balibabambonahi
JF-Expert Member
- Apr 5, 2015
- 15,771
- 14,294
Uko sawa mkuu,Mungu ana nguvu zote na anajitetea mwenyeweSijavuka mpaka wowote,kwani siyo sahihi kusema kuwa Mungu ana uwezo wa kujitetea akidhihakiwa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uko sawa mkuu,Mungu ana nguvu zote na anajitetea mwenyeweSijavuka mpaka wowote,kwani siyo sahihi kusema kuwa Mungu ana uwezo wa kujitetea akidhihakiwa?
Labda hujanielewa, hiyo issue ya kikristo iko Afrika tuAiseee ,taarifa ilisema makundi, ya kikristo huko huko USA ndiyo yaliyopinga sasa waafrika wametoka wapi???
Pia wakristo wana haki ya Kusimama kidete kutetea Maudhui ya Wanachokiamini
Anhaa sawa mkuuLabda hujanielewa, hiyo issue ya kikristo iko Afrika tu
Hakunaga mwisho Dunia iko hivi ilivyo na itabaki kuwa hivi ilivyo kilichopo Ni kwamba always watu wenye power Duniani wenye nguvu ya kiutawala ,kisiasa , kiuchumi, Technology na Nguvu ya ushawishi ndio huwa wanaamua Namna ambavyo Dunia inapaswa kuendeshwa kwaajili ya maslahi Yao wenyewe na Mara nyingi wanapoleta mifumo hiyo huwa mifumo hiyo inabadilika na kuzoeleka kwa watu na kuwa Kama sehemu ya Imani Binaadamu huanza kusahau kuwa vitu hivyo Ni vya kutungwa tu na Binaadamu wenzao wanasahau kwa sababu Ni mapokeo ambayo yatakuwa Yana rithishwa kwa vizazi baada ya vizazi Ni kama mfano Leo hi tunavyo Amini katika mfumo wa calendar ya Gregorian Au tunavyo Amini katika Mfumo wa masaa ' Kiasi kwamba Unaweza jikuta unasahau kabisa kuwa hiyo ni mifumo na imewekwa na watuUkifuatilia movie zilizochezwa hapo nyuma, zimewaaminisha wengi kua mtu yule aliyecheza movie zile ndie yesu christo pamoja na matendo yale wanayoyaona...
Hadi imefkia hatua picha za bwana yule zimewekwa majumbani na hata makanisani, na watu wengi, watoto kwa watu wazima wanaamini kua yule ndio yesu mweyewe..
Kama watu wameweza kuamini filamu hio iliyopita kwa kiasi kile, basi tutegemee UPOTOSHAJI mkubwa kwa vizazi vipya vijavyo.. Maana siku hizi watoto wetu wanaangalia chochote kile kwenye TV zetu Majumbani..
"The end is Near.."
Sindio hapo [emoji3]Wakiamua wanaweza coz hata historia za dini zilizopo leo walitupatia wao..
Wooooiiiii [emoji3][emoji3][emoji419][emoji1732]Watu wakimdhihaki Mungu usipaniki acha Mungu ajitetee mwenyewe.Kwani Mungu hawezi kujitetea yeye mwenyewe?Yaani Mungu amuumbe binadamu kwa mikono yake mwenyewe halafu ashindwe kumdhibiti?Mimi nashauri wacheze pia filamu inayoonyesha kuwa Yesu na Mungu ni mashoga.
Kavuka mipaka vipi Sasa !?? Wewe ungemjua huyo yesu bila hao Wazungu ,?? Sasa Wazungu hao hao walio kufundisha kuhusu yesu wameamua kuigiza maisha ya yesu Kwa jinsia ya kike Ajabu unapanick !? Ina maana wewe umeshakuwa unamjua yesu Sana kuliko hao Wazungu walio kufundisha huyo yesu ?? [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3].Daa Mkuu umevuka mipaka asee,
Hivyo vyote Ni myth tu , Hakun shetani Wala Nini Ni uongo mtupuAlianza yule wa kiatu cha shetani wameona haitoshi wanakuja na filamu kitakachoshangaza nikwamba unaweza kuta copy zote zitaisha siku moja
Aliyegundua pesa ndio ameleta yote haya
Haumjui !? [emoji3][emoji3]Shetani aliyekufa juzi ni yupi huyo mr.buji?
Sure [emoji419]Ni ujinga kuzuia uigizaji huo, sababu hata huyo Yesu mwenyewe hajawai kuwepo
[emoji3][emoji3][emoji3]Hongera mkuu kwa kujua kidogo hako kahistoria
Na mimi nitakutoa katika kundi la Wajinga pale nitakapokueleza kuhusu Leornardo Leornardo Davinci, Borgia Caesar, Master Jesus(Antichrist) na huyo Deacon ......
Hadi wakina peter Heymen walipotayarisha movie katika mchuano wa watu 250+
Usjali mkuu tutatoana tu katika makundi mbalimbali taratibu kama ulivyonitoa mimi katika kundi la wapumbavu
😂😂😂[emoji3][emoji3][emoji3]
AiseeHivyo vyote Ni myth tu , Hakun shetani Wala Nini Ni uongo mtupu
aiseee kwanini nayo waliikata mkuuHata THE PASSION OF CHRIST pia wayahudi waliikataa
Aisee sawa mkuuHakunaga mwisho Dunia iko hivi ilivyo na itabaki kuwa hivi ilivyo kilichopo Ni kwamba always watu wenye power Duniani wenye nguvu ya kiutawala ,kisiasa , kiuchumi, Technology na Nguvu ya ushawishi ndio huwa wanaamua Namna ambavyo Dunia inapaswa kuendeshwa kwaajili ya maslahi Yao wenyewe na Mara nyingi wanapoleta mifumo hiyo huwa mifumo hiyo inabadilika na kuzoeleka kwa watu na kuwa Kama sehemu ya Imani Binaadamu huanza kusahau kuwa vitu hivyo Ni vya kutungwa tu na Binaadamu wenzao wanasahau kwa sababu Ni mapokeo ambayo yatakuwa Yana rithishwa kwa vizazi baada ya vizazi Ni kama mfano Leo hi tunavyo Amini katika mfumo wa calendar ya Gregorian Au tunavyo Amini katika Mfumo wa masaa ' Kiasi kwamba Unaweza jikuta unasahau kabisa kuwa hiyo ni mifumo na imewekwa na watu
Walidai yale lateso yalikuwa too extreme kuliko uhalisiaaiseee kwanini nayo waliikata mkuu