Sikudokoa Mboga yako
JF-Expert Member
- Mar 13, 2022
- 462
- 947
Where are you dude ?.Neimar anaigharimu timu,,,,analazimisha chenga ziczokuwa na manufaa katika timu hadi ananyang'anywa.
Messi angetimkia man city ingemfaa zaidi, maana atakutana na watu wazima,, sasa huko psg ni wakubwa lakini bado utoto unawasumbua😁
Jana nimechekinmakosa mengi walifanya, goli la pili limesababishwa na uzembe wa kipa, na goli la tatu limesababishwa na uzembe wa maquinos.
Your thread is rotting here.