Da Vinci XV
JF-Expert Member
- Dec 7, 2019
- 3,862
- 6,438
- Thread starter
-
- #81
ni ukweli wacko sio biological father wakeHuyu mtoto sio bao la Michel Jackson. Ni mbegu ya jamaa fulani mwenye asili ya Israel ambae alipandikiza mbegu na mke wa Michael Jackson...
AiseeeUkitaka kuwaelewa hawa wazungu ni kiasi gani wanafedhehesha dini za watu,jaribu kutafuta series moja inaitwa Preacher humo ndo utaona aibu mwenyewe,unakaa unajiuliza hivi huyu muandika scripts alikua anawaza nini na ni nini ujumbe wake humu.
Naam zipo riwaya nyingine zinasema hata ile misumari kiuhalisia hakupigwa pale msalabani bali alifungwa kwa kamba tuWalidai yale lateso yalikuwa too extreme kuliko uhalisia
Ukileta unitagYule bwana Brayan Decon mkakati ule ulifanikiwa kufanya kazi kwa asilimia 100% Aiseee .
Mtu wengi ukiongelea habari za bwana Yesu taswira inayokuja kichwani mwake ni ya yule bwana
Nikapata wasaa nitaleta habari yake yule bwana
Yeah ni ukwelini ukweli wacko sio biological father wake
sawasawaYeah ni ukweli
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kavuka mipaka vipi Sasa !?? Wewe ungemjua huyo yesu bila hao Wazungu ,?? Sasa Wazungu hao hao walio kufundisha kuhusu yesu wameamua kuigiza maisha ya yesu Kwa jinsia ya kike Ajabu unapanick !? Ina maana wewe umeshakuwa unamjua yesu Sana kuliko hao Wazungu walio kufundisha huyo yesu ?? [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3].
Kweli miafrica ndio tulivyo
hana uafrica ndiyoNi mzungu pure hana uafrikast wowote?
Nilitaka kushangaa Michael alivyokuwa amelegea anatoa wapi mbegu?Hivi huyu ndio yule binti ambaye Doctor alikipandikizia mbegu zake badala ya Michael?? Mwana haramu huyu
daaahππππNilitaka kushangaa Michael alivyokuwa amelegea anatoa wapi mbegu?
Shing'weng'we, ibututu, setano yaani shetani muovu kuliko wote.
Alipigwa upper cut moja na covid....
Wewe wasema, be blessedMkuuu utakuwa ulipitiwa na Fabio la wenye vyeti Fake!!!
πππWewe wasema, be blessed
Kwa maslahi yao binafsiHata THE PASSION OF CHRIST pia wayahudi waliikataa
Laana inawaendesha
Waafrika ni watu wajinga sana. Ndio, narudia tena, Waafrika ni watu wajinga sana. Kwa mfano, wao ndio wamekwazwa sana na hii film kuliko hao wazungu wenye Yesu wao. When are you going to woke up Africans? Why are you so stupid like this?