KAYAFA MKUU
JF-Expert Member
- Oct 20, 2019
- 242
- 297
Hongera kwake,mimi naamini kuwa chochote alichokifanya au kuzungumza kwenye kujinadi alishajua kitapokelewa namna gani.
Basi ikitokea ya kwamba kimepokelewa ndivyo sivyo,basi hilo lilikuwa ndilo lengo lake,haingii akilini kwangu kwamba Pascal afanye tu jambo bila kufanya tathmini ya hatima ya jambo hilo.
Hata hivyo kwake yeye kupata au kukosa vinalandana kimizania,na vyovyote itakavyokuwa kwake ni sawa. amethubutu,anastahili kupongezwa zaidi kuliko vinginevyo.
Basi ikitokea ya kwamba kimepokelewa ndivyo sivyo,basi hilo lilikuwa ndilo lengo lake,haingii akilini kwangu kwamba Pascal afanye tu jambo bila kufanya tathmini ya hatima ya jambo hilo.
Hata hivyo kwake yeye kupata au kukosa vinalandana kimizania,na vyovyote itakavyokuwa kwake ni sawa. amethubutu,anastahili kupongezwa zaidi kuliko vinginevyo.