Papa Francis anasema vita vya Israel huko Gaza ni "ugaidi."

Hahahaha nimecheka hii post ya kinafiki wagalatia wengi wanajiona ni sehemu ya Israel hata kama wanatemewa mate.
Me pia nawashangaa xnaa hawa jamaa cjui akili zao zikoje ?
Afu ni wakristo wa Africa xnaa na hii ni kukosa elimu
 
Lakini kuna damu za wanadamu wenzetu zinamwagwa kule Bangladeshi na wewe uko kimya!
Tarehe 07 Oktoba hukusema kitu wakati mayahudi wanauwawa.
Au wenye haki ya kumwaga damu bila kuhojiwa ni Waislamu tuu?
Mambo ayajaanza tarehe 7 mkuu mbona una kichwa panzi
 
It seems wakiristu wengi wnauchukia uislamu kuliko wanavyoupenda ukiristu wao
Na wanawapenda Wayahudi kuliko wawapedavyo wakiristu wenzao ambao ni waarabu
 
Imeandikwa amebarikiwa aibarikiaye ISRAEL na amelaaniwa ailainiaye ISRAEL papa ni mdogo tu lakini ISRAEL ndio YEHOVA aliposhukia na kuungana na wake na kujidhihirisha nguvu zake kwao KWA KUWAFUFUA WAFU WALIOKUFA kubariki mikate na kuwa mingi mingi watu kula mpaka kusaza SIFA KWAKO YEHOVA SIFA KWAKO TAIFA LA ISRAEL
 
Imeandikwa wapi?
 
Wafuasi wa Mudi wapigwe tu haijalisha papa wemba anasemajee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…