Papa Francis, Lissu, machampioni halisi wa haki, usawa na uhuru duniani

Papa Francis, Lissu, machampioni halisi wa haki, usawa na uhuru duniani

Ukija kuambiwa huna akili unahis unaonewa!

Umeshindwa kujibu swali unaniletea quotation za watu wengine ambazo na zenyewe hazina impact yeyote ila kwa sababu ni mitazamo yao tunaheshimu!

Nijibu wewe binafsi umenufaika na nini mpaka unahisi ambao hawana muda na migogoro ya magaidi wa Hamas na Israel hawana tija kwa taifa?

Tulizana ndugu, hii mbombombo si saizi yako. Kuna nyuzi za kula kimasikhara huko kwa ajili yenu. Huku mtaungulia nyongo bure.
 
Tulizana ndugu, hii mbombombo si saizi yako. Kuna nyuzi za kula kimasikhara huko kwa ajili yenu. Huku mtaungulia nyongo bure.
Akili huna kujikuta mjanja una uelewa wa mambo mengi kumbe hayawani wajanja tumekaa tunakuangalia unavopuyanga
 
Nimekuja kugundua kudai haki ni jambo gumu sana miongoni mwetu, kumbe wengi wetu tunajiona machampioni wa kudai haki kwa sababu hatujawahi kuguswa vyumbani mwetu, ndio maana tumedumaa kudai haki hizi tulizozizoea kuwadai CCM miaka yote, maji, umeme, fair election ....

Bado hatujawa na uwezo kamili wa kuzitambua haki na kuzidai, hapa nazungumzia haki zile hata ambazo hazituhusu kwa asilimia 100, mfano kwa wale wanaonyimwa haki kuwa sio raia wa Tanzania yetu, au makundi yasiyotuhusu kibaiolojia.

Bahati mbaya zaidi hata pale ambapo tunakuwa na uwezo wa kuzitambua na kuzidai, bado tena tunakutana na kigingi kingine kwenye mind zetu, kumtazama yule anayewanyima haki wengine, kisha kujiuliza vichwani mwetu, hatuna interest nae?

Ikitokea tukawa na interest nae, kwa vyovyote iwe kiimani au kiitikadi, hapo tena tunageuka mabubu, hatuongei tunaishia kuhamisha magoli, kwa ujumla kumbe sisi bado ni wachanga sana kwenye hili suala la kudai haki.

Haki nyingi tulizozoea kuzidai kumbe tumekaririshwa na wanasiasa hizo ndizo tunaziimba miaka yote, kwasababu tumezoea kuwasikiliza kwanza wao kisha tuwafuate nyuma, hatujawahi kutoka nje ya box, tumegeuzwa watumwa wa wanasiasa tusiojitambua!.

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
Nenda kwa Juma Duni Haji akakufundishe ni nini maana ya haki.

Utadai vipi kitu ambacho hukifahamu?
 
Hayo ni mawazo yako ewe mwana wa Buguruni Malapa.

Usitujaze uchafu vichwani asubuhi asubuhi kabla hatujapata STAFTAHI. Haswa uchafu unaotoka Buguruni Malapa.

Kuna uchafu na uchafu wa Buguruni Malapa. Ulichokiandika wewe ni Uchafu wa Buguruni Malapa.

Umejamba kama BATA PORI. Bado kidogo utadakwa upelekwe Dodoma kwenye ile hospitali pendwa ya VICHWA KUMCHUZI.

cc cocastic and fantastic
Wizo hujawahi kupoaa kabisaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nenda kwa Juma Duni Haji akakufundishe ni nini maana ya haki.

Utadai vipi kitu ambacho hukifahamu?


1. Na hao ndiyo wako njema kuliko baadhi ya viongozi vyamani.

2. Hawana wanachokiamini; hawana misimamo inayojulikana.

3. Ila kimachale machale, kiujanja ujanja nk wanategemea kuchukua nchi.
 
Nimekuja kugundua kudai haki ni jambo gumu sana miongoni mwetu, kumbe wengi wetu tunajiona machampioni wa kudai haki kwa sababu hatujawahi kuguswa vyumbani mwetu, ndio maana tumedumaa kudai haki hizi tulizozizoea kuwadai CCM miaka yote, maji, umeme, fair election ....

Bado hatujawa na uwezo kamili wa kuzitambua haki na kuzidai, hapa nazungumzia haki zile hata ambazo hazituhusu kwa asilimia 100, mfano kwa wale wanaonyimwa haki kuwa sio raia wa Tanzania yetu, au makundi yasiyotuhusu kibaiolojia.

Bahati mbaya zaidi hata pale ambapo tunakuwa na uwezo wa kuzitambua na kuzidai, bado tena tunakutana na kigingi kingine kwenye mind zetu, kumtazama yule anayewanyima haki wengine, kisha kujiuliza vichwani mwetu, hatuna interest nae?

Ikitokea tukawa na interest nae, kwa vyovyote iwe kiimani au kiitikadi, hapo tena tunageuka mabubu, hatuongei tunaishia kuhamisha magoli, kwa ujumla kumbe sisi bado ni wachanga sana kwenye hili suala la kudai haki.

Haki nyingi tulizozoea kuzidai kumbe tumekaririshwa na wanasiasa hizo ndizo tunaziimba miaka yote, kwasababu tumezoea kuwasikiliza kwanza wao kisha tuwafuate nyuma, hatujawahi kutoka nje ya box, tumegeuzwa watumwa wa wanasiasa tusiojitambua!.

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
Wasipo kuelewa hapa, hawata elewa tenaa.
 
Akili huna kujikuta mjanja una uelewa wa mambo mengi kumbe hayawani wajanja tumekaa tunakuangalia unavopuyanga

Wewe si unazo? Si ukae nazo taabu gani? Huo si uhuru wako kama was wale wa LGBTQ tu? Kwani shida gani ndugu?
 
Tufike mahali tuvunje ukimya:

1. Kuzitambua jitihada za kupigiwa mfano za watu wengine ni jambo la kistaarabu.

2. Vita vya kupigania haki, usawa, uhuru, demokrasia na maendeleo ni vita vya kudumu.

3. Nani asiyeyapenda au kuyahitaji matano hayo?

4. Manne ya mwanzo ni ya msingi zaidi duniani, wakati maendeleo ni ya mtu na taifa moja moja.

5. Matano hayo ndiyo agenda kuu katika chaguzi zote za waliostaarabika duniani.

6. Nchi isiyo amini katika matano hayo haina mchango wowote katika dunia hii.

7. Kiongozi yeyote asiyeamini katika matano hayo hatufai!

8. Chama kisichokuwa na imani yoyote kwenye matano hayo ni cha hovyo.

9. Tumekuwa na vyama vya hovyo visivyokuwa na imani yoyote inayojulikana kuyahusu.

View attachment 2849448

View attachment 2849401

10. Kiongozi, chama au taifa lisilokuwa na imani zozote zinazojulikana litakuwa na msimamo gani kwenye nini?

View attachment 2849434

11. Imani huzaa misimamo isiyoteteleka:

(a) "Heko Papa Francis, Tundu Antipas Lissu na wengine kwa kuiweka misimamo yenu wazi kuhusu Palestina, Gaza, Israel na hata haki za LGBTQ."

(b) Haipo shaka hata msimamo wa wawili hawa kuhusu Ukraine hauwezi kuwa rojo rojo au kuwa kama wa wasiojitambua

12. Hapo #11; kwa hakika ninyi ni viongozi na hazina kwa dunia kama wale wenye kufuzu zawadi za Nobeli.

Nyetere ni mfano mwingine wa kuigwa:

Palestine, Julius Nyerere and international solidarity – Middle East Monitor
TUNDU na PAPA wote wanasapoti mambo ya kipuuzi ya kuingziana matango!!!! "UJINGA M2PU!!
 
TUNDU na PAPA wote wanasapoti mambo ya kipuuzi ya kuingziana matango!!!! "UJINGA M2PU!!

Kuwapiga dongo wenye CV zao bila ya yako kufahamika hutokea hutokea uswahilini kwenye vijiwe vya kahawa ambako wenye busara kuliko hata kina Mandela ni wa kumwaga.
 
Papa amezingua

Ukiwa muumini wa haki, usawa, uhuru na demokrasia hilo haliwezi kuwa tatizo lako kama halina cha kufanya nawe.

Mtu na "engine" yake anataka kukalia moto, wewe inakuhusu nini, kama haja kuomba ukalie au akukalie yeye kama ndiyo yanayompendeza yeye huko chumbani kwake?
 
Umeandika kirefu, nami nitafanya hivyo kwa ufafanuzi:

1. Ni muhimu kutulia, kutuliza mawazo kwanza kutambua kama taifa tumepotea njia (akiita Kolimba dira na mwelekeo), vyama vya siasa hadi mtu mmoja mmoja.

2. Taifa la watu jeuri (akiwaongelea Nyerere) wenye kuhoji aina ya kina Shivji, Lwaitama, Baregu, Chachage, Mpina, Lissu hawapo tena au ndiyo watakapokwisha ondoka, kondoo waliotamalaki sasa watashika hatamu kama ilivyo sasa wakijiona wao ndiyo wao.

3. Kabla ya kuhoji na hata mtu kuzipigania haki zake, imani inakuja kwanza.

4. Mtu akiamini hiki ni haki yàngu atahoji akinyimwa; akikomaliwa, atakomaa.

5. Imani kama hii, jiulize tukwame wapi kwenye ukombozi:

View attachment 2849562

6. Leo hii waliokuwa wanabeza makelele dhidi ya kuuliwa au kupotezwa kin Ben, Lijenje, Azory au jaribio la LIssu, leo wanapiga kelele watanzania wawili kuuliwa vitani si kwa si sahihi wowote kuuliwa popote wanapokuwa Hawana hatia, bali kwa kuwa ni wakristo wanaodhani Gaza kuna vita dhidi ya wakristo!

7. Leo hii kina FaizaFoxy wana taabu Gaza si kwa sababu ya maonezi kwa wapalestina (ambayo ni kweli), bali kwa sababu wanadhani wanaonelewa ni waislam.

8. Wakristo uchwara wanadhani kumpinga mwisraeli ni kupinga ukristo na kuwa wanaofanya hivyo ni lazima tu wawe mwislamu; wamezidiwa mahaba mshindo!

9. Hapo #8 wanasahau kuwa Mandela, Nyerere, Lissu na wengi hawakubaliani na waisrael Gaza lakini si waislam!

10. Katokea Papa na suala LGBTQ, watu wanashindwa kuona hili ni pilipili usizozila, lisilokuhusu la wale wewe na engine zao kokote liliko sirini huko taabu na wengine tusiohusuka? Uhuru kumbe maana yake nini?

11. Tatizo kubwa ni uelewa na ufahamu kwamba "falsafa" ya nini au nani wanasimamia nini.

12. Bila kujua "falsafa" za vyama, vyama haviwezi kuwa na imani wala misimamo; na hivyo wafuasi; wala nchi ambayo falsafa ya chama tawala ndiyo msingi.

13. Kwenye urojo tuliomo kutowatambua waliobakia wamesimama, tukawa tayari kujifunza kwao na hata kuwa ujasiri wa kuwapa maua yao wanapostahili; ili kama vipi tugute na waliolala waamke, hakutakuwa na maana yoyote kuwapo duniani!

14. #13 hapo ndiyo ulio msingi mkuu wa hoja.

Ni hayo tu ndugu mjumbe.

Imani bila matendo ni bure!
Naona hapo kwenye namba saba na nane ndipo kwenye kiini cha hoja yangu ya mwanzo.

Hasa pale nilipozungumzia upimaji wetu wa haki na kuzidai tunaufanya kwa kutazama kipimo cha either itikadi zetu au imani zetu, bado hatujawa na uwezo wa kusimama na kudai haki zetu, hata kwa wale wa nje ambao nao wanapigania haki zao.

Inapofikia hatua hiyo tunaanza kutazama interest zetu kwa wanaodai haki, au wanaowanyima wengine haki zao.

Hapa kuna wakati utakuta sababu zinazotumiwa na wengi ili kukwepesha kundi fulani la watu kupata haki zao hazina mashiko, tena wakati mwingine hufika mbali mpaka kutengeneza picha za uongo ilimradi kutimiza malengo yao, unajiuliza hii yote maana yake nini?

Kwanini tunakuwa wagumu wa kukiri fulani yuko hivi au vile, kama hatuwezi kukiri hilo ambalo kwangu ni sawa na ule msemo wa boriti na kibanzi jichoni, hivi tutakaa kweli tuje kujikomboa hapa tulipo na haya madai yetu ya kila wakati?!

I doubt.

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
 
Nenda kwa Juma Duni Haji akakufundishe ni nini maana ya haki.

Utadai vipi kitu ambacho hukifahamu?
Sihitaji hilo somo, nachotaka hao wanaodai haki wajue kuzitofautisha na kuzipigania kwa wote bila kujali imani zao au itikadi zao, naamini umenielewa bibi.

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
 
Sihitaji hilo somo, nachotaka hao wanaodai haki wajue kuzitofautisha na kuzipigania kwa wote bila kujali imani zao au itikadi zao, naamini umenielewa bibi.

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
Papa Francis haki ya ushoga? Huyo Lissu umechomekea tu hapo, hamjifichi wa rangi rangi.
 
Papa Francis haki ya ushoga? Huyo Lissu umechomekea tu hapo, hamjifichi wa rangi rangi.
Papa ile akili kubwa sana bibi, mtu wa sampuli yako kumuelewa kwanza utoke nje ya box ulilomo, ukiwa na akili za kuchinjana Papa lazima ushindwe kumuelewa.

Kwani Lissu hayupo kwenye title ya mada? au tatizo lako kutokuwekwa Hamas ndio chanzo cha yote?! basi mwambie mleta mada awaweke usiteseke bibi!.

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom