luambo makiadi
JF-Expert Member
- Nov 28, 2017
- 10,602
- 8,798
Baba Mtakatifu Papa Francis December 2 mwaka huu amemhamisha mhashamu Ludovick Minde (ALCP-OSS) kutoka jimbo Katoliki Kahama kwenda jimbo Katoliki Moshi.
Mhashamu Minde ni Askofu wa Jimbo la Kahama tangu mwaka 2001.
Mhashamu Ludovick Minde alizaliwa December 9 mwaka 1952 Kibosho mkoani Kilimanjaro, alipata upadre mwaka 1986 na uaskofu mwaka 2001.
Jimbo Katoliki Moshi lipo wazi kufuatia aliyekuwa Askofu wa Jimbo hilo Mhashamu Isaac Amani Massawe kuhamishiwa jimbo kuu Katoliki la Arusha.
Mhashamu Minde ni Askofu wa Jimbo la Kahama tangu mwaka 2001.
Mhashamu Ludovick Minde alizaliwa December 9 mwaka 1952 Kibosho mkoani Kilimanjaro, alipata upadre mwaka 1986 na uaskofu mwaka 2001.
Jimbo Katoliki Moshi lipo wazi kufuatia aliyekuwa Askofu wa Jimbo hilo Mhashamu Isaac Amani Massawe kuhamishiwa jimbo kuu Katoliki la Arusha.