Papa Francisko amteua Askofu Ludovick Minde kuwa Askofu wa Jimbo Katoliki la Moshi

Acha sifa za kijinga, wamissionari walikaa sana moshi ndio maan wapo wengi
 
Ni mfumo bora kabisa unaendeshwa na Kanisa Katoliki ndio maana hauwezi kusikia migogoro kama kwenye makanisa mengine wanaojichagulia viongozi,makanisa yemekaa kama vyama vya siasa bhana. Lidumu Katoliki Milele.
Unaonaje mfumo huo huo ukatumiwa kwenye SIASA watuwawe na demokrasia ndio maana huwezi kabisa kusikia VITA YA WENYEWE KWA WENYEWE HUKOUINGEREZA NA MAREKANI?
 
Sikuwahi kujua kama Papa anatuteulia hadi maasikofu wa wetu...
 
Sikuwahi kujua kama Papa anatuteulia hadi maasikofu wa wetu...
Sema sikujua "Beberu" anatuteulia mpaka askofu!
Nddio maana bora haya makanisa ya kilokole wanafanya uchaguzi wao wenyewe, wanachaguana na wakatoliki hawapendi hiyo demokrasia wanataka amtu ateuliwe na mabeberu maana WANA AMINI MABEBERU WAPO KARIBU NA MUNGU ZAIDI.
 
Unafiki!! majungu !!!rohombaya!!!uchonganishi vinalitafuna kanisa!! wakatoliki tubadirike!!!
Kwa mipango alokuwa nayo kahama kulikuwa hakuna sababu ya kumuhamisha!!!
 
Upo sahihi kabisa
 
Hahahahhaaaaa askofu wa Tanganyika anateuliwa na barua toka italia!
 
Acha sifa za kijinga, wamissionari walikaa sana moshi ndio maan wapo wengi
Historia umekupita sana. Kweli walikuwa Moshi wakazalisha Wakristo wengi. Na pia iko mikoa mwingine walikuwa Wamissionari pia. Kinachoongelewa hapa ni wingi wa mapadre na watawa kutoka Moshi wako wengi duniani wengi na wanaongoza maeneo mbalimbali. Tatizo watu anti kanda ya Kaskazini hasa wachagga hamuwapendi kwa sababu ya maendeleo yao. Wale jamaa wanajielewa sana.
Mpaka sasa wametengwa lakini hawajatetereka. Subiri ifikee 15th December ndiyo utawaelewa. Mipango yako iko palepale
 
Tunawachukia kwa kupenda kujisifia bila fact. Nimekwambia wamissionari walibase zaidi moshi na kagera ndio maana kuna mapadri wengi sana maaaeneo. Mim nalijua kanisa katoliki kushinda ukoo wenu wote
 
Ni wacha Mungu pia au ni mapadri wa mshahara tu!!?
 

Fvck religions
 
Mabeberu wanatuamulia kiongozi, hii si sawa kabisa. Waafrika tufike mahali tuamue mambo yetu wenyewe.Hawa viongozi sisi ndio tunawajua.
akili ako inawaza siasa tu. mfumo wa kumchagua askofu ni wa roman empire system
 
Ni mfumo bora kabisa unaendeshwa na Kanisa Katoliki ndio maana hauwezi kusikia migogoro kama kwenye makanisa mengine wanaojichagulia viongozi,makanisa yemekaa kama vyama vya siasa bhana. Lidumu Katoliki Milele.
Ipo lakini inamalizwa kistaarabu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…