Ninaendelea kupokea habari nzito na zenye uchungu kutoka Gaza. Raia wasio na silaha wanakumbana na milipuko ya mabomu na risasi. Mama na binti yake waliuawa na wavamizi wa Israel walipokuwa wakienda chooni. Ni ugaidi."
View: https://x.com/bricsinfo/status/1824470915104526615?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
Bwana gani maana mabwana wapo wengiUfike mahali ukubali
Israel ni taifa teule la Bwana. Unywe maji ulale
Wanaukumbi.
NDANI TU: 🇮🇱 🇵🇸 Papa Francis anasema vita vya Israel huko Gaza ni "ugaidi."
"Ninaendelea kupokea habari nzito na zenye uchungu kutoka Gaza. Raia wasio na silaha wanakumbana na milipuko ya mabomu na risasi. Mama na binti yake waliuawa na wavamizi wa Israel walipokuwa wakienda chooni. Ni ugaidi."
View: https://x.com/bricsinfo/status/1824470915104526615?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
Ufike mahali ukubali
Israel ni taifa teule la Bwana. Ndio uteule wao wa kumsulubu Yesu,na kumvalisha nepi,na kumuua, na kumuita mpaka leo mtoto wa nje ya ndoa,hawa hawatauona ufalme wa mbinguni.Ni magaidi,watakwenda kuzimu.
Hawa magaidi wa Israel,walimsulubu Yesu,wakamvalisha nepi,wakamuua,mpaka leo wanamuita Yesu,mtoto wa nje ya ndoa Hawa hawatauona ufalme wa mbinguni,watakwenda kuzimuUnatapa tapa sana shekhe, kweli kifo Cha nyani atadandia Kila mti. Sasa papa si kafiri huyo?? Unamsikilizaje kafiri kwa mfano🤔
Watasema tuuPapa huyuhuyu shoga ama mwingine? Leo Kawa mtamu?
Lakini kuna damu za wanadamu wenzetu zinamwagwa kule Bangladeshi na wewe uko kimya!Ukweli usemwe hata kama unahusiana nawe, wahanga wa hii vita ni wasio na hatia kabisa lakini kwa sababu ya pande za kidini tunashabikia. Hii sio sawa kabisa kushangilia damu za binadamu wenzetu kumwagika bila hatia.
Hahahahaha bana weePapa huyuhuyu shoga ama mwingine? Leo Kawa mtamu?