Papa Francis asema Israel ni magaidi walioua wafuasi wake ndani ya kanisa Gaza

Papa Francis asema Israel ni magaidi walioua wafuasi wake ndani ya kanisa Gaza

Webabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2010
Posts
8,870
Reaction score
14,258
Papa Francis alitoa tamko hilo leo kwenye misa na kusema Israel imetumia mbinu za kigaidi kushambulia kanisa hilo la madhehebu ya kikatoliki
Dada mmoja anyeitwa Nahida Khalil na mwanawe Samar walikuwa wameingia kanisani humo kufanya ibada kabla kushambuliwa na kuuawa.
Kiongozi huyo akaendelea kusema kuwa kila siku anapata habari za kuumiza juu ya vifo vya watu wa Gaza mpaka wanaokuwa kwenye maeneo ya ibada.

Pope Francis deplores Israeli killings of civilians at Gaza church

1702831452053.png
 
Papa Francis alitoa tamko hilo leo kwenye misa na kusema Israel imetumia mbinu za kigaidi kushambulia kanisa hilo la madhehebu ya kikatoliki
Dada mmoja anyeitwa Nahida Khalil na mwanawe Samar walikuwa wameingia kanisani humo kufanya ibada kabla kushambuliwa na kuuawa.
Kiongozi huyo akaendelea kusema kuwa kila siku anapata habari za kuumiza juu ya vifo vya watu wa Gaza mpaka wanaokuwa kwenye maeneo ya ibada.

Pope Francis deplores Israeli killings of civilians at Gaza church

View attachment 2845351
Israel sio Wakristo
 
Papa Francis alitoa tamko hilo leo kwenye misa na kusema Israel imetumia mbinu za kigaidi kushambulia kanisa hilo la madhehebu ya kikatoliki
Dada mmoja anyeitwa Nahida Khalil na mwanawe Samar walikuwa wameingia kanisani humo kufanya ibada kabla kushambuliwa na kuuawa.
Kiongozi huyo akaendelea kusema kuwa kila siku anapata habari za kuumiza juu ya vifo vya watu wa Gaza mpaka wanaokuwa kwenye maeneo ya ibada.

Pope Francis deplores Israeli killings of civilians at Gaza church

View attachment 2845351
Pope hajitambui. Anafikiri hao Waislam anaowatetea wana urafiki na Wakiristo wake?
Wewe ngoja his days are numbered
 
Papa Francis alitoa tamko hilo leo kwenye misa na kusema Israel imetumia mbinu za kigaidi kushambulia kanisa hilo la madhehebu ya kikatoliki
Dada mmoja anyeitwa Nahida Khalil na mwanawe Samar walikuwa wameingia kanisani humo kufanya ibada kabla kushambuliwa na kuuawa.
Kiongozi huyo akaendelea kusema kuwa kila siku anapata habari za kuumiza juu ya vifo vya watu wa Gaza mpaka wanaokuwa kwenye maeneo ya ibada.

Pope Francis deplores Israeli killings of civilians at Gaza church

View attachment 2845351
Vita haichagui dini ukabila wa itikadi za siasa.
Kwa hiyo huko Gaza hamas anaweza kuwa muislamu, mkristo au dini yoyote.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Papa Francis alitoa tamko hilo leo kwenye misa na kusema Israel imetumia mbinu za kigaidi kushambulia kanisa hilo la madhehebu ya kikatoliki
Dada mmoja anyeitwa Nahida Khalil na mwanawe Samar walikuwa wameingia kanisani humo kufanya ibada kabla kushambuliwa na kuuawa.
Kiongozi huyo akaendelea kusema kuwa kila siku anapata habari za kuumiza juu ya vifo vya watu wa Gaza mpaka wanaokuwa kwenye maeneo ya ibada.

Pope Francis deplores Israeli killings of civilians at Gaza church

View attachment 2845351
Na Bado mtasemaaa
Mpaka waachieee
Si wanashikiloa bomba hamas watasema tu...
 
Nyinyi watu musiwe wajinga (kwa maana ya kukosa elimu sahih) kiasi hicho. Ingia tu mtandaoni ujionee mwenyewe Waislam wa Palestine walivyowakandamiza wakiristo na hivyo kufanya namba ya wakiristo kupungua kila mwaka. Kule Gaza nafikiri wamebaki tune ya 1000 tu.
Wakati Israel Kuna uhuru wa kuabudu kuanzia wakiristo, Druze, Waislam na bahai
Huyo hapo mtakatifu wenu amesema ,sasa ww ni nani mpaka upinge maneno ya kiongozi yenu?
Screenshot_20231217-232522.jpg


Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Nyinyi watu musiwe wajinga (kwa maana ya kukosa elimu sahih) kiasi hicho. Ingia tu mtandaoni ujionee mwenyewe Waislam wa Palestine walivyowakandamiza wakiristo na hivyo kufanya namba ya wakiristo kupungua kila mwaka. Kule Gaza nafikiri wamebaki tune ya 1000 tu.
Wakati Israel Kuna uhuru wa kuabudu kuanzia wakiristo, Druze, Waislam na bahai
Chanzo chako cha habari kinakudanganya. Hakuna sehemu ngumu ya kuabudu waislam na wakristo kama israeli. Wayahudi fake waliopo israeli wanawapiga na kuwasema maneneo hovyo sana watu wa dini tofauti tena afadhali waislam kidogo wakristo ndio kabisa wanawatemea mpaka mate wakiwaona wanapita ingawa wapo wachache.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa kwanini wakiristo wa jf wanawashabikia Isreal?
Unajuwa sisi wengi tunaendeshwa kwa chuki hatuchambui mambo wenyewe. Huwa hatujiulizi kwanini wanagombana kila siku, je wanagombania dini zao au wanagombania ardhi? Kuna kitu ukiwasikiliza wayahudi na nawakubali kuwa wa kweli, huwa wanasema wazi kabisa hata ukienda Youtube utawakuta. wao hawamuamini yoyote sio Yesu wa Mohamed wao ni Musa basi na kabla ya Musa. Wanasema tutayavunja wanaoabudu masanamu hapo wakimaanisha RC na zile sanamu za makanisani wanaita masanamu tu. Wanasema yesu alikuwa muhibiri mzuri tu lakini sio Messiah, kwani Messiah bado hajaja. Islam wanasema dini fake, kikubwa wao wanaamini agano la kale basi. Sasa agano la kale na quraan kuna mambo mengi yanafanana ndio maana utakuta vitu kama nguruwe, kutahiriwa mpaka wanavyozika kuna kufanana na waislamu ila wako mbali sana na RC. Wale jamaa wanadharau sana wakristo. Hivi leo itokee RC dunia nzima waseme sisi Yesu kazaliwa Bethlehem sijui huyu ni mwokozi wetu tunaitaka hii sehemu maana ni yetu iwe makao makuu ya RC sio Vatican unadhani itatokea nini?
 
Judaism emphasizes the Oneness of God and rejects the Christian concept of God in human form. While Christianity recognizes the Hebrew Bible (called the Old Testament by Christians) as part of its scriptural canon, Judaism does not recognize the Christian New Testament.
 
Chanzo chako cha habari kinakudanganya. Hakuna sehemu ngumu ya kuabudu waislam na wakristo kama israeli. Wayahudi fake waliopo israeli wanawapiga na kuwasema maneneo hovyo sana watu wa dini tofauti tena afadhali waislam kidogo wakristo ndio kabisa wanawatemea mpaka mate wakiwaona wanapita ingawa wapo wachache.

Sent using Jamii Forums mobile app
Tuanze na masuala simple tu. Wayahudi waliokuwa maeneo mbali mbali ya dunia ikiwa na nchi za Kiarabu. Leo hii Kuna wayahudi wangapi Bethlehem, Saudia, Egypt, Iran, Morocco, Yemen na Algeria? Vipi wakiristo hata wale walioenda kama expatriates wanaruhusiwa kuabudu KWA UHURU huko Saudia, Iran, Yemeni na Iraq?
Vipi uhuru wa kuabudu wa Coptic Christians huko Egypt? Vipi Sharia za Kiislam za Kishetani zinatoa uhuru sawa sawa wa kuchagua Imani ya dini kwa raia wakiamua katika nchi za kiislam?
Acha ushabiki wa Kishetani mliodanganywa na yule SHETANI MWENYEWE-ALLAH.
HUYU ALLAH ktk Sahih Al-Bukhari 4950 anatambulishwa moja kwa moja kuwa ni SHETANI
Aidha, majina 5 kati ya majina 99 ya Allah yanaonyesha yeye ndiye yule SHETANI MKUBWA kabisa
 
Back
Top Bottom