Part II: Bado safari yangu ya kusaka utajiri wa nguvu za giza inaendelea

Status
Not open for further replies.
Sawa mlokole, endelea kusubiria ashindwe na kulegea!
Isingekua hofu ya Mungu ningekuunganisha kule mbunge mmoja darasa la Saba alikoenda.
Kaka hata mtu akija kukudai akikuona tu anasahau.
Maduka ya majirani zako yanatiwa wingu wateja hawayaoni.
Utauza mpaka umalize ndio wingu linafunguka.
Hirizi hii moja tu utapiga hela ushindwe pa kuzihifadhi. Sharti lake moja tu. Mkeo atakua anagawa uroda Kama pipi.
 
Njoo!!! nikufanyie mimi ndagu!!! kwa masharti nafuu! ki hivi lazima ujitoe wewe Mwenyewe kafara kabla ya kukupa utajiri!!! yaani nikuue wewe kwanza!! So ufe siku 7 then!! kwa masharti rahisi kabisa utakuwa km hivi ''wakati nakuua usifinye finye macho!!

km ikitokea umefinya maksudi au bahati mbaya hii ni ishara ya kwenda moja kwa moja!! hurudi.
km uko tayari! nione kwa e-mail nyarusare@gmail.com ..... siku ya kuja usiangalie nyuma!! wala kumuaga Mtu yeyote awae! wala kusema sema na mtu njiani! uwe bubu wa muda!

Hela ya kwanza utakayo pata uilete madhabahuni! kadri utakavo kuwa unakufa hela zinakuja hizoooooo
 
Hujapata wapi ? Nenda Pm .
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Vipi ngende liwale Kyle kwa mpiga miti umefika
 
Mkuu,mtafute Luanda magere alietoa story yake r.f.a,ukimpata pale nadhani itakua umefanikiwa,akitia mpaka namba yake ya Vodacom,Kama vipi mpigie mwambie uko wapi,umfuate na ongea nae,atakueleza Kila kitu na michongo yote.
Ila nadhani usiongee nae kwenye simu.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…