Hahaaa alileta thread ya Kawe, kumbe na yeye ananyemelea, aisee inaelekea ubunge mtamu
Jamaa yangu Pascal Mayalla lazima amwagwe kwa kishindo uchaguzi maoni CCM Kawe baada ya kujiita KITIMOTO eti kwa vile aliendesha kipindi cha KITIMOTO miaka zaidi ya 20 iliyopita wakati wengi walikuwa hawajazaliwa miongoni mwa wapigakura humo ukumbini.
Nani mshauri wa huyu mtaka ubunge aliyempotosha?
Mayalla asije ambulia kura 2 akatulilia hapa JF
Mkuu vp bwana RUSSU kapatikana?
Aliyetangaza dau la kumtafuta Russu ndiyo Russu mwenyewe.Mkuu vp bwana RUSSU kapatikana?
Pasco Ni muumini na mtetezi mkubwa wa Sera za Ngosha Magufuli.Huyu mayala mapenzi na ccm yameanza lini?, au tuamini njaa( mayala) ndo imempeleka kwenye siasa za maslahi binafsi
anaweza hata kupata ZERO mshenzi huyu wa allahJamaa yangu Pascal Mayalla lazima amwagwe kwa kishindo uchaguzi maoni CCM Kawe baada ya kujiita KITIMOTO eti kwa vile aliendesha kipindi cha KITIMOTO miaka zaidi ya 20 iliyopita wakati wengi walikuwa hawajazaliwa miongoni mwa wapigakura humo ukumbini.
Nani mshauri wa huyu mtaka ubunge aliyempotosha?
Mayalla asije ambulia kura 2 akatulilia hapa JF
Kinafiki au, kajaza mabandiko kibao humu akilalamikia Hali mbaya ya uchumi, hizo sera za ngosha zilimsaidia niniPasco Ni muumini na mtetezi mkubwa wa Sera za Ngosha Magufuli.
Tumia akili kidogo basi! Kama kipindi kilikuwepo 1994 ni miaka 26 iliyopita. Mwenye miaka 36 hajui hata maudhui ya kipindi kile maana walikuwa na miaka 10 tuu, jee umeelewa? Maana nimesema zaidi ya miaka 20Inamaana wapiga kura ni watoto under 18 wasifahamu kitimoto??
Ni kweli hili unalosema? Hao wajumbe kwa hiyo wana miaka 19 kushuka chini, sio?.... eti kwa vile aliendesha kipindi cha KITIMOTO miaka zaidi ya 20 iliyopita wakati wengi walikuwa hawajazaliwa miongoni mwa wapigakura humo ukumbini.