gemseeker23
JF-Expert Member
- Jan 26, 2023
- 354
- 246
mpaka useme mpaka ukubaliWapi imeandikwa ndoa? Kuwa shoga kunahitaji ndoa? Watu wengi humu huwa hawajui mada za nyuzi, nimeona hilo mara nyingi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mpaka useme mpaka ukubaliWapi imeandikwa ndoa? Kuwa shoga kunahitaji ndoa? Watu wengi humu huwa hawajui mada za nyuzi, nimeona hilo mara nyingi
Hilo suala la ndoa limetoka wapi? Hebu tusiwe na vichwa vizito kusoma, kufikiri na kuelewa. Ushoga unalizimisha uwepo wa ndoa?Hoja yako haina mashiko hata kidogo, ndoa za jinsia zimepigwa marufuku kwenye maandiko matakatifu BIBLIA hakuna namna ya kuhalalisha huo ushetani,
nadhani ndoa huwa ni baraka na kubarikiwa sasa baraka za jinsia moja ni kitugani na baraka hapo ni ya nini kweli mashetani na wafuasi waoWapi imeandikwa ndoa? Kuwa shoga kunahitaji ndoa? Watu wengi humu huwa hawajui mada za nyuzi, nimeona hilo mara nyingi
Jadili maudhui utumie maarifa yako kwa ufanisi, achana na vimisemo vya waswahili wa pwanimpaka useme mpaka ukubali
Afadhali sasa umesema 'unadhani'. Basi tulia vizuri ili uelewe badala ya kutumia dhahania. Kuwabatiza, kuwapa sakramenti nyingine mashigo ni kuwabariki na kuwakaribisha katika familia ya Mungu, tatizo watu tumekariri ngono. Halafu mbona inaekeweka, hivi mwizi amewahi kupigwa marufuku kurudi katika njia sahihi kupitia kanisa? Wasema ungo je? Wauaji je? Kwa nini mashoga inachukuliwa kama dhambi maalum?nadhani ndoa huwa ni baraka na kubarikiwa sasa baraka za jinsia moja ni kitugani na baraka hapo ni ya nini kweli mashetani na wafuasi wao
hapana sio dhambi maana mushabarikiwa hongereni sanaAfadhali sasa umesema 'unadhani'. Basi tulia vizuri ili uelewe badala ya kutumia dhahania. Kuwabatiza, kuwapa sakramenti nyingine mashigo ni kuwabariki na kuwakaribisha katika familia ya Mungu, tatizo watu tumekariri ngono. Halafu mbona inaekeweka, hivi mwizi amewahi kupigwa marufuku kurudi katika njia sahihi kupitia kanisa? Wasema ungo je? Wauaji je? Kwa nini mashoga inachukuliwa kama dhambi maalum?
Wakatoliki kumbe ni mashoga.Roma ikisema ,imesemaUafanuzi kuhusiana na uamuzi wa Papa Fransis kuwakaribisha wapenzi wa jinsia moja katika kanisa Katoliki
Watu wengi duniani hasa dini ya Kiislamu, Wahindu na wengineo wamekuwa wakituhumu Imani ya Kikristo pamoja na kiongozi wetu Papa Fransis kana kwamba dini zao zinawaumini Watakatifu pekee jambo ambalo linaweza kuleta picha ya aibu na fedheha katika imani yetu kwa baadhi ya waumini wengine
Wapo walioenda mbali na kusema Papa Fransis na Imani ya Kikristo inajihusisha na Ushetani
Kwanza kabisa Papa ameweka mbele swala la maslahi katika kanisa hili, lengo la yeye kuchukua uamuzi huu anataka kanisa liwe na idadi kubwa ya waumini pasipokujali tabia na mienendo ya waumini wake akilenga kuwa atakayewahukumu ni Mungu pekee yeye hataki kujihusisha na swala la hukumu hilo ndilo lengo lake
Kawaida binadamu anapokuwa akihitaji wafuasi wengi hatabagua wezi, wavivu, washirikina na wengineo, dhamira yake italenga kuwa na idadi kubwa ya wafuasi
Kwahiyo Papa Fransis haenezi ushetani kama watu wanavyomtuhumu na wala Wakristo tusionee aibu imani yetu
Papa hataki kujihusisha kwenye hukumu ya wakosefu anataka Mungu awahukumu yeye mwenyewe, dhamira yake ni kuhakikisha kanisa linapata wafuasi wengi pasipokujali mienendo na tabia za waumini wake
Swala la hukumu ni jambo gumu sana duniani ndio maana watu wanamwachia Mungu
Nadhani amefikiri mara kadhaa kuhukumu waumini wa Kanisa Katoliki akashindwa pengine ameona kuwa akianza kutoa hukumu itabidi achanganye wote wakiwemo wezi, walevi, wavivu, washirikina, mafisadi, makahaba, wanyang'anyi, walawiti na wengineo
Katika hotuba ya Mwalimu Nyerere kuhusiana na ubaguzi alitoa mfano akasema kuwa nchi ya Tanzania imejengwa na makabila tofauti haikujengwa na kabila moja, madhara ya ubaguzi katika nchi ya Tanzania ni kuwa tukianza kuwaondoa Wazanzibari tukamaliza wote, tutajikuta Wazaramo wamebaki tutawaondoa tena wote, tukimaliza Wazaramo tutakuta kuna Wachaga tutaondoa wote tukimaliza tutagundua kuna Wahaya halikadhalika
Kwahiyo Papa ameona kuwa Kanisa Katoliki limejengwa na waumini wema na wabaya halikujengwa na Watakatifu pekee akianza kuondoa walawiti akamaliza atajikuta wezi wapo ataondoa atamaliza, atajikuta washirikina wapo halikadhalika kwahiyo hatabakiwa na waumini Watakatifu pekee
Ndugu zangu tuzungumze kwa uwazi kuhusiana na uamuzi wa Papa Francis kuwapa mashoga uhuru
Wakosoaji wakubwa wa uamuzi huu ni madhehebu mengine yasiyo ya Katholiki huku wakidai kuwa dini ya Katholiki inaruhusu ushoga
Kabla ya kumtuhumu Papa ni kuwa idadi ya mashoga duniani imeongezeka sana kiasi kwamba inatishia idadi ya wale wasio mashoga.
Takwimu alizopokea Papa zimemfikirisha mara kadhaa na kuona kuwa endapo akiwatenga mashoga basi atabaki na idadi ndogo sana ya waumini wa Katholiki, ili kuzuia anguko hilo akaona awaruhusu mashoga kuwa waumini wa kanisa la Katholiki.
Wenzangu wa madhehebu mengine wakiwemo Waislamu, Wahindu na wengineo, mnapomnyooshea kidole Papa mnamaanisha kuwa hakuna muumini wetu hata mmoja duniani ambaye ni shoga.
Swali la kujiuliza, je katika dhehebu lako hakuna muumini wenu hata mmoja duniani ambaye ni shoga?
Turejelee msemo wa kuwa kabla hujatoa boliti katika jicho la mwenzako basi hakikisha katika jicho lako umekwishatoa!
Wakatoliki ni mashoga.Yaani kuna watu kama sisi hatujawahi hata ona shoga kwa macho
Ila anakuja mtu anasema eti mashoga wamekuwa wengi hadi wanatishia idadi ya wasio mashoga. Hata ikikusanywa mashoga wote wa dunia nzima hawafiki hata idadi ya wakatoliko wa uganda pekee
Ukatoliki haukuanza mwaka 33AD.Ukatoliki ulianza baada ya upatanisho wa pili wa Niece,kipindi Cha Mfalme Constantine wa Rumi ya kale.Hii ni baada ya kuingiza mambo ya upagani na ushoga na Askofu mkuu wa Roma kujiita Papa.Dioves zilizobaki zikajitenga naye.Ukatoliki siyo Mali ya PAPA FRANSIS, UKATOLIKI ulikuwepo tangu mwaka 33 AD.
Hivyo, kama akikosea katika maamuzi marekebisho yatafanywa na watakaofuatia baada yake.
Kwakuwa UKATOLIKI siyo Mali ya PAPA FRANSIS, ni Upumbavu kuikimbia Mali yako Kwasababu ya majungu ya WATU.
Mmeungana kwenye 1 na 2 siyoWasome na kuelewa hapa.
Akikujibu nitagKuna waumini wezi, majambazi, mafisadi n.k Umeshawahi kusikia wamewahi kuambiwa sasa ni ruksa?
Siyo wakristo sema wakatoliki
ShetaniNjia ya kwenda mbinguni lazima iwe nyembamba, na waendao lazima wawe wachache. Huu ndio msingi wa neno la Mungu.
Papa ni wakala wa Mungu au Shetani?
Mahali utampa nani? Na Kwa hiyo we ni shogaNataka nimuoe papa
Kama hujaelewa nilicho andika pita kule mbaliHilo suala la ndoa limetoka wapi? Hebu tusiwe na vichwa vizito kusoma, kufikiri na kuelewa. Ushoga unalizimisha uwepo wa ndoa?
Hata ukiacha ndugu bado ushoga utashamiri. Mimi ni msema kweli huwa ninapowaeleza ukweli ninyi mnakasirika, hapa Dar es Salaam ni vijana wangapi mashoga na wametoka dini zote Islamic na Christian?Nimesoma paragraphs mbili tu nikaacha🚮