mzee wa kismati
JF-Expert Member
- Aug 25, 2013
- 2,292
- 798
Acha sifa za kijinga, wamissionari walikaa sana moshi ndio maan wapo wengiNa ndiyo wasomi kupita maelezo na wanaongoza kiuchumi pia katika majimbo yao. Mweleze pia mkuu kuwa hata mapafre wa mashirika wengi ni wachagga na wamejaa huko Ughaibuni. Waendelee kuwachukia wachaaga maana ni wivu kwa TaifaTeule kama Israel. Hakuna mtu anaweza kushindana na Wachagga. Narudia hayupo. Kwa sasa wamewekwa kando na wao wako busy kupambana pesa. Siku wetesi wakinyanyua vichwa watawashangaa maana si kwa maendeleo hayo. Wao wakikazana kupeana vyeo na kutumbuana wachagga wako busy na mambo yao. Kuvuja kwa pakacha nafuu ya mchukuzi.