Papa Francis hapaswi kukosolewa dhidi ya uamuzi wake juu ya LGBTQ

Papa Francis hapaswi kukosolewa dhidi ya uamuzi wake juu ya LGBTQ

Njia iendayo mbingu ni nyembamba imesonga.

Njia iandayo upotevuni ni Pana na Weng wataiendea.

[emoji1655] Anakamilisha unabiii wa hilo andiko. Yesu alipokuwa ana keti na makahaba na wezi, hakuwa ameenda kuwapa Go ahead na kusema njooen ,endelea na wizi wenu. Hakuwa ame compromise, ameenda Kutaka wabadili njia zao.

Lengo la shetan ni kudanganya ili watu wakahukumiwe, so [emoji1655] anakusanya wengi waka hukumiwe. Sasa kama yeye ni Mtumishi wa MUNGU, aseme kauli ya MUNGU kulingana na maandiko.

Kama kukataza dhambi ni kutoa hukumu, naona wazi Catholic ikiwa ni kitovu cha kuja kuunganisha na dini zingine za kipagani , occult zingine kwa jina la kuongeza wafuasi. Kama ishu ni kuobgeza wafuasi sasa ni halisi Roman sio ishu ya kiroho bali ni nguvu ya kiutawala na dola.

Chekesho zaidi, anayesema hukumu anamuachia MUNGU, leoo hiii wao wanakaaa jopo na kupitisha majina ya nani aitwe Mtakatifu na jina lake liingie ktk list ya watu wa , UTUOMBEEE
 
Kwanza kabisa Papa ameweka mbele swala la maslahi katika kanisa hili, lengo la yeye kuchukua uamuzi huu anataka kanisa liwe na idadi kubwa ya waumini pasipokujali tabia na mienendo ya waumini wake akilenga kuwa atakayewahukumu ni Mungu pekee yeye hataki kujihusisha na swala la hukumu hilo ndilo lengo lake.........................................................ameshindwa kuhukumu ila ameweza kuwabariki hongereni wabarikiwa
 
Kwanza kabisa Papa ameweka mbele swala la maslahi katika kanisa hili, lengo la yeye kuchukua uamuzi huu anataka kanisa liwe na idadi kubwa ya waumini pasipokujali tabia na mienendo ya waumini wake akilenga kuwa atakayewahukumu ni Mungu pekee yeye hataki kujihusisha na swala la hukumu hilo ndilo lengo lake.........................................................ameshindwa kuhukumu ila ameweza kuwabariki hongereni wabarikiwa
Ndugu nikukumbushe, swala la hukumu ni gumu ndio maana mahakamani kuna kesi za kunyongwa lakini raisi anapitisha msamaha, ingelikuwa swala la kuhukumu ni rahisi basi Mama Samia angenyonga waliohukumiwa kunyongwa
 
Hivi Mchungaji aliyemuongoza sala ya toba yule shoga Athumani wa Magomeni (anti Asu) hadi akaokoka, naye ni Papa?
 
Kiukwel papa amaeferi hata kama tutampaka mafuta kumsafisha kiasi Gani,ametukwaza kabisa
I'm
Umemsikia wapi amesema hivyo, au na wewe unacheza ngoma ya waprotestanti na waisilamu?
 
Umemsikia wapi amesema hivyo, au na wewe unacheza ngoma ya waprotestanti na waisilamu?
Aliokoka kweli au alizuga ndugu, nikama Nabii Tito pamoja na kelele zote kumbe bado anafilimbwa 😀
 
Aliokoka kweli au alizuga ndugu, nikama Nabii Tito pamoja na kelele zote kumbe bado anafilimbwa 😀
Watatujibu walokole wa Magomeni waliompokea, ambao leo wanasema neno la Mungu haliruhusu kuwapokea mashoga
 
Watatujibu walokole wa Magomeni waliompokea, ambao leo wanasema neno la Mungu haliruhusu kuwapokea mashoga
Grace Products nae alishapokea mashoga kanisani Serikali ikamind sana
 
Ndugu nikukumbushe, swala la hukumu ni gumu ndio maana mahakamani kuna kesi za kunyongwa lakini raisi anapitisha msamaha, ingelikuwa swala la kuhukumu ni rahisi basi Mama Samia angenyonga waliohukumiwa kunyongwa
ndugu kumbuka hiyo ni serikali na serikali haina dini dini ya serikali ni katiba usifananishe dini na serikali maana dini ina muongozo wake na ni sheria za mungu
 
ndugu kumbuka hiyo ni serikali na serikali haina dini dini ya serikali ni katiba usifananishe dini na serikali maana dini ina muongozo wake na ni sheria za mungu
Kama hukumu yao ni kuuawa utaua wangapi? Je wale wazazi waliowazaa hao mashoga utawaacha kwenye hali gani baada ya kuwanyonga. Manake wazazi wa hawa mashoga wanamaumivu kama ya kuuguza mgonjwa nafikiri ungewaza namna ya kusaidia na sio kuhukumu
 
Idadi ya mashoga imeongezeka sana kiasi kwamba anaumiza sana akili afanyaje, manake akitenga atabakiwa na waumini wachache sana
Mkuu kipaumbele cha kikatoliki ni kanisa kujaa bila kujali tabia za waumini? Mnasali na wezi na mambo mnaona fresh tu?
Kabla papa hajaruhusu tambua kuwa mashoga walikuwa ndani ya kanisa katoliki lakini anachofanya ni kuunga mkono matendo yao, ambayo ni kinyume na mapenzi ya Mungu.
Kwa hiyo kanisa linaacha sheria ya Yesu na kufuata mapendezi ya watu wengi hata kama ni kinyume cha sheria ya Yesu?
 
Hata ukiacha ndugu bado ushoga utashamiri. Mimi ni msema kweli huwa ninapowaeleza ukweli ninyi mnakasirika, hapa Dar es Salaam ni vijana wangapi mashoga na wametoka dini zote Islamic na Christian?
Kwanini ninapowaeleza mnachukia kana kwamba Tanzania imejaa watakatifu
Kwa hiyo kwa akili yako sio ya papa unaona ni sawa? Kama ni sawa uko tayari kuolewa?
 
Wapi imeandikwa ndoa? Kuwa shoga kunahitaji ndoa? Watu wengi humu huwa hawajui mada za nyuzi, nimeona hilo mara nyingi
Kwani msingi wa andishi lako Ni Nini?

Si andiko la Vatican kuhusu ushoga?
 
Mkuu kipaumbele cha kikatoliki ni kanisa kujaa bila kujali tabia za waumini? Mnasali na wezi na mambo mnaona fresh tu?
Kabla papa hajaruhusu tambua kuwa mashoga walikuwa ndani ya kanisa katoliki lakini anachofanya ni kuunga mkono matendo yao, ambayo ni kinyume na mapenzi ya Mungu.
Kwa hiyo kanisa linaacha sheria ya Yesu na kufuata mapendezi ya watu wengi hata kama ni kinyume cha sheria ya Yesu?
Kiu yake apate sadaka nyingi kuhusu kuzibuana matobo watajua wenyewe
 
Grace Products nae alishapokea mashoga kanisani Serikali ikamind sana
Yesu alipanguswa miguu kwa nywele na Kahraba, akashiriki chakula na mtoza ushuru, serikali ya Kirumi ilimind pia sana, kama ambavyo waprotestanti na waisilamu wanavyoshangaa afanyacho Papa
 
Back
Top Bottom