Pascal, unahitaji elimu ya dunia ya leo ilivyo, inaonyesha uko out of date. Huo uchafu hata mie nimeuona sana na ni kweli upo Swali jee mitandao ikifungiwa, jee inamaanisha hayo mambo hayatakuwepo nchini.Akizungumza katika kipindi cha Jicho letu ndani ya habari mwandishi nguli Pascal Mayalla amewataka TCRA kuwafuatilia wale wanaoandika uchafu kwenye mtandao wa Twitter na kama wameshindwa basi waufungie mtandao huo hapa nchini.
Na kama hayo yote hayawezekani basi watanzania wazalendo wajulishwe ili waanze kuwaelimisha hao wachafuzi huko huko twittani.
Chanzo: Star tv
My take; Pascal Mayalla anafaa kuwa Msemaji mkuu wa serikali
Maendeleo hayana vyama!
Zungumzia majukumu ya wazazi majimbani kwa watoto wao kwanza, wewe na mimi kama wazazi tunafanyaje.
Tunawabunge wanaosemekana wanamahusiani ya ki LGBT, kama ni kweli jee haimaanizhi tunayakubali magusiano hayo? Tuna wasenge wanaojitangaza kuwa walikuwa na uchafu huo na wanajiremba kama wananwake, leo wanajiita Manabii na wanatukuzwa na makanisa kama ya akina Gwajima, kwa kumleta hadharani, na magazeti kuandika habari zao, jee hatuutukuzi huo uchafu kwa kuyazungumzia bila kuya kebehi na kuyakataa.
Tunawaona wasichana wa miaka chini ya 15, wakitembea na watu waZima na kupelekwa MALODGE mitaani, hakuna wa kukemea, na lodge zinaona ni biashara na hawaweki kiwango cha umri.
Pascal be realistic, CHARITY BEGINS AT HOME
Sent using Jamii Forums mobile app