PAROKO: Tusikae kimya sasa kusubiri Miaka 10 ijayo Rais wetu aandike Kitabu cha kujutia kuingia mkataba huu mbovu wa Bandari.

PAROKO: Tusikae kimya sasa kusubiri Miaka 10 ijayo Rais wetu aandike Kitabu cha kujutia kuingia mkataba huu mbovu wa Bandari.

Wao kanisa wanaandika lini kitabu cha kujutia kuwa mawakala wa Wakoloni ( Majambazi wa rasilimali) Afrika ?

Kitabu cha kujutia kuratibu mauaji ya Kimbari na Wayahudi kinatoka lini?
Wanazidi kugonga spana tu 😂
Wajibuni kwanza hoja za bandari kisha mlete hizo zenu
 
𝗠𝗨𝗡𝗚𝗨 𝗧𝗨𝗦𝗔𝗜𝗗𝗜𝗘

𝘮𝘬𝘢𝘵𝘢𝘣𝘢 𝘩𝘶𝘶 𝘢𝘭𝘪𝘶𝘬𝘢𝘵𝘢𝘢 𝘮𝘢𝘨𝘶𝘧𝘶𝘭𝘪 𝘬𝘸𝘢𝘯𝘻𝘢 𝘢𝘬𝘢𝘴𝘦𝘮𝘢 𝘬𝘪𝘤𝘩𝘢𝘢 𝘱𝘦𝘬𝘦𝘦 𝘯𝘥𝘪𝘦 𝘢𝘯𝘢𝘦𝘸𝘦𝘻𝘢 𝘬𝘶𝘶𝘬𝘶𝘣𝘢𝘭𝘪 𝘭𝘢𝘬𝘪𝘯𝘪 𝘮𝘢𝘮𝘢 𝘬𝘢𝘶𝘬𝘶𝘣𝘢𝘭𝘪

𝘮𝘬𝘢𝘵𝘢𝘣𝘢 𝘩𝘶𝘶 𝘶𝘮𝘦𝘱𝘪𝘯𝘨𝘸𝘢 𝘯𝘢 𝘛𝘓𝘚 (𝘛𝘢𝘯𝘻𝘢𝘯𝘪𝘢 𝘭𝘢𝘸 𝘚𝘰𝘤𝘪𝘦𝘵𝘺 𝘪𝘯𝘢 𝘮𝘦𝘮𝘣𝘦𝘳 𝘬𝘢𝘳𝘪𝘣𝘶 7000) 𝘭𝘢𝘬𝘪𝘯𝘪 𝘮𝘢𝘮𝘢 𝘴𝘢𝘮𝘪𝘢 𝘺𝘶𝘬𝘰 𝘬𝘪𝘮𝘺𝘢 𝘯𝘢 𝘸𝘢𝘵𝘢𝘯𝘻𝘢𝘯𝘪𝘢 𝘵𝘶𝘮𝘦𝘯𝘺𝘢𝘮𝘢𝘻𝘢

𝘮𝘬𝘢𝘵𝘢𝘣𝘢 𝘶𝘮𝘦𝘱𝘪𝘯𝘨𝘸𝘢 𝘯𝘢 𝘸𝘢𝘯𝘢𝘩𝘢𝘳𝘢𝘬𝘢𝘵𝘪 𝘯𝘢 𝘮𝘢𝘸𝘢𝘬𝘪𝘭𝘪 𝘬𝘸𝘢𝘮𝘣𝘢 𝘯𝘪 𝘮𝘣𝘰𝘷𝘶 𝘩𝘢𝘶𝘯𝘢 𝘮𝘢𝘴𝘭𝘢𝘩𝘪 𝘺𝘰𝘺𝘰𝘵𝘦 𝘯𝘢 𝘷𝘪𝘱𝘦𝘯𝘨𝘦𝘭𝘦 𝘯𝘪 𝘷𝘪𝘣𝘰𝘷𝘶 𝘴𝘦𝘳𝘪𝘬𝘢𝘭𝘪 𝘪𝘱𝘰 𝘬𝘪𝘮𝘺𝘢

𝘸𝘢𝘯𝘢𝘴𝘪𝘢𝘴𝘢 𝘸𝘢𝘮𝘦𝘶𝘱𝘪𝘯𝘨𝘢 𝘊𝘏𝘈𝘋𝘌𝘔𝘈 𝘈𝘊𝘛 𝘬𝘢𝘴𝘰𝘳𝘰 𝘸𝘢𝘯𝘢 𝘊𝘊𝘔 𝘭𝘢𝘬𝘪𝘯𝘪 𝘣𝘢𝘢𝘥𝘩𝘪 𝘺𝘢𝘰 𝘸𝘢𝘯𝘢 𝘊𝘊𝘔 𝘸𝘢𝘮𝘦𝘶𝘱𝘪𝘯𝘨𝘢

𝘮𝘢𝘢𝘴𝘬𝘰𝘧𝘶 𝘯𝘢𝘰 𝘸𝘢𝘮𝘦𝘶𝘱𝘪𝘯𝘨𝘢 𝘬𝘸𝘢 𝘩𝘰𝘫𝘢 𝘮𝘢𝘢𝘬𝘶𝘮𝘶 𝘯𝘢 𝘮𝘱𝘬𝘢 𝘴𝘢𝘴𝘢 𝘩𝘢𝘸𝘢𝘫𝘢𝘫𝘪𝘣𝘪𝘸𝘢
𝘮𝘢𝘮𝘢 𝘢𝘯𝘢𝘴𝘦𝘮𝘢 𝘢𝘯𝘢𝘬𝘢𝘢 𝘬𝘪𝘮𝘺𝘢 𝘯𝘢 𝘢𝘵𝘢𝘦𝘯𝘥𝘦𝘭𝘦𝘢 𝘬𝘶𝘬𝘢𝘢 𝘬𝘪𝘮𝘺𝘢

𝗧𝗮𝗻𝘇𝗮𝗻𝗶𝗮 𝘁𝘂𝗮𝗺𝗸𝗲 𝘀𝗮𝘀𝗮 𝘄𝗼𝘁𝗲 𝘁𝘂𝗻𝗮𝗷𝗶𝗼𝗻𝗲𝗮
hata Royal tour tulipinga na kukejeli sana lakini baad ya mafanikio yake tumeufyata …angalau Bagonza juzi amekiri mafanikio ya sakta ya Utalii

msijipe umungu wa kujifanya mmeshaiona 2030!
 
hata Royal tour tulipinga na kukejeli sana lakini baad ya mafanikio yake tumeufyata …angalau Bagonza juzi amekiri mafanikio ya sakta ya Utalii

msijipe umungu wa kujifanya mmeshaiona 2030!
Mafanikio yapi na Dola imekuwa finyu?

Au siku hizi Wazungu na watalii wanakuja na Pesa ya madafu ya TShilings?

Namba hazidanganyi.
 
hata Royal tour tulipinga na kukejeli sana lakini baad ya mafanikio yake tumeufyata …angalau Bagonza juzi amekiri mafanikio ya sakta ya Utalii

msijipe umungu wa kujifanya mmeshaiona 2030!
Takwimu za kubumba kuonesha Royo tua imefanikiwa
 
Kumshambulia Paroko haisaidii, Jibu hoja
Hana hoja ana mitazamo ya kijamaa wakati dunia ni ya ushindani isiyo na huruma hata kidogo.

Huwezi kujitetea unapotaka kuukwepa uwekezaji kwa mawazo ya kijamaa wakati uzembe mwingi kwenye sekta ya elimu ukiendelea kutukosesha sifa za kuajirika kwenye masoko ya kazi kimataifa.

Profesa Assad akisema ukweli anachukiwa na kuishia kufukuzwa kazi, lakini huo ndio ukweli ambao Mzee Lowassa alishausema pale jangwani, kwamba elimu ni kila kitu kwetu sisi haswa katika kufanya mipango mikubwa kama hii wanayoifanya DP World.
 
haya majamaa yana akili sana😂😂

mpaka sasa tunchojua tukimwona mwarabu hapa bandari nu kwamba mama kakataa kushauriwa.
Tukimuona Bandarini tu tunajua Maza amekataa kushauriwa 😂😂
Huko Mbeleni asitudanganye anajutia
 
Hana hoja ana mitazamo ya kijamaa wakati dunia ni ya ushindani isiyo na huruma hata kidogo.

Huwezi kujitetea unapotaka kuukwepa uwekezaji kwa mawazo ya kijamaa wakati uzembe mwingi kwenye sekta ya elimu ukiendelea kutukosesha sifa za kuajirika kwenye masoko ya kazi kimataifa.

Profesa Assad akisema ukweli anachukiwa na kuishia kufukuzwa kazi, lakini huo ndio ukweli ambao Mzee Lowassa alishausema pale jangwani, kwamba elimu ni kila kitu kwetu sisi haswa katika kufanya mipango mikubwa kama hii wanayoifanya DP World.
Wapi walipopinga Uwekezaji
Watu wanapinga Mkataba Mbovu sio Uwekezaji
 
Wanazidi kugonga spana tu [emoji23]
Wajibuni kwanza hoja za bandari kisha mlete hizo zenu
Hoja ipi? ya kusema hawataki kabisa uwekezaji kwa kigezo kuwa tunayo local capacity?…hiyo hoja angeisema Gwajima au Mwamposa ningemuelewa kwa kuwa ana autonomy ya kuongoza kanisa lake 100%, hao wengine kila kitu wanategemea Muongozo kutoka Ulaya halafu wanashangaa Serikali kualika wawekezaji wa nje?

inakuaje huu uchungu wa Bandari hawakuwa nao wakati migodi ikibinafsishwa kwa wazungu?
 
DP World atakapoanza kazi pale bandarini atatafuta wenye elimu awatumie, lakini ipo fursa ya kuwaendeleza wataalam wetu wazalendo kupitia mafunzo ya masuala ya bandari katika vyuo vyetu tulivyonavyo, na tuitumie fursa hii na sio kuishia kulia wivu kila anapotaka kuja mwekezaji fulani.
 
Hoja ipi? ya kusema hawataki kabisa uwekezaji kwa kigezo kuwa tunayo local capacity?…hiyo hoja angeisema Gwajima au Mwamposa ningemuelewa kwa kuwa ana autonomy ya kuongoza kanisa lake 100%, hao wengine kila kitu wanategemea Muongozo kutoka Ulaya halafu wanashangaa Serikali kualika wawekezaji wa nje?

inakuaje huu uchungu wa Bandari hawakuwa nao wakati migodi ikibinafsishwa kwa wazungu?
Wapi kwenye TAMKO waliposema wanapinga Uwekezaji?
N.B - Kwani ile gesi ya Mtwara tumeshafaidika nayo kwa kiasi gani?
 
DP World atakapoanza kazi pale bandarini atatafuta wenye elimu awatumie, lakini ipo fursa ya kuwaendeleza wataalam wetu wazalendo kupitia mafunzo ya masuala ya bandari katika vyuo vyetu tulivyonavyo, na tuitumie fursa hii na sio kuishia kulia wivu kila anapotaka kuja mwekezaji fulani.
Haya mliyasema wkt wa Uwekezaji wa Gesi kule Mtwara ila hatuoni chochote
 
Back
Top Bottom