Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pascal aje hapa hatufafanulie. Wazo la kufungia Twitter nasita kuamini kama linaweza kutolewa na Paskali, labdaPaskali wa JF!Ku dili na watu sawa lakini sio kufungia source, Twitter ina tatizo gani kwa mfano, uadhibu watumiaji wote kwa sababu umeshindwa kudili na mtu mmoja.
Hatari hii !!!! Mataka mtu mbaya sana alimpumulia nguli!Huyu Pascal Mayalla tabia zake kama Bashite tu maana naye yasemekana alifumuliwa marinda na David Mataka akiwa Boss wa PPF hasi mke akamkimbia. Ndiyo maana ameathirika kiakili. Ignore him
O P S zinazotumika hata ndani ya ikulu za Tanzania zinatengenezwa Marekani,IT wetu hawajawa na uwezo wa kutengeneza za kwetu,kishapo mjinga mmoja anatulinganisha na wachina.Twitter inaweza fungwa hapa tz umataifa wake ukabaji huko kwingine, tambua hilo.
Huyo Paskali ana mambo mengi ya ajabu. Wewe angalia anayoyaandika...ingekuwa bora angefungwa tu na huyo spika. Kama kweli anasema Twitter ifungiwe? Basi ana shida kubwa. REVISEDAkizungumza katika kipindi cha Jicho letu ndani ya habari mwandishi nguli Pascal Mayalla amewataka TCRA kuwafuatilia wale wanaoandika uchafu kwenye mtandao wa Twitter na kama wameshindwa basi waufungie mtandao huo hapa nchini.
Na kama hayo yote hayawezekani basi Watanzania wazalendo wajulishwe ili waanze kuwaelimisha hao wachafuzi huko huko twittani.
Chanzo: Star TV
My take: Pascal Mayalla anafaa kuwa Msemaji mkuu wa serikali
Maendeleo hayana Vyama!
Naunga mkono hoja, hata Usa imepitisha sheria kuanza kudeal na watu kama hawa wanaofanya uchochezi na kutukana viongozi kwa kutumia mitandao ya kijamii.
Hivyo TCRA iifungie Twitter sababu imekuwa kichaka cha wasiojulikana kuwatukana viongozi wa serikali