Pre GE2025 Pascal Mayalla amshauri Lissu kutumia jukwaa la JamiiForums kusoma maoni ili kuondokana na siasa za harakati na kufanya siasa za mikakati

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Huyu mzee jau sana. anazeeka vibaya. Nimemsikia nikamshangaa sana.
 
Kwangu sioni tatizo akijisifia kuwa mwana jf.
 
Hebu nikumbusheni jamani, hivi alimtukanaje Ndugai huyu mwamba mpaka akasafirishwa kama mzigo kwenda Dodoma?
Alisema bunge ni dhaifu na ni kweli bunge lilikuwa dhaifu kwenye hili nilimuunga mkono jiwe aliingilia bunge hadi akamwambia Ndugai awaadhibu wakosoaji ndani ya bunge halafu awasimamishe kuhudhuria vikao halafu wakitoka huku nje yeye atadili nao na wasiojulikana ambacho ni kikundi kiliasisiwa na yule mwendawazimu wa Chato.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…