Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Papa ategemee kanisa kuingiza sadaka kubwa zaidi baada ya kuruhusu mfilimbo 😄Wahalifu wapo kila sehemu, ila hawaruhusiwi. Ndo maana wanapingwa na wakijulikana wana adhibiwa. Na mashoga ni wahalifu Sasa kama wakatoliki mmeruhusu kufirn haina maana huko kwingine hawapo, wapo ila hawajaruhusiwa na wanahama na kuja huko mnako ruhusu.
Anatamaa ya sadaka kubwa zaidi, mashoga wa Italy wana pesa ndefu sana na wengi ni mashoga sasa kupata hela yao akaona bora awakaribishe ili wampe sadaka kanisa litajirike ninyi kufilimbana hana muda nakoAcha kutetea ujinga, Papa kaanza kitambo sana na issues za ushoga. Alianza mwaka jana kwa kusema "nafikiri mashoga wapewe haki zao" Unajua hapo alikuwa na maana gani?
Halafu sidhani kama hakuna binadamu asie na dhambiWabongo unafikii unawasumbua.
Wakatoliki ndio Wakristo wa kwanza, kwa hiyo ukitaka kujitenga basi usijiite mkristu, wewe mprotestant ndio utafute jina lingine badala ya kujiita MkristoKwenye mada yako tenganisha ukristo na ukatoliki, kama wakatoliki mmeamua kuvutia mashoga ili muwe wengi duniani basi rekebisha contents za andiko lako.
Wakatoliki na kiongozi wenu papa ndo mmeruhusu ushoga kwenye madhehehu yenu siyo Wakristo.
Tofauti ya RC na madhehebu/dini nyingine kuhusu mashoga ipo kwenye unafiki. Wakati RC wanasema ushoga (tabia) haufai ila mashoga (binadamu) wanafaa kukaribishwa ili wabadilishwe tabia, madhehebu na dini nyingine zinasema vyote ushoga (tabia) na mashoga (binadamu) hawafai kabisa kukaribishwa kwenye Ibada zao na hawana nafasi ya kutubu na kujirekebisha.Du, mashoga?
Vizuri wangejumlisha kwenye dhambi zote wasiweke ukubwa wa dhambi yaani shoga, mwizi, mshirikina wote wametenda dhambiTofauti ya RC na madhehebu/dini nyingine kuhusu mashoga ipo kwenye unafiki. Wakati RC wanasema ushoga (tabia) haufai ila mashoga (binadamu) wanafaa kukaribishwa ili wabadilishwe tabia, madhehebu na dini nyingine zinasema vyote ushoga (tabia) na mashoga (binadamu) hawafai kabisa kukaribishwa kwenye Ibada zao na hawana nafasi ya kutubu na kujirekebisha.
RC wanaoona ushoga ni dhambi kama dhambi nyingine ambazo mtu akitubu anaweza akasamehewa, madhehebu na dini nyingine zinaona unaweza ukasamehewa dhambi nyingine kama uuaji, uzinzi, wizi, uongo nk, lakini hupaswi kusamehewa dhambi ya ushoga
Waprotestant na waisilamu wanaona ushoga ni dhambi maalum na pekee ambayo haipaswi kusamehewa na binadamu pamoja na Mungu. Kwao heri ufanye uzinzi na uuaji halafu ukatoe ushuhuda na kupigwa makofi na vigelegele, lakini usije ukasikika unatoka ushuhuda wa kuwa shoga, utafukuzwaVizuri wangejumlisha kwenye dhambi zote wasiweke ukubwa wa dhambi yaani shoga, mwizi, mshirikina wote wametenda dhambi
Waislamu wanakariri kwasababu katika dini yao mashoga wamejaa haya utayaona Uarabuni, Zanzibar, Tanga, Mombasa, Kilwa Dar es Salaam na kwinginekoWaprotestant na waisilamu wanaona ushoga ni dhambi maalum na pekee ambayo haipaswi kusamehewa na binadamu pamoja na Mungu
Kamanda bora ungekaa kimya tu. Kwahiyo maslahi mapana ya papa ni pesa zao na sio kuwaokoa kiimani watu?. Unasema Mungu atawahukumu, kwani mshapitisha maboresho kwamba siku hizi mapdri hawasamehi tena dhambi baada ya kuungama? au mnawadanganya tu watoe sadaka halafu hukumu ya kweli wataenda kukutana nayo kwa Mungu?Kwanza kabisa Papa ameweka mbele swala la maslahi katika kanisa hili, lengo la yeye kuchukua uamuzi huu anataka kanisa liwe na idadi kubwa ya waumini pasipokujali tabia na mienendo ya waumini wake akilenga kuwa sadaka itaongezeka mara dufu na hasa ukizingatia Italy ina mashoga wengi sana na ni matajiri wakubwa ili kupata pesa yao ni kuwaruhusu huku akiamini atakayewahukumu ni Mungu pekee yeye hataki kujihusisha na swala la hukumu hilo ndilo lengo lake.
Mkuu, hiyo ya kuwafungisha ndoa mashoga umeitoa wapi? Naomba unukuu chanzo chochote cha kuaminika kinachosema Papa alisema hivyo. Mengine yanaanzia humu humu JF halafu wanaoyakuta wanayabebatizo kubwa hapa sio kuwa na wafuasi wenye madhambi tofauti tofauti, tatizo ni kubariki matendo yao ya kidhambi! mnapowafungisha ndoa mashoga
Italy kule mashoga ni wengi na wana hela nyingi yeye anaona afadhali kufaidika na fedha zao tabia na mienendo yao wabaki nayo wao wenyeweKamanda bora ungekaa kimya tu. Kwahiyo maslahi mapana ya papa ni pesa zao na sio kuwaokoa kiimani watu?. Unasema Mungu atawahukumu, kwani mshapitisha maboresho kwamba siku hizi mapdri hawasamehi tena dhambi baada ya kuungama? au mnawadanganya tu watoe sadaka halafu hukumu ya kweli wataenda kukutana nayo kwa Mungu?
Tatizo kubwa hapa sio kuwa na wafuasi wenye madhambi tofauti tofauti, tatizo ni kubariki matendo yao ya kidhambi! mnapowafungisha ndoa mashoga ni kwamba mmebariki matendo yao ya kulawitiana! Sasa basi kama mnaamini Mungu atawahukumu basi jueni na nyinyi mliobariki kwa kutumia jina lake (Mungu) pia mna hukumu yenu!
Mtaani kwangu Kuna wakatoliki labda kama unaanisha haoNdugu mashoga wangapi tunawaona mitaani kwetu itabidi tuwazoee
Usitetee ushoga.Halafu sidhani kama hakuna binadamu asie na dhambi
Mashoga ni wakristu yaani wakatoliki Wakristo hawana uhusiano na wkristu.Wakatoliki ndio Wakristo wa kwanza, kwa hiyo ukitaka kujitenga basi usijiite mkristu, wewe mprotestant ndio utafute jina lingine badala ya kujiita Mkristo
Papa anaongelea kubarki ndoa za jinsia Moja.Hajasema mashoga watubu wasamehewe.Hajasema hivyoTofauti ya RC na madhehebu/dini nyingine kuhusu mashoga ipo kwenye unafiki. Wakati RC wanasema ushoga (tabia) haufai ila mashoga (binadamu) wanafaa kukaribishwa ili wabadilishwe tabia, madhehebu na dini nyingine zinasema vyote ushoga (tabia) na mashoga (binadamu) hawafai kabisa kukaribishwa kwenye Ibada zao na hawana nafasi ya kutubu na kujirekebisha.
RC wanaoona ushoga ni dhambi kama dhambi nyingine ambazo mtu akitubu anaweza akasamehewa, madhehebu na dini nyingine zinaona unaweza ukasamehewa dhambi nyingine kama uuaji, uzinzi, wizi, uongo nk, lakini hupaswi kusamehewa dhambi ya ushoga
Asee ushoga haifai na siyo sawa na dhambi zingine,nakataaWaprotestant na waisilamu wanaona ushoga ni dhambi maalum na pekee ambayo haipaswi kusamehewa na binadamu pamoja na Mungu. Kwao heri ufanye uzinzi na uuaji halafu ukatoe ushuhuda na kupigwa makofi na vigelegele, lakini usije ukasikika unatoka ushuhuda wa kuwa shoga, utafukuzwa
Wakatoliki wameanza kutekeleza mipango yao toka enzi ya Constantine.Ilipangwa kwamba nyakati zikifika desturi za Rumi ya kale zitarejeshwa.Moja ya mambo hayo ni ushoga.Sasa Roma imesema msije kisema haijasema,Roma imetamka hakuna wa kupinga.Kamanda bora ungekaa kimya tu. Kwahiyo maslahi mapana ya papa ni pesa zao na sio kuwaokoa kiimani watu?. Unasema Mungu atawahukumu, kwani mshapitisha maboresho kwamba siku hizi mapdri hawasamehi tena dhambi baada ya kuungama? au mnawadanganya tu watoe sadaka halafu hukumu ya kweli wataenda kukutana nayo kwa Mungu?
Tatizo kubwa hapa sio kuwa na wafuasi wenye madhambi tofauti tofauti, tatizo ni kubariki matendo yao ya kidhambi! mnapowafungisha ndoa mashoga ni kwamba mmebariki matendo yao ya kulawitiana! Sasa basi kama mnaamini Mungu atawahukumu basi jueni na nyinyi mliobariki kwa kutumia jina lake (Mungu) pia mna hukumu yenu!