Jaji Mfawidhi
JF-Expert Member
- Feb 20, 2016
- 15,835
- 23,776
Kwahiyo mabeberu mnapo wachukia hamjuagi ni mfumo wa EMPIRE?akili ako inawaza siasa tu. mfumo wa kumchagua askofu ni wa roman empire system
fikiri nje ya Boksi?
Huko Lissu alipo, ubelgiji si nchi ya pili duniani kwa kutoa mapadre , JNa wewe na vibaraka wako mnawaita mabeberu , mnawachukia huku wao wao ndio wanawapangia mapadre na maaskofu, wanawapangia mpaka sala, nini muombe na nini msiombe, aisee mnahitaji ukombozi wa kifikra