Acha sigara! 6000 anayozungumia ni 6000 kwel yaan kama $2.25 hv sio huo uchafu wa zimbabwe ambao ukibadilisha inaweza isifike dola moja.Je hii taarifa umeitoa wapi?
Je unafahamu GDP ya ufarasa? (Hapa ili uelewe elewa huu mfano: Hapo Zimbamwe parachichi moja lauzwa Milioni 20)
Je unafahamu gharama halisi za kulifikisha sokoni hilo parachichi moja?
😀 😀 😀 😀 😀 😀Acha kutukebehi sisi wahitim!!, yaani tumekosa mtaji wa kuuza chips hapa bongo tupate mtaji wakusafirisha parachichi ulaya?. Au wewe ni Abdul?
uwezi amini hayo ma parachichi yanatoka kenya kupitia tanzaniaKwa sisi graduates tuliopo mtaani mchongo huu , yani parachichi moja hapo ufaransa linanunuliwa kwa elfu 6
Tuchangamkie fursa wazee utajiri upo ni kuamua tu
#msaka_ajira
sio kweli mkuu, kuna parachichi aina ya hass na wesso ni parachichi pendwa huko ulaya ambapo tanzania inazalisha kwa wingi na madalali wakubwa ni kutoka kenya.Hahaaa!! Asilimia 90 ya parachichi zinazoliwa Tz, hazina sifa ya kuliwa ULAYA!! tambua hilo.
Pesa nyingi sana hiyo aiseeKwa sisi graduates tuliopo mtaani mchongo huu , yani parachichi moja hapo ufaransa linanunuliwa kwa elfu 6
Tuchangamkie fursa wazee utajiri upo ni kuamua tu
#msaka_ajira
Hakika mkuu viongozi wetu bado ni changamoto sana Aiseeni kweli kwa tanzania urasimu wetu ndo unatupa shida huezi amini sisi tunazalisha mara 10 ya kenya ila kenya ndo anaitwa mzalishaji na exporter wa parachichi sababu ya process ndogo sana grading(ubora,ukubwa) na urahisi wa ku export jamani na kenya anatoa maparachichi mengi tanzania mwisho wa siku yeye ndo anachukua tittle ya producer mkubwa http://files.eacce.org.ma/pj/[1569600032]Kenya.pdf. ....sujui lini tutafungua macho kama kwenye tanzanite tz tunatumika vibaya sana sababu ya viongozi wetu kukosa maono na kurahisisha urasimu wakupeleka vitu nje mwisho ....mungu atusaidie
Huo ni uongo, uongo bhanauwezi amini hayo ma parachichi yanatoka kenya kupitia tanzania
Vipi gharama za usafiri, package na vibali mpaka linafika sokoni uko ufaransa?Kwa sisi graduates tuliopo mtaani mchongo huu , yani parachichi moja hapo ufaransa linanunuliwa kwa elfu 6
Tuchangamkie fursa wazee utajiri upo ni kuamua tu
#msaka_ajira
Parachichi zinazoliwa Tanzania ni zipi na zinazoliwa ulaya ni zipi?Hahaaa!! Asilimia 90 ya parachichi zinazoliwa Tz, hazina sifa ya kuliwa ULAYA!! tambua hilo.
Pesa kiduchu tu hiyo, worry outVipi gharama za usafiri, package na vibali mpaka linafika sokoni uko ufaransa?
Tunaomba mchanganuo mkuuPesa kiduchu tu hiyo, worry out
Usijali acha nitawaletea muongozo soon hapaTunaomba mchanganuo mkuu
Ulaya parachichi ni hivi vidogo vidogo vyenye ngozi yenye ''ukurutu''. Yanachukuwa muda mrefu kuiva. Haya makubwa sijawahi kuyaona kwa wingi na sijui sababu ni kuiva haraka au kuna sababu nyingineParachichi zinazoliwa Tanzania ni zipi na zinazoliwa ulaya ni zipi?
kwahiyo utafikisha ufaransa kwa whatsApp auKwa sisi graduates tuliopo mtaani mchongo huu, yaani parachichi moja hapo Ufaransa linanunuliwa kwa elfu 6
Tuchangamkie fursa wazee utajiri upo ni kuamua tu
#msaka_ajira