Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Israel hakuna mashoga
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtukane Papa maana wagalatia uwa wapo radhi kuachana na Ukisrto wao wakiguswa ukitaja Ugaidi wa Israel.
Can you believe this is happening in the 21st century? Just think about the countless kids enduring torture and displacement every day.
The biggest advocates for human rights are the ones sponsoring and supporting i
Sio sisi wakatoliki. Sisi tunaamini wabatizwa wote katika kanisa ndio taifa teule la Mungu. Hao wengine baada ya kuukataa ufalme wa Yesu walitupwa kule. Takataka. Ukiona mkristo hajui hilo ujue ni maamuma tu wankiprotestanti.Hahahaha nimecheka hii post ya kinafiki wagalatia wengi wanajiona ni sehemu ya Israel hata kama wanatemewa mate.
Si mlishaleta picha na video humu mmenunua makanisa UK NA usa?Watakuja wayahudi toka Kabuku kukanusha wakati Israel anaendelea kubomoa Makanisa na kujenga makazi ya walowezi
Wanaukumbi.
NDANI TU: 🇮🇱 🇵🇸 Papa Francis anasema vita vya Israel huko Gaza ni "ugaidi."
"Ninaendelea kupokea habari nzito na zenye uchungu kutoka Gaza. Raia wasio na silaha wanakumbana na milipuko ya mabomu na risasi. Mama na binti yake waliuawa na wavamizi wa Israel walipokuwa wakienda chooni. Ni ugaidi."
View: https://x.com/bricsinfo/status/1824470915104526615?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
Fungua uzi wa ushoga tutakuja kujadili hoja. hapa Papa anasema Israel ni magaidi wanauwa watoto Gaza. Soma na hii
Israeli inaangamiza mojawapo ya vijiji vya mwisho vya Kikristo huko Palestina, ili walowezi wa Israeli waweze kujenga makazi juu ya magofu yake.
Ni lini Wakristo kote ulimwenguni watasimama kupinga mauaji haya ya Kimbari?
View: https://x.com/kahlissee/status/1824513636557263149?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
Anahainga.kuna uzi kaukimbia alisema waarabu wamewakamata Mossad kumbe hakuelewa ni Israel wamewakamata waarabu..kaukimbia. huwa haya anaambiwa na Sheikh Kitinku na Kundecha ndo wanamlisha ujingaUnarudia rudia hizi picha mbona na ulishazileta humu miezi kadhaa iliyopita?.. akili za kudanganya zimeisha?
Sishabikii vita ya aina yeyote ile kwa sababu wanaoumia ni wasio na hatia. Hizi vita zinanisikitisha sana ni vile uwezo wa kuzimaliza sina.Lakini kuna damu za wanadamu wenzetu zinamwagwa kule Bangladeshi na wewe uko kimya!
Tarehe 07 Oktoba hukusema kitu wakati mayahudi wanauwawa.
Au wenye haki ya kumwaga damu bila kuhojiwa ni Waislamu tuu?
Fungua uzi wa ushoga tutakuja kujadili hoja. hapa Papa anasema Israel ni magaidi wanauwa watoto Gaza. Soma na hii
Israeli inaangamiza mojawapo ya vijiji vya mwisho vya Kikristo huko Palestina, ili walowezi wa Israeli waweze kujenga makazi juu ya magofu yake.
Ni lini Wakristo kote ulimwenguni watasimama kupinga mauaji haya ya Kimbari?
View: https://x.com/kahlissee/status/1824513636557263149?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
Ila hamasi ile kuvamia Israel na kuua Mayahudi.1200 sio ugaidi??
Sisi watz tunajua uchungu na athari ya kuvamiwa.
Hata idi Amini alipo tuvami Kwa akili Zako tungekaa kimya tu bila kiivamia Uganda.....
Alipaswa kukemea Hamas walipovuka mpaka kwenda kuua watu.Ngoja wenyewe waje huku...
Wanaukumbi.
NDANI TU: 🇮🇱 🇵🇸 Papa Francis anasema vita vya Israel huko Gaza ni "ugaidi."
"Ninaendelea kupokea habari nzito na zenye uchungu kutoka Gaza. Raia wasio na silaha wanakumbana na milipuko ya mabomu na risasi. Mama na binti yake waliuawa na wavamizi wa Israel walipokuwa wakienda chooni. Ni ugaidi."
View: https://x.com/bricsinfo/status/1824470915104526615?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw