Pascal Mayalla aitaka TCRA iufungie mtandao wa Twitter kwani kuna mambo machafu yanayoendelea huko

Pascal Mayalla aitaka TCRA iufungie mtandao wa Twitter kwani kuna mambo machafu yanayoendelea huko

Mwandishi wa habari huyu.

Yaani wakati waandishi wa habari Duniani kote wanapambania Uhuru wa habari, na kwa kuzingatia hali halisi nchini ambapo waandishi wanabanwa sana.

Yeye anakuja kuongea utopolo wa namna hii.

Twitter ni kama JF, kikubwa ni uhakika wa habari na habari ziwafikie watu.

Pascal Mayalla kwa hili umeharibu sana, na utapoteza watu wengi wanaokufatilia.

Usishangae mavipindi yako yakabaki kutizamwa na Lumumba tu.
Mind is a terrible thing to waste!
 
Duh...!, kumbe siku ile niliidharau bure TCRA na serikali yetu kuwa hawawezi!, kumbe jamaa wanaweza na sasa wametufungia Twitter kwasababu ya mtu mmoja tuu!.
Ni sheedah.
P
Twitter haijafungiwa ila wamefungia internet ku access Twitter. Kuna wenzetu bado wanatiririka huko Twitter sijui wannatumia internet gani!
 
Duh...!, kumbe siku ile niliidharau bure TCRA na serikali yetu kuwa hawawezi!, kumbe jamaa wanaweza na sasa wametufungia Twitter kwasababu ya mtu mmoja tuu!.
Ni sheedah.
P
Serikali huwa ina underestimate mitandao kwenye mdomo lakini moyoni wanajua how powerful mitandao ilivyo.
Kwa mara ya kwanza Tanzania mitandao inafanyiwa figisu katika kipindi cha uchaguzi Mkuu, hii ni hofu kwa CCM.
 
Mwandishi wa habari huyu.

Yaani wakati waandishi wa habari Duniani kote wanapambania Uhuru wa habari, na kwa kuzingatia hali halisi nchini ambapo waandishi wanabanwa sana.

Yeye anakuja kuongea utopolo wa namna hii.

Twitter ni kama JF, kikubwa ni uhakika wa habari na habari ziwafikie watu.

Pascal Mayalla kwa hili umeharibu sana, na utapoteza watu wengi wanaokufatilia.

Usishangae mavipindi yako yakabaki kutizamwa na Lumumba tu.
Mwandishi uchwara huyu.

No wonder aliambulia kura moja.

Kwanza hana mvuto kabisa wa kuongoza hata mifugo seuse watu.

Mikosi itamuandama sana kudhani maisha ni kutete CCM tu.

Dunia tunapita hii.

Sahuri yake!
 
Akizungumza katika kipindi cha Jicho letu ndani ya habari mwandishi nguli Pascal Mayalla amewataka TCRA kuwafuatilia wale wanaoandika uchafu kwenye mtandao wa Twitter na kama wameshindwa basi waufungie mtandao huo hapa nchini.

Na kama hayo yote hayawezekani basi Watanzania wazalendo wajulishwe ili waanze kuwaelimisha hao wachafuzi huko huko twittani.

Chanzo: Star TV

My take: Pascal Mayalla anafaa kuwa Msemaji mkuu wa serikali

Maendeleo hayana Vyama!

====
Alichokisema Pascal Mayalla ni kuwa wamewaandikia barua TCRA ili wajue kuhusu mambo yanayoendelea kwenye mitandao ya kijamii hasa twitter, kuwa tumeshindwa, hii ni kwa kuwa mambo yanayoendelea huko yanakarahisha. Ili kama tumeshindwa basi tuhamasishane kutosoma yanayoendelea twitter

View attachment 1533655
Uyu jamaa namwamini ila ila ila awe makini tu
 
Duh...!, kumbe siku ile niliidharau bure TCRA na serikali yetu kuwa hawawezi!, kumbe jamaa wanaweza na sasa wametufungia Twitter kwasababu ya mtu mmoja tuu!.
Ni sheedah.
P
Hii leo ni komesha, hapa nipo kwa hisani ya VPN . Nasikia JF nayo inapambana iko mtu kati [emoji41]
 
Back
Top Bottom