Isingekua hofu ya Mungu ningekuunganisha kule mbunge mmoja darasa la Saba alikoenda.Sawa mlokole, endelea kusubiria ashindwe na kulegea!
Mdogo wangu whyme Kama huna kifanyio Kuna Raha gani ya kuishi?Sihitaji mana sina mke na zaidi sina mashine, niliikata kwenye process za kuutafuta utajiri wakapewa mbwa wakala, endelea kua na hofu na huyo mungu wako.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sijui nisemeje mpaka uelewe.
Hujapata wapi ? Nenda Pm .Kama ambavyo awali nilikwisha jitokeza kuomba 'Connection' ya mtaalam au wataalam wa ndagu za utajiri au utajiri wa nguvu za giza.
Nasikitika kusema kuwa bado sijapata haswa sehemu ambayo mhusika anaweza kunishika mkono kunipeleka au kuwa kama 'Godfather' kuniinguza katika ufalme huo wa giza haswa kupata utajiri.
Mwanzoni uzi wangu nilishuhudia walioniunga mkono, nilipata madalali wengi, matapeli pia walikuepo, wachache walionielekeza sehemu asilimia kubwa nilikuta mtaalam amehama / kufariki kwahio kuniwia vigumu.
Najua pia ilivyo ngumu mtu kuamini haswa kwa dhati kwamba huyu mtu kweli anataka kuchukua njia hio na kupelekea hata aliyekua na connection au alie upande huo kuwa na ugumu sana kukupa connection. Wengine tu hawataki, hakuna sababu maalum lakini hawataki tu na huwezi kumlazimisha.
Mimi bado naendelea na safari yangu ya kuutafuta utajiri wa nguvu za giza au ufalme wa giza, hakuna ubaya katika hilo, ni imani kama imani nyingine, umasikini ni laana, umaskini hauzoeleki, siutaki umaskini, nimeulaani umaskini, na mpendwa wangu Lucifer alisema wazi kuwa ukinisujudia nitakupa mali zote za dunia hii, nami nataka ku claim hiyo power.
Hivyo naendelea kujitokeza kwa wale ambao wataweza kunisaidia kunipa.connection ya UHAKIKA.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwahiyo ww unagegedwa tuu,pole saana ss hizo hela za kazi gani?Sihitaji mana sina mke na zaidi sina mashine, niliikata kwenye process za kuutafuta utajiri wakapewa mbwa wakala, endelea kua na hofu na huyo mungu wako.
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Lucifer anatafuta watu wa aina flani, wenye akili flani, wenye ushawishi kwenye jamii, sio kila mtu, hao wengine anawafanya vibweng'o tu na misukule inayoishi.
Hata andiko ulilolinukuu, shetani alimwambia Yesu amsujudie ili ampe Mali kwani yeye Lucifer humpa AMTAKAYE, sio amtafutae!!! Sasa we endelea kujipendekeza kwake uone atakavyoiteketeza familia yako!!
Safari ya utajiri.
Luguru ile ile nayoijua?sidhan kama Kuna hao wataalamuKuna mtu anataja LUGULU iko mkoa wa Simiyu lakini ukimfuata PM hajibu.
Ni kweli Simiyu kuna waganga wengi wanaotoa Ndangu lakini na matapeli wapo pia.Kuna mtu anataja LUGULU iko mkoa wa Simiyu lakini ukimfuata PM hajibu.
Vipi ngende liwale Kyle kwa mpiga miti umefikaKama ambavyo awali nilikwisha jitokeza kuomba 'Connection' ya mtaalam au wataalam wa ndagu za utajiri au utajiri wa nguvu za giza.
Nasikitika kusema kuwa bado sijapata haswa sehemu ambayo mhusika anaweza kunishika mkono kunipeleka au kuwa kama 'Godfather' kuniinguza katika ufalme huo wa giza haswa kupata utajiri.
Mwanzoni uzi wangu nilishuhudia walioniunga mkono, nilipata madalali wengi, matapeli pia walikuepo, wachache walionielekeza sehemu asilimia kubwa nilikuta mtaalam amehama / kufariki kwahio kuniwia vigumu.
Najua pia ilivyo ngumu mtu kuamini haswa kwa dhati kwamba huyu mtu kweli anataka kuchukua njia hio na kupelekea hata aliyekua na connection au alie upande huo kuwa na ugumu sana kukupa connection. Wengine tu hawataki, hakuna sababu maalum lakini hawataki tu na huwezi kumlazimisha.
Mimi bado naendelea na safari yangu ya kuutafuta utajiri wa nguvu za giza au ufalme wa giza, hakuna ubaya katika hilo, ni imani kama imani nyingine, umasikini ni laana, umaskini hauzoeleki, siutaki umaskini, nimeulaani umaskini, na mpendwa wangu Lucifer alisema wazi kuwa ukinisujudia nitakupa mali zote za dunia hii, nami nataka ku claim hiyo power.
Hivyo naendelea kujitokeza kwa wale ambao wataweza kunisaidia kunipa.connection ya UHAKIKA ama kunipeleka basi waweze kunisaidia katika hilo.
Hail Lucifer!
ANGALIZO: Wale walokole na wafia dini nawaomba mtulie, siwahitaji kwenye uzi wangu.
🤣 🤣 🤣 hata kwenye mitihani, wengi wanafeli kwenye maelekezo (instructions).Soma terms and conditions za uzi mtumishi! Au kama huelewi nikufafanulie