Pascal Mayalla adai Waziri Mpango alitumia muda mwingi katika kusifu alipowasilisha bajeti. Asema yeye siyo MATAGA na hatafuti uteuzi!

Pascal Mayalla adai Waziri Mpango alitumia muda mwingi katika kusifu alipowasilisha bajeti. Asema yeye siyo MATAGA na hatafuti uteuzi!

Nimegundua bunge la Tz ni la hovyo Afrika mashariki na kati.Bajeti imesomwa badala ya kuchambua na kuishauri serikali nimeona 85% ya wabunge wanasifia mpk kinyaacunaona hyu ni empty set,wanatoa vijembe,wanashindana kijinga kasoro 25% ndio wanaongea kisomi

Tizameni bunge la kenya linavyojadili bajeti unafurahi mwenyewe
Tatizo chujio letu limetoboka mkuu, tukifanikiwa hapa pumba zote hazitaingia bungeni. Tuanzeni na hizi sheria za uchaguzi + tume huru ya uchaguzi.. Makapi yote + waimba mipasho + praise & worship (walamba miguu) hawataingia Bungeni..Watanzania tuamke tuchague viongozi wenye hoja sio waimba ngonjera za kusifu na kuabudu..
 
MATAGA NI KIFUPI CHA MANENO
MAKE TANZANIA GREAT AGAIN

Ni slogan ambayo kuna wehu wameiiga kutoka kwa utawala wa Trump, kule the Us wao slogan yao ni MAGA i.e MAKE AMERICA GREAT AGAIN.

Sasa wapambe wa Magufuli ili waweze kupata loophole ya upigaji wa fedha za Magufuli wakasema wabuni ki project cha propaganda kwa jina la MATAGA.

Malengo yake makuu ni
Kusifia chochote kinachofanywa na serikali be it kizuri au kibaya
Kuponda wale wote wenye mawazo mbadala mfano Chadema.

Na pia ungemalizia kabisa na kuwataja wajumbe wake humu JF ndiyo hawa akina Bia yetu, Kawe Alumni, kuku mweupe,Humphrey Polepole, Cyprian Musiba, nk.
 
Siyo dhambi kusifia serikali
Siyo dhambi kupinga serikali
Ni ufala kusema mambo binafsi ya mtu tena bila ushahidi
Wabunge siyo Malaika wanakulana na wanalika kirahisi sana
Tuache majungu na uzushi tuchape kazi kweli kweli


Maisha ya mtu wapi? Chadema sindio walioanza kupereka maisha ya mbowe kujadiriwa? Kuna mtu yyte alianza kusema mbowe alilewa? Mbowe alikuwa kwa kimada chake?

Wajiraumu wenyewe , maana hawakufanya utafiti wakutosha kabla ya kutoka hadharani.

Nilishaga waambia Harakati ni tofauti na Siasa, chadema Siasa wamezishindwa wamegeuka kuwa kundi la wanaharakati ndani ya siasa
Nawashauri chadema wakae chini na wakubariane na matokeo ya 3 bila.

Wajipange upya kwa kufumua mfumo mzima wa siasa zao na utawala ndani ya chadema.

Ova.
 
Nimegundua bunge la Tz ni la hovyo Afrika mashariki na kati.Bajeti imesomwa badala ya kuchambua na kuishauri serikali nimeona 85% ya wabunge wanasifia mpk kinyaacunaona hyu ni empty set,wanatoa vijembe,wanashindana kijinga kasoro 25% ndio wanaongea kisomi

Tizameni bunge la kenya linavyojadili bajeti unafurahi mwenyewe

Kwanza we ni shujaa, kama umeweza kuangalia mpaka ukajua hayo mapungufu. Mimi hicho kinyaa hata nikikuta mtu anaangalia namdharau sana.
 
Maisha ya mtu wapi? Chadema sindio walioanza kupereka maisha ya mbowe kujadiriwa? Kuna mtu yyte alianza kusema mbowe alilewa? Mbowe alikuwa kwa kimada chake?

Wajiraumu wenyewe , maana hawakufanya utafiti wakutosha kabla ya kutoka hadharani.

Nilishaga waambia Harakati ni tofauti na Siasa, chadema Siasa wamezishindwa wamegeuka kuwa kundi la wanaharakati ndani ya siasa
Nawashauri chadema wakae chini na wakubariane na matokeo ya 3 bila.

Wajipange upya kwa kufumua mfumo mzima wa siasa zao na utawala ndani ya chadema.

Ova.

Uliangalia walichokuwa wanajadili wabunge wa ccm kuhusu Mbowe? Au unatumia hilo neno harakati na siasa kama mfuata mkumbo? Kwa walichoongea cdm ni harakati, na walichokuwa wanajadili wabunge wa ccm ndio siasa? Huu ujinga ni wa kipaji au wa msimu?
 
Nimewahi kuchangia kwenye baadhi ya nyuzi za jicho la habari huko nyuma, kuwa Paskali Mayalla hastahili kuwa miongoza kipindi, bali anapaswa kwenda kama mchambuzi zaidi. Maana Paskali ni mmoja kati ya watu waliotekwa na huu upepo wa Magufuli, hivyo anasifia mpaka anakosa uhalali wa kuwa muongoza kipindi.

Namshauri tu Paskali asiwe muongoza kipindi, maana sio neutral vinginevyo ajirekebishe.
 
Ni lini tulishawahi kuwa great?
Ulikuwa hujazaliwa, lkn pia hata hivyo ww ni mvivu kusoma, enzi za Nyerere Tz ndiyo ilikuwa na uchumi mkubwa na pesa yny thamani zaidi hapa EA, pia Tz ndiyo ilikuwa inaongoza kwa kilimo cha zao la mkonge duniani, mambo mengi tulikuwa tunaongoza hapa EA, msituongezee idadi ya waafrika wavivu wa kusoma, km kitu hujui na hutaki kufanya research kaa kmy.
 
Tatizo chujio letu limetoboka mkuu, tukifanikiwa hapa pumba zote hazitaingia bungeni. Tuanzeni na hizi sheria za uchaguzi + tume huru ya uchaguzi.. Makapi yote + waimba mipasho + praise & worship (walamba miguu) hawataingia Bungeni..Watanzania tuamke tuchague viongozi wenye hoja sio waimba ngonjera za kusifu na kuabudu..
Yah tunatakiwa tukubaliane na ukweli kwamba inapaswa mbunge awe japo na degree moja kichwani, hii itasaidia, tatizo lililopo hzo sheria wanapitisha haohao wabunge, na wengi wao ni std 7 that's a serious problem.
 
Nimewahi kuchangia kwenye baadhi ya nyuzi za jicho la habari huko nyuma, kuwa Paskali Mayalla hastahili kuwa miongoza kipindi, bali anapaswa kwenda kama mchambuzi zaidi. Maana Paskali ni mmoja kati ya watu waliotekwa na huu upepo wa Magufuli, hivyo anasifia mpaka anakosa uhalali wa kuwa muongoza kipindi.

Namshauri tu Paskali asiwe muongoza kipindi, maana sio neutral vinginevyo ajirekebishe.
Pointi tupu mkuu, na pia ushauri huu umfikie pasco mahala popote alipo na auchukue na kuanza kuufanyia kazi
 
Ni katika mjadala wa waandishi kwenye kipindi cha Jicho Letu Ndani ya Habari.

Pascal anasema bajeti ya nchi inatakiwa kuwasilishwa kitaaluma lakini juzi waziri wa fedha Dr Mpango ametumia muda mwingi katika kusifu ukilinganisha na kuifafanua bajeti.

Mwandishi Moses Methew alimpinga Pascal kwa madai kuwa Dr Mpango alizitumia vizuri dakika 60 za mwanzo hivyo hakuna ubaya wowote kutumia dakika 135 zilizobaki kusifiana.
Moses amesema hata Pascal Mayalla mwenyewe katika dakika 10 alizopewa kwenye mjadala huu ametumia dakika 7 katika kusifu na mgeni wake kamwachia dakika 3 tu.

Katika kujibu Pascal amedai yeye husifu kimantiki siyo kama wafanyavyo wale Mataga na wala hatafuti Uteuzi kama rafiki zake wa Jf wanavyomzushia.

Mwisho mwandishi Moses Methew amevilaumu vyombo vya habari na bunge kwa kutumia muda mwingi kujadili mambo binafsi na faragha za Mbowe.

Amesema inasikitisha kuona bunge zima linajadili " maisha binafsi " ya Mbowe kana kwamba Mbowe ndio bajeti ya serikali.

Source Star tv

Maendeleo hayana vyama!
Naungana na Mayala katika hili.Wabunge wa CCM waliandaliwa kupiga makofi hata pasipostahili na muda mwingi ilikuwa ni mafanikio mafanikio.
 
Kiukweli wabunge wa CCM wanalamba miguu haswa!!
Ukiangalia bunge sana siku hizi unaweza ukapungukiwa uwezo wa kufikiri.
 
sylvester ana hasara kuzaa toto jinga kama hili
Ulitegemea kwamba, ili nchi iwe na watu wenye uelewa na weledi ni Hadi uwe kiongozi mkubwa ktk nchi siyo?

Anza na ulipo hapo kuwaelimisha wajinga ili wawe kama ilivyo, sasa komaa na mitusi yako kama itakusaidia
 
Back
Top Bottom