Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 63,730
- 111,542
Pascal Mayalla ana kampuni kubwa ya matangazo.
Hana njaa.......na wala hatafuti ulaji!
Sasa hivi Kafulia ndio maana misimamo imeisha. Huoni sasa hivi anasifia bila soni?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pascal Mayalla ana kampuni kubwa ya matangazo.
Hana njaa.......na wala hatafuti ulaji!
Pascal kwa sasa analazimisha kupata uteuzi jambo ambalo kiukweli linamshushia heshima yake
Naunga mkono hoja, hata Usa imepitisha sheria kuanza kudeal na watu kama hawa wanaofanya uchochezi na kutukana viongozi kwa kutumia mitandao ya kijamii.
Hivyo TCRA iifungie Twitter sababu imekuwa kichaka cha wasiojulikana kuwatukana viongozi wa serikali
Hebu tupe mifanoHivi kweli serikali imeshondwa kuifungia twita hapa nchini? Sidhani kama tunaihitaji kiasi hicho maana kuna utovu mkubwa wa nidhamu unaendelea huko na wahusika hawakamatwi na kuchukuliwa hatua.
Yaani MTU kama Kigwa ukimfungia twitter, kuna twitter gulio kuna biashara nyingi sana zipi Twitter, kuna elimu kuna madeal.Serikali inatumia twitter, hadi Rais anayo account huko. Sasa Mayalla ukiona uchafu twitter basi ujue ni wewe ndio ume follow hao waandika uchafu!
... Kilimanjaro is tallest point ...Kwani mteuzi anachagua weledi ?
Huwa anachagua PhD hata vichaa kama kina Kigwangala wamepewa wizara eti na wao waongoze [emoji2297]
Inawezekana wewe ndio hujui lugha. Kwa sababu executive order ni sheria. Ni tamko la rais ambalo linakuwa ni sheria (japokuwa haijapitishwa na congress) na fikiri hata hapa Tz vitu kama hivi vipo ila kuelewa kuwa orders an declarations za viongozi wakuu huwa ni sheria ambazo hazijapitishwa na bunge mpaka uwe una weledi kidogo.Muongo na ni dhahiri una matatizo na lugha ya kiingereza. Amri (sio sheria - sheria za marekani hupitishwa na bunge la wawakilishi) ya Trump ni ya kuwaondolea wamiliki wa twitter kinga kadhaa dhidi ya maudhui yanayopandikwa.
Amri hiyo haihusu kuondolewa kwa twitter nchini marekani wala serikali kufungia au kushitaki wachangiaji.
Ameamua kujitoa ufahamuyaani wewe ukiwa mwanahabari unapinga uhuru wa maoni,unashangaza!!!..Pasco use or find other tactics/ways za kum win Magufuli hizi zinachosha, na ndio maana hakupi huo uteuzi, sisi kama binadamu hatupendezwagi kuona mtu yuko desperate..it is nature!!!..unakosea sana
😃😃Naamini Pascal ana akaunti twitter awafuate huko huko akawajibu kwa hoja.
😃😃 yaani uchome nyumba unayoishikisa mmoja ya watoto wako ni mtukutu...Ku dili na watu sawa lakini sio kufungia source, Twitter ina tatizo gani kwa mfano, uadhibu watumiaji wote kwa sababu umeshindwa kudili na mtu mmoja.
😃😃 indeedKipindi hiki cha karibuni kimekuwa kigumu sana kimaisha kwa wengi wetu na hata kwa nchi pia.
Wenyewe wanajiita wajanja wa mjini wamejipanga kugeuza kila kitu fursa panapo majaliwa. Mambo mengine baadaye.
Hata kwa mambo wasiyoyaamini wao wenyewe wamekuwa wakiyasimamia macho makavu kweli kweli. Unaweza usiamini kuwa huyu naye amefikia hatua hii? Ali mradi mkono uende kinywani.
Alisema baba wa taifa (rip), "mtu anasema anachukia rushwa, lakini ukimwangalia usoni unajiuliza. Huyu?! Kweli anachukia rushwa huyu?" Mwisho wa kumnukuu.
Wengine wa kuwaelewa tu wakuu. Ni kukaza vilivyo kwa vyuma tu. Hali ikiboreka tutaelewana huko huko mbele kwa mbele.
😃😃😃Hiyo yote kujipendekeza. Njaa ni mbaya sana
imagineWakifunga Twitter si wanahamia mitandao mingine?