Pascal Mayalla alitabiri mwaka 2017 kuwa Samia atakuwa Rais wa JMT baada ya 2020

Pascal Mayalla alitabiri mwaka 2017 kuwa Samia atakuwa Rais wa JMT baada ya 2020

Screenshot_20220824-085239.png


Hiyo hapo tena wewe ni moja wapo wa waliolike hilo bandiko langu.

Uwe na kumbukumbu mzee.
 
Huo sio utabiri ni ubashiri

1. Kutabiri (prediction is making something known in advance that is spiritually characterized)
2. Kubashiri au kudhania (Guess is estimating or concluding (something) without sufficient information to be sure of being correct based on the changing environment or behavior)

Kwa maana hizo mbili huwezi ukasema muda fulani mtu fulani wa jinsia fulani atakuwa kwenye nafasi fulani wakati huo unashuhudia kwa uhalisia yupo mtu wa jinsia hiyo anamsaidia wa jinsia fulani na kwa kuzingatia utaratibu yeye ndiye mtu wa kwanza kuchukua nafasi hiyo endapo aliyepo atakamilisha muda wakati au kushindwa kutekeleza majukumu yake kwa sababu zozote zilizoainishwa na katiba ya nchi husika. Kwa hiyo kilichofanyika hapo ni kubashiri sio kutabiri. Ukitabiri ina maana hicho kitu au mtu wa jinsia na wajihi huo hayupo kwa muda huo wala kutarajiwa kuwepo mahala fulani ila itatokea tu kwa mjibu wa nguvu za ziada zilizo nje ya uwezo wa binadamu (external factors)
 
View attachment 2333147

Hiyo hapo tena wewe ni moja wapo wa waliolike hilo bandiko langu.

Uwe na kumbukumbu mzee.
Huo haukuwa utabiri bali ulikuwa ubashiri kwa kuzingatia kitu au mtu unayemwona wewe na kwa yakini kila mmoja anamwona. kipindi hicho cha Novemba 19, 2016 msaidizi wa raisi alikuwa ni mwanamke na ndiye kwa mjibu wa taratibu anaweza kuchukua nafasi hiyo kwa hukutabiri bali ulibashiri.................
 
Kuna ambalo niliandika 2016 jamaa akakopi 2017 halafu anaanza kujisifia.

Watu bhana.
Mkuu Stroke, kwanza asante kwa hilo bandiko lako la 2016
ni hili na ulichoandika ni hiki
Naona kuna dalili zoote kuwa Rais wetu ajaye baada ya huyu wa sasa kuwa mwanamke!

Naomba hili liwe reference kwa 2025!
Sasa kwenye hoja zangu kuhusu urais wa Samia, kitu gani nilicho copy kwako?.
Wewe umetaja tuu rais Mwanamke 2025 na wala hukumtaja ni nani!. Mimi nimemtaja JPM ampishe Samia for 2020, nime copy nini kwako?.
Wewe umezungumzia jinsia ya rais wa 2025, mimi nimezungumzia Samia kuwa rais 2020, wapi na wapi?.
P
 
Pascal Mayalla aliandika "Ingekuwa ni amri yangu, ningemwambia tuu naniliu aamue 2020 asigombee his second term, na badala yake, ampishe ili awe huyu mama!.

Mungu ambariki sana Mama Samia na kuwabariki wanawake wote leo siku ya Wanawake Duniani." -
Paskali. Hii aliiandika hapa JF Mar 9, 2017.

Hivyo wanaosema Pascal Mayalla kabadilika baada ya Mh hayati Magufuli kufarika, hawakuutambua msimamo wa Pascal kuhusu Mama Samia hata wakati wa uhai wa Magufuli. Katika Thread hiyo yenye kichwa cha habari "Siku ya Wanawake Duniani: VP Samia Suluhu: "Womanly, Genuine, Humble, Simple na Down To Earth" Pascal kazianisha kwa kirefu sifa za Mama Samia zinazomfanya kuwa na uwezo wa kuwa Rais wa JMT. Binafsi nimezipitia tena mara 3 na kumpa Pascal 5.

Kuanzia sasa hivi sitapuuzia maandiko yako hapa JF, KWANI YANA WELEDI MKUBWA NA MAONO ya huko mbeleni.

Thread 'Siku ya Wanawake Duniani: VP Samia Suluhu: "Womanly, Genuine, Humble, Simple na Down To Earth!' Siku ya Wanawake Duniani: VP Samia Suluhu: "Womanly, Genuine, Humble, Simple na Down To Earth!
Hakutabiri ila alibashiri, labda useme ile ya mwaka 2014 ambayo alisema mwaka 2015 "could be JPM". Hata hivyo huo sio utabiri ni ubashiri kwa kuzingatia aina ya watu anaowafuatilia na mahitaji ya watu kwa nyakati husika. Mbona pia amebashiri kwamba kwa mwaka 2025 " could be Paul Makonda"? Kwa ujumla wanachofanya hawa watu ni kubashiri sio Kutabiri maana utabiri unawezeshwa na nguvu ya ziada ikiwemo imani juu ya mambo yasiyoonekana na yatarajiwayo....
 
Mkuu Stroke, kwanza asante kwa hilo bandiko lako la 2016
ni hili na ulichoandika ni hiki

Sasa kwenye hoja zangu kuhusu urais wa Samia, kitu gani nilicho copy kwako?.
Wewe umetaja tuu rais Mwanamke 2025 na wala hukumtaja ni nani!. Mimi nimemtaja JPM ampishe Samia for 2020, nime copy nini kwako?.
Wewe umezungumzia jinsia ya rais wa 2025, mimi nimezungumzia Samia kuwa rais 2020, wapi na wapi?.
P
Wote ninyi stroke & P ni wabashiri kwa kulingana na unachokiona kiuhalisia sio kwamba mlitabiri hapo kwa hiyo msibishane maana hamna nguvu za ziada kuona kitakachojiri kesho
 
Hakutabiri ila alibashiri, labda useme ile ya mwaka 2014 ambayo alisema mwaka 2015 "could be JPM". Hata hivyo huo sio utabiri ni ubashiri kwa kuzingatia aina ya watu anaowafuatilia na mahitaji ya watu kwa nyakati husika. Mbona pia amebashiri kwamba kwa mwaka 2025 " could be Paul Makonda"? Kwa ujumla wanachofanya hawa watu ni kubashiri sio Kutabiri maana utabiri unawezeshwa na nguvu ya ziada ikiwemo imani juu ya mambo yasiyoonekana na yatarajiwayo....
Mkuu Intelligence Justice, kwanza naungana na wewe it's true sio utabiri, ni ubashiri tuu kama betting!.
P
 
Pascal Mayalla aliandika "Ingekuwa ni amri yangu, ningemwambia tuu naniliu aamue 2020 asigombee his second term, na badala yake, ampishe ili awe huyu mama!.

Mungu ambariki sana Mama Samia na kuwabariki wanawake wote leo siku ya Wanawake Duniani." -
Paskali. Hii aliiandika hapa JF Mar 9, 2017.

Hivyo wanaosema Pascal Mayalla kabadilika baada ya Mh hayati Magufuli kufarika, hawakuutambua msimamo wa Pascal kuhusu Mama Samia hata wakati wa uhai wa Magufuli. Katika Thread hiyo yenye kichwa cha habari "Siku ya Wanawake Duniani: VP Samia Suluhu: "Womanly, Genuine, Humble, Simple na Down To Earth" Pascal kazianisha kwa kirefu sifa za Mama Samia zinazomfanya kuwa na uwezo wa kuwa Rais wa JMT. Binafsi nimezipitia tena mara 3 na kumpa Pascal 5.

Kuanzia sasa hivi sitapuuzia maandiko yako hapa JF, KWANI YANA WELEDI MKUBWA NA MAONO ya huko mbeleni.

Thread 'Siku ya Wanawake Duniani: VP Samia Suluhu: "Womanly, Genuine, Humble, Simple na Down To Earth!' Siku ya Wanawake Duniani: VP Samia Suluhu: "Womanly, Genuine, Humble, Simple na Down To Earth!
Mkuu Zawadi Ngoda, kwanza asante kunianzishia thread, lugha ya Kiswahili ni kigumu na kina upungufu mkubwa vocabulary na tafsiri za maneno, kwenye bandiko hili umeandika neno "tabiri" badala ya neno"Bashiri", wanaotabiri ni Watabiri, ni watu wa Mungu, na utabiri wao ni wanaonyeshwa na Mungu kupitia maono, sauti, ndoto au kutokewa. Ubashiri ni watu wa dunia hii, ni betting hivyo hoja zangu ni ubashiri na sio utabiri.
Asante.
P.
 
Mkuu Zawadi Ngoda, kwanza asante kunianzishia thread, lugha ya Kiswahili ni kigumu na kina upungufu mkubwa vocabulary na tafsiri za maneno, kwenye bandiko hili umeandika neno "tabiri" badala ya neno"Bashiri", wanaotabiri ni Watabiri, ni watu wa Mungu, na utabiri wao ni wanaonyeshwa na Mungu kupitia maono, sauti, ndoto au kutokewa. Ubashiri ni watu wa dunia hii, ni betting hivyo hoja zangu ni ubashiri na sio utabiri.
Asante.
P.
Kiswahili ni mtihani. Asante kwa kunisahihisha na kunielewa nilichomaanisha. Nakiri kuwa nilimaanisha kubashiri na sio kutabiri. Tupo pamoja.
 
Hakutabiri ila alibashiri, labda useme ile ya mwaka 2014 ambayo alisema mwaka 2015 "could be JPM". Hata hivyo huo sio utabiri ni ubashiri kwa kuzingatia aina ya watu anaowafuatilia na mahitaji ya watu kwa nyakati husika. Mbona pia amebashiri kwamba kwa mwaka 2025 " could be Paul Makonda"? Kwa ujumla wanachofanya hawa watu ni kubashiri sio Kutabiri maana utabiri unawezeshwa na nguvu ya ziada ikiwemo imani juu ya mambo yasiyoonekana na yatarajiwayo....
Kiswahili ni mtihani. Asante kwa kunisahihisha na kunielewa nilichomaanisha. Nakiri kuwa nilimaanisha kubashiri na sio kutabiri. Tupo pamoja.
Thanks for understanding, tena sio mimi, ni member huyu ndiye amerekebisha.
Mkuu Intelligence Justice, thanks for this.
P
 
Jamaa yuko vizuri sana katika tasnia yake ya uwandishi wa habari, tena sana kwenye investigative journalism. Bhasi tu mfumo wetu haina Ile hali ya kuappreciate watu wanaojitoa sana kwa maslahi mapana ya jamii nzima
 
Kuna ambalo niliandika 2016 jamaa akakopi 2017 halafu anaanza kujisifia.

Watu bhana.
Wanabodi,
Kiukweli huyu ni mwanamke wa kupigiwa mfano, mtanisamehe sina maneno ya Kiswahili ya kujitosheleza kumuelezea, she is just so womanly, so genuine, so simple, very humble na down to earth!, ana a very rare charisma, which is very hard to find kwa viongozi wetu wengi wa kisiasa. Kwa jinsi alivyo na sauti safi, tamu na laini yenye lafudhi ya Kizanzibari, akiongea, utatamani asimalize kuongea, utatamani aendelee tuu kuongea, ukijumlisha na yale macho...!, sijui hata akitaka kugomba, atagomba kwa sauti gani na macho gani maana...!.

She is just everything a woman needs to be!. Ingekuwa ni amri yangu ningetaka wanawake wenye uongozi, madaraka na mamlaka waige mfano wa Mwanamke huyu and to be honest I wish if Mungu angemua, huyu mama ndio akawa, then amini usiamini tutakuwa na Tanzania nzuri 100 times kuliko Tanzania hii tulionayo sasa!.

Ingekuwa ni amri yangu, ningemwambia tuu naniliu aamue 2020 asigombee his second term, na badala yake, ampishe ili awe huyu mama!.

Mungu ambariki sana Mama Samia na kuwabariki wanawake wote leo siku ya Wanawake Duniani.

Paskali
Mkuu Stroke, humu jf tunajadiliana kwa hoja, facts na nondo za kutetea hoja yako. Ukitoa hoja fulani, unaitetea hoja yako kwa facts na data.

Bandiko langu hili la 2017, ni full of facts, data na specific kumhusu Samia!,
Kuna ambalo niliandika 2016 jamaa akakopi 2017 halafu anaanza kujisifia.

Watu bhana.
Wewe bandiko lako hili, Utabiri wangu: Rais 2025 Tanzania ni mwanamke
japo ni la 2016,
ulisema
Naona kuna dalili zoote kuwa Rais wetu ajaye baada ya huyu wa sasa kuwa mwanamke!

Naomba hili liwe reference kwa 2025!
ulizungumzia tuu jinsia ya rais wa Tanzania, 2025 na wala hukumtaja ni nani, ukimaanisha anyone alimradi ni mwanamke.

Bandiko langu ni kuhusu urais wa Samia kwa 2020, utasemaje nimecopy bandiko lako which had nothing compared?.

Kwenye bandiko langu hili, nini nilicho copy kwako?. Mimi nimezungumzia urais wa 2020, wewe umezungumzia urais wa 2025, copycat na plagiarism iko wapi?.

Simba na Yanga zikicheza, kisha wewe ukabashiri, "kuna timu itafunga bao", bila kuitaja hiyo timu au mabao, huo sio ubashiri ni kuotea tuu!.

Ubashiri wa kweli ni kuwa specific!.
P
 
Hakutabiri ila alibashiri, labda useme ile ya mwaka 2014 ambayo alisema mwaka 2015 "could be JPM". Hata hivyo huo sio utabiri ni ubashiri kwa kuzingatia aina ya watu anaowafuatilia na mahitaji ya watu kwa nyakati husika. Mbona pia amebashiri kwamba kwa mwaka 2025 " could be Paul Makonda"? Kwa ujumla wanachofanya hawa watu ni kubashiri sio Kutabiri maana utabiri unawezeshwa na nguvu ya ziada ikiwemo imani juu ya mambo yasiyoonekana na yatarajiwayo....
 
Aliyetabiri JPM atakua Rais ni member wa JF humu anatumia ID ya MAGAMBA MATATU angalia hiyo ni thread ya mwaka 2012...Pascal Mayalla kama kawaida yake huwa anacopy mawazo ya wengine na kuyafanya ya kwake ili kujitafutia umaarufu humu JF
 
Kuanzia sasa hivi sitapuuzia maandiko yako hapa JF, KWANI YANA WELEDI MKUBWA NA MAONO ya huko mbeleni.
Zawadi Ngoda, leo Mama anatimiza umri wa miaka kadhaa, mwaka 2025 she will be miaka kadhaa, akigombea 2025 hivyo 2030 she will be miaka kadhaa, hivyo kama ulivyosema huta puuzia maandiko yangu,
basi pia yazingatie maono haya https://www.jamiiforums.com/threads...030-ndipo-aje-mwanamke.1980867/#post-42540531
Wakati ushauri huu unatolewa usiku mpaka sasa hata Samia mwenyewe hajui kuwa 2025 sio yeye, kwa jinsi ile ile mwaka 2014 niliposema humu https://www.jamiiforums.com/threads...ccm-2015-could-be-john-pombe-magufuli.707165/ JPM mwenyewe wakati wa maoni hayo yanatolewa hiyo 2014, JPM alikuwa hajui

Kwa vile leo ni birthday ya Rais Samia, nawaomba wana jf well wishers, tuungane kumu wish a Happy Birthday this lovely lady Rais wetu mpendwa, Rais wetu mpenzi, Rais wetu kipenzi, Rais Dr. Samia Suluhu Hassan, Chifu wa kabila kubwa kuliko makabila yote Tanzania, ambayo Kanda ya kabila hilo ndio Kanda determinant ya kura za urais wa JMT, Chifu Hangaya.
IMG-20230127-WA0000.jpg

Happy Birthday

P
 
Mkuu Stroke, kwanza asante kwa hilo bandiko lako la 2016
ni hili na ulichoandika ni hiki

Sasa kwenye hoja zangu kuhusu urais wa Samia, kitu gani nilicho copy kwako?.
Wewe umetaja tuu rais Mwanamke 2025 na wala hukumtaja ni nani!. Mimi nimemtaja JPM ampishe Samia for 2020, nime copy nini kwako?.
Wewe umezungumzia jinsia ya rais wa 2025, mimi nimezungumzia Samia kuwa rais 2020, wapi na wapi?.
P
Kiharusi hicho kisamehe bure
 
Kiharusi hicho kisamehe bure
Tusiitane majina ya kiajabu ajabu, japo Stroke ni ugonjwa wa kiharusi, mtu humu akijiita Stroke tumuite Stroke tusimuite kiharusi kwasababu huwezi jua hiyo stoke yake ni ipi, maana neno stroke lina maana zaidi ya 10!
  1. stroke noun (ILLNESS)
  2. stroke noun (MARK)
  3. stroke noun (HIT)
  4. stroke noun (SWIMMING)
  5. stroke noun (EVENT)
  6. stroke of luck, genius, etc.
  7. stroke noun (WORK)
  8. stroke noun (ACTION)
  9. stroke noun (CLOCK SOUND)
  10. stroke noun (TOUCH)
  11. Idioms at the stroke of a pen
  12. at/on the stroke of something
  13. stroke verb [T] (TOUCH)
  14. stroke verb [T] (HIT)
  15. Stroke ya Mshindo, bike ya 2 stroke or 4 stroke
  16. Stroke ya bakora unahukumiwa bakora 6
  17. Stroke ya zile bakora zetu umechapa bakora mbili

  18. Stroke ya mshindo wa engine

    P
 
Pascal Mayalla aliandika "Ingekuwa ni amri yangu, ningemwambia tuu naniliu aamue 2020 asigombee his second term, na badala yake, ampishe ili awe huyu mama!.

Mungu ambariki sana Mama Samia na kuwabariki wanawake wote leo siku ya Wanawake Duniani." -
Paskali. Hii aliiandika hapa JF Mar 9, 2017.

Kuanzia sasa hivi sitapuuzia maandiko yako hapa JF, KWANI YANA WELEDI MKUBWA NA MAONO ya huko mbeleni.

Thread 'Siku ya Wanawake Duniani: VP Samia Suluhu: "Womanly, Genuine, Humble, Simple na Down To Earth!' Siku ya Wanawake Duniani: VP Samia Suluhu: "Womanly, Genuine, Humble, Simple na Down To Earth!
Mkuu Zawadi Ngoda , asante tena kwa bandiko hili, nimekuwa nazidi kupata wafuasi, nimekata shauri na mimi kuanzisha kanisa langu, ila litakuwa ni kanisa mtandao, nitawahudumia waumini wangu kwa mtandao tuu. Huyu ni mmoja wa wafuasi wangu.
Nilianza kumuona miaka ile na kipindi chake cha Kitimoto.

Kupitia JF Nimekuwa nikifuatilia maandishi yake, nara kadhaa, niseme tu maandishi yake yana unabii ndani yake, orodha ni ndefu sana nikiweka hapa hapatoshi, vitu vingine huchukua miaka hata mitano kutokea, hakuna mwana JF anayemfikia kwa hilo.

Kama hana pepo wa utambuzi basi ana roho mtakatifu.
Mkuu mdukuzi, kwanza asante kwa bandiko hili Pasco Mayalla ana vielement vya unabii afungue kanisa

Naomba tulitumie bandiko hili Voices From Within: Japo 2025 Tumepanga Twende na Mwanamke, 2025 Mama Akabidhi Kwanza Mwanamume, Kisha 2030 Ndipo Aje Mwanamke kama a litmus paper to test kama sauti hizi ni za ma pepo au ni Roho Mtakatifu!.
Angalia baadhi ya kauli umba zangu ziliumba nini na baadhi ya tabiri zangu, nilisema nini na kikatokea nini?. "Ombeni Mtapewa", "Tafuteni Mtapata", "Bisheni Hodi Mtafunguliwa" Je, Wajua Kuna "Kauli" na "Kauli Umba" Ambazo Huumba? Shuhudia
P.
 
Back
Top Bottom