Zeus1
JF-Expert Member
- Aug 24, 2017
- 7,152
- 9,206
Shetani aliyekufa juzi ni yupi huyo mr.buji?Michael Jackson umetuzalia shetani pepo mchafu.
Shetani mmoja kafa juzi, mwanao anamrithi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shetani aliyekufa juzi ni yupi huyo mr.buji?Michael Jackson umetuzalia shetani pepo mchafu.
Shetani mmoja kafa juzi, mwanao anamrithi
Wasagane mpaka kwa mpalange wataangalia wenyewe shwaini
duuuuh🤔🤔Ni ujinga kuzuia uigizaji huo, sababu hata huyo Yesu mwenyewe hajawai kuwepo
Ndyo huyo huyoHivi huyu ndio yule binti ambaye Doctor alikipandikizia mbegu zake badala ya Michael?? Mwana haramu huyu
Kwa wewe ambaye huna historia kujua kwanini yule bwana alifanyiwa makeup afanane vile ndio unapata shida.Yule bwana Brayan Decon mkakati ule ulifanikiwa kufanya kazi kwa asilimia 100% Aiseee .
Mtu wengi ukiongelea habari za bwana Yesu taswira inayokuja kichwani mwake ni ya yule bwana
Nikapata wasaa nitaleta habari yake yule bwana
Nimekuelewa sana..wafia dini hawatoelewaWatu wakimdhihaki Mungu usipaniki acha Mungu ajitetee mwenyewe.Kwani Mungu hawezi kujitetea yeye mwenyewe?Yaani Mungu amuumbe binadamu kwa mikono yake mwenyewe halafu ashindwe kumdhibiti?Mimi nashauri wacheze pia filamu inayoonyesha kuwa Yesu na Mungu ni mashoga.
Baada ya ufahamu niliyabandua yote ndani, bado nashangaa kanisa katoliki kipindi cha kwaresma zile picha ukutani kuabudu?[emoji848][emoji848]Bora watoe na hii movie ili wazidi kuwachanganya wajinga zaidi. Maana kiasi hiki cha muigizaji wa Hollywood kubandikwa picha yake kwenye baadhi ya nyumba kuwa tukiamin ndo yesu dah ni shida. Yesu mwenyewe huko aliko nadhan anaumia sana
Ukifuatilia movie zilizochezwa hapo nyuma, zimewaaminisha wengi kua mtu yule aliyecheza movie zile ndie yesu christo pamoja na matendo yale wanayoyaona...
Hadi imefkia hatua picha za bwana yule zimewekwa majumbani na hata makanisani, na watu wengi, watoto kwa watu wazima wanaamini kua yule ndio yesu mweyewe..
Kama watu wameweza kuamini filamu hio iliyopita kwa kiasi kile, basi tutegemee UPOTOSHAJI mkubwa kwa vizazi vipya vijavyo.. Maana siku hizi watoto wetu wanaangalia chochote kile kwenye TV zetu Majumbani..
"The end is Near.."
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Matoto ya kuzimu bana[emoji848]
umenena haswaaah rafiki, nimekuelewa vema.Watu wakimdhihaki Mungu usipaniki acha Mungu ajitetee mwenyewe.Kwani Mungu hawezi kujitetea yeye mwenyewe?Yaani Mungu amuumbe binadamu kwa mikono yake mwenyewe halafu ashindwe kumdhibiti?Mimi nashauri wacheze pia filamu inayoonyesha kuwa Yesu na Mungu ni mashoga.
Na mie nashangaa hapa.Waafrika ni watu wajinga sana. Ndio, narudia tena, Waafrika ni watu wajinga sana. Kwa mfano, wao ndio wamekwazwa sana na hii film kuliko hao wazungu wenye Yesu wao. When are you going to work up Africans? Why are you so stupid like this?
AiseeeHiyo movie itoke haraka iwezekanavyo, watazamaji tunaisubiri kwa hamu kubwa.
Aiseee ,taarifa ilisema makundi, ya kikristo huko huko USA ndiyo yaliyopinga sasa waafrika wametoka wapi???Waafrika ni watu wajinga sana. Ndio, narudia tena, Waafrika ni watu wajinga sana. Kwa mfano, wao ndio wamekwazwa sana na hii film kuliko hao wazungu wenye Yesu wao. When are you going to work up Africans? Why are you so stupid like this?
Hongera mkuu kwa kujua kidogo hako kahistoriaKwa wewe ambaye huna historia kujua kwanini yule bwana alifanyiwa makeup afanane vile ndio unapata shida.
Ila ngoja tukutoe kwenye kundi la Wapumbavu Warner Sallman 1940 ndio alichora picha ikawa maarufu ikauza copy 500 milioni, kwahiyo wakapidi wamfanyie makeup Decon afanane na huo mchoro.
Hakuna nyumba yenye picha ya Decon isipokuwa mchoro wa Warner.
Kwa wewe ambaye huna historia kujua kwanini yule bwana alifanyiwa makeup afanane vile ndio unapata shida.
Ila ngoja tukutoe kwenye kundi la Wapumbavu Warner Sallman 1940 ndio alichora picha ikawa maarufu ikauza copy 500 milioni, kwahiyo wakapidi wamfanyie makeup Decon afanane na huo mchoro.
Hakuna nyumba yenye picha ya Decon isipokuwa mchoro wa Warner.
JiweDaah bado nafikiria ni shetani gani kafa juzi
au usikute ni yule mkuu wa nchi [emoji28][emoji28]
JiweShing'weng'we, ibututu, setano yaani shetani muovu kuliko wote.
Alipigwa upper cut moja na covid....