Pundo
JF-Expert Member
- Apr 10, 2015
- 2,390
- 3,308
PoaAcha nimfwate kigwangala maana uyu jamaa ni kama mshika mkia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
PoaAcha nimfwate kigwangala maana uyu jamaa ni kama mshika mkia
Madhara ya kvant tz
Yakujibiwa ivi kama najibiwa na dada wa mke wangu (wifi) yakoMadhara ya kvant tz
[emoji23][emoji23]hata hyo moja sijui aliipatajeKumbe ni mpuuzi kiasi hiki ndio maana alipata kura moja
Na wewe unajiona umeongea jambo la maana Mayala kumbe unatetea uovu huuDuh...!, kumbe siku ile niliidharau bure TCRA na serikali yetu kuwa hawawezi!, kumbe jamaa wanaweza na sasa wametufungia Twitter kwasababu ya mtu mmoja tuu!.
Ni sheedah.
P
Mkuu, kwahiyo unataka kusema yeye mwenyewe pia hajikubali [emoji23] [emoji23] [emoji23].[emoji23][emoji23]hata hyo moja sijui aliipataje
sawa hatujakataa lakin upumbavu wa mtu mmoja kwanini usababishe watu wengine waumie kwani kila anaye tumia twitter ana post au kuandika ujinga na kama kutukana viongozi ndy tatizo kwann serikali isitoe watu wake wakafanya research kujua ni wajinga gani wana fanya hivyo serikali yenyewee inayo tukanwa ipo kimya na haija fungia yeye kama nani aanze kuleta umbea eti twiter afungi kuna maada nyingi tuuu za kuongelea kuhusu nchi yake na siyo twitterChina walishaifungia Twitter toka 2009. Kwa hiyo ni jambo rahisi sana nafikiri mtoa mada hakukurupa anafahamu mamlaka ya Tcra juu ya hili.
Wamekufungia wewe na wajinga wenzio,wengine tupo mbali saa hizi tunasambaza yanayotakiwa kusambazwa pamoja na kuwafundisha wengine jinsi ya kurudi hewaniDuh...!, kumbe siku ile niliidharau bure TCRA na serikali yetu kuwa hawawezi!, kumbe jamaa wanaweza na sasa wametufungia Twitter kwasababu ya mtu mmoja tuu!.
Ni sheedah.
P
Mwandishi wa habari anatetea waovu wanaominya Uhuru wa watu kupata habari atiiMkuu, kwahiyo unataka kusema yeye mwenyewe pia hajikubali [emoji23] [emoji23] [emoji23].
Acha ujinga we mzee.Duh...!, kumbe siku ile niliidharau bure TCRA na serikali yetu kuwa hawawezi!, kumbe jamaa wanaweza na sasa wametufungia Twitter kwasababu ya mtu mmoja tuu!.
Ni sheedah.
P
VPNTwitter haijafungiwa ila wamefungia internet ku access Twitter. Kuna wenzetu bado wanatiririka huko Twitter sijui wannatumia internet gani!
Wajumbe walitupunguzia mpuuzi mmoja asiende bungeniKumbe ni mpuuzi kiasi hiki ndio maana alipata kura moja
Projpm hawajafungiwa wanatiririka tu kama kawaidaHii leo ni komesha, hapa nipo kwa hisani ya VPN . Nasikia JF nayo inapambana iko mtu kati [emoji41]
Wanatumia VPNTwitter haijafungiwa ila wamefungia internet ku access Twitter. Kuna wenzetu bado wanatiririka huko Twitter sijui wannatumia internet gani!
Yawezekana Kigogo 2014 asiwe tatizo. Tatizo kubwa ni wanaomfuata kumsifu na kumtia moyo ktk habari zake zote zenye nia ya kuangamiza taifa.Duh...!, kumbe siku ile niliidharau bure TCRA na serikali yetu kuwa hawawezi!, kumbe jamaa wanaweza na sasa wametufungia Twitter kwasababu ya mtu mmoja tuu!.
Ni sheedah.
P