Maundumula
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 7,553
- 3,081
Mind is a terrible thing to waste!Mwandishi wa habari huyu.
Yaani wakati waandishi wa habari Duniani kote wanapambania Uhuru wa habari, na kwa kuzingatia hali halisi nchini ambapo waandishi wanabanwa sana.
Yeye anakuja kuongea utopolo wa namna hii.
Twitter ni kama JF, kikubwa ni uhakika wa habari na habari ziwafikie watu.
Pascal Mayalla kwa hili umeharibu sana, na utapoteza watu wengi wanaokufatilia.
Usishangae mavipindi yako yakabaki kutizamwa na Lumumba tu.
i can seeMind is a terrible thing to waste!
Twitter haijafungiwa ila wamefungia internet ku access Twitter. Kuna wenzetu bado wanatiririka huko Twitter sijui wannatumia internet gani!Duh...!, kumbe siku ile niliidharau bure TCRA na serikali yetu kuwa hawawezi!, kumbe jamaa wanaweza na sasa wametufungia Twitter kwasababu ya mtu mmoja tuu!.
Ni sheedah.
P
Duh...!, kumbe siku ile niliidharau bure TCRA na serikali yetu kuwa hawawezi!, kumbe jamaa wanaweza na sasa wametufungia Twitter kwasababu ya mtu mmoja tuu!.
Ni sheedah.
P
We endelea kuzubaa sisi tupo twitterTwitter haijafungiwa ila wamefungia internet ku access Twitter. Kuna wenzetu bado wanatiririka huko Twitter sijui wannatumia internet gani!
Serikali huwa ina underestimate mitandao kwenye mdomo lakini moyoni wanajua how powerful mitandao ilivyo.Duh...!, kumbe siku ile niliidharau bure TCRA na serikali yetu kuwa hawawezi!, kumbe jamaa wanaweza na sasa wametufungia Twitter kwasababu ya mtu mmoja tuu!.
Ni sheedah.
P
Hapa Ramadi whatsaap imegoma na fb ni huku tu auNi aibu mwandishi wa habari kuomba vyombo vya kupashana habari vifungiwe
Tunaperuzi kama kawa yaani!Duh...!, kumbe siku ile niliidharau bure TCRA na serikali yetu kuwa hawawezi!, kumbe jamaa wanaweza na sasa wametufungia Twitter kwasababu ya mtu mmoja tuu!.
Ni sheedah.
P
Mwandishi uchwara huyu.Mwandishi wa habari huyu.
Yaani wakati waandishi wa habari Duniani kote wanapambania Uhuru wa habari, na kwa kuzingatia hali halisi nchini ambapo waandishi wanabanwa sana.
Yeye anakuja kuongea utopolo wa namna hii.
Twitter ni kama JF, kikubwa ni uhakika wa habari na habari ziwafikie watu.
Pascal Mayalla kwa hili umeharibu sana, na utapoteza watu wengi wanaokufatilia.
Usishangae mavipindi yako yakabaki kutizamwa na Lumumba tu.
Uyu jamaa namwamini ila ila ila awe makini tuAkizungumza katika kipindi cha Jicho letu ndani ya habari mwandishi nguli Pascal Mayalla amewataka TCRA kuwafuatilia wale wanaoandika uchafu kwenye mtandao wa Twitter na kama wameshindwa basi waufungie mtandao huo hapa nchini.
Na kama hayo yote hayawezekani basi Watanzania wazalendo wajulishwe ili waanze kuwaelimisha hao wachafuzi huko huko twittani.
Chanzo: Star TV
My take: Pascal Mayalla anafaa kuwa Msemaji mkuu wa serikali
Maendeleo hayana Vyama!
====
Alichokisema Pascal Mayalla ni kuwa wamewaandikia barua TCRA ili wajue kuhusu mambo yanayoendelea kwenye mitandao ya kijamii hasa twitter, kuwa tumeshindwa, hii ni kwa kuwa mambo yanayoendelea huko yanakarahisha. Ili kama tumeshindwa basi tuhamasishane kutosoma yanayoendelea twitter
View attachment 1533655
Twiter gani mnatumia fm twiter au!?Tunaperuzi kama kawa yaani!
Twitter haindeshwi kimehemko na matamko ya hovyo.Naamini Pascal ana akaunti twitter awafuate huko huko akawajibu kwa hoja.
Hii leo ni komesha, hapa nipo kwa hisani ya VPN . Nasikia JF nayo inapambana iko mtu kati [emoji41]Duh...!, kumbe siku ile niliidharau bure TCRA na serikali yetu kuwa hawawezi!, kumbe jamaa wanaweza na sasa wametufungia Twitter kwasababu ya mtu mmoja tuu!.
Ni sheedah.
P
Twitter ya kawaida.Twiter gani mnatumia fm twiter au!?
Mungu mkubwa hakupata ridhaa hata kwa anaowashobokea.Pascal ni enemy of the society.
Acha nimfwate kigwangala maana uyu jamaa ni kama mshika mkiaTwitter ya kawaida.