mbongopopo
JF-Expert Member
- Jan 24, 2008
- 1,611
- 760
Ametamka hayo, ili mfanye mnayofanya sasa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwanakulitafuta huyoJamaa yangu Pascal Mayalla lazima amwagwe kwa kishindo uchaguzi maoni CCM Kawe baada ya kujiita KITIMOTO eti kwa vile aliendesha kipindi cha KITIMOTO miaka zaidi ya 20 iliyopita wakati wengi walikuwa hawajazaliwa miongoni mwa wapigakura humo ukumbini.
Nani mshauri wa huyu mtaka ubunge aliyempotosha? Mayalla asije ambulia kura 2 akatulilia hapa JF
Hata kama walizaliwa isingewezekana waache lufuatilia katuni wafuatilie kipindi cha KITIMOTO cha akina JOSHUA MWAITUKA , halafu Pascal atakuwa kaleta uongo ili kupata kura za huruma , kile kipindi hakikuwa chake yeye alilipwa ujira wake kwa kuwa mshereheshaji tu , mimi ni miongoni mwa waliohudhuria kipindi kile.Duuh hakika wajumbe wa kawe ni wanafunzi wa O level kama miaka 20 hamukuzaliwa
Kumbe Mbunge ndio hujenga hayo madude ?Paskali umetuangusha,ungeomba ushauri humu tukupe vitu vya msingi ungetoa kama ahadi-
1. Ungesema kwamba wakazi wa kawe wangepewa vipaumbele kupangisha yale majengo ya NHC.
2. Ungefufua Tanganyika Packers ili watu wauziwe Nyama kilo Tsh elfu 3 na kutengeneza ajira kwa wakazi wa kawe.
3.Kawe Ukwamani ungeipima yote ile na kulipa watu fidia.
4.Ungejenga kituo kikubwa cha daladala cha kisasa Kawe.
5.Ungejenga kwa kiwango cha lami barabara zote kubwa zinazounganisha wilaya moja na nyingine...eg Mbopo-Msumi-Kimara
6.Utajenga Mwendo kasi kuanzia Mwenge hadi Bunju Sokoni.
Hizo ni ahadi tu sio lazima ziwe kweli au uzitekeleze hata kama wewe hausiki lengo ni kutoa ahadi hata kama ni hewa kama alizotoa Mh mil 50 kila kijiji,latop kila mwalimu etc
Ungesoma hadi mwisho usingeuliza hilo swali lako!!Kumbe Mbunge ndio hujenga hayo madude ?
Tena wanavitambi japo ni mdogo [emoji16]Ni kweli hili unalosema? Hao wajumbe kwa hiyo wana miaka 19 kushuka chini, sio?
Zamani alikua akijinasibu kuwa yeye yupo neutral sio mwanachama wa chama chochote ila nashangaa sikuhz anaonesha uhalisia wakeJamaa yangu Pascal Mayalla lazima amwagwe kwa kishindo uchaguzi maoni CCM Kawe baada ya kujiita KITIMOTO eti kwa vile aliendesha kipindi cha KITIMOTO miaka zaidi ya 20 iliyopita wakati wengi walikuwa hawajazaliwa miongoni mwa wapigakura humo ukumbini.
Nani mshauri wa huyu mtaka ubunge aliyempotosha? Mayalla asije ambulia kura 2 akatulilia hapa JF
Hawajafikisha hata miaka 18 walau kipindi hicho cha ya kujua kipindi chake cha kitimoto ni nini.Katumia wrong strategy.Miaka 20 iliopita wapiga kura walikuwa hawajazaliwa?
Wajumbe hapo ukitaka wakuelewe vibaya taja miaka hiyo 20 iliyopita unayoongelea kinachowajia wajumbe kichwa ni kuwa huyu mayala ni kibabu kizee kinaongelea mambo ya miaka 20 iliyopita kizee kikongwe hiki watakunyima kura .Hakujiandaa.Ni kweli hili unalosema? Hao wajumbe kwa hiyo wana miaka 19 kushuka chini, sio?
Exactly... kwenye threads zake zote alikua anaanza na declaration of interest kuwa yy sio mwanachama wa chama chochote,yupo neutral kama professional ya uandishi wa habari inavyotaka...sasa muda ni mwalimu mzuri sana imeshajulikana unafiki na uzandiki wakeHawajafikisha hata miaka 18 walau kipindi hicho cha ya kujua kipindi chake cha kitimoto ni nini.Katumia wrong strategy.
Tulimuuliza humu aseme anagombea chama gani akawa anaficha ficha kuogopa kupopolewa mitusi na Chadema ambao humu Jamii forums alikuwa akiandika mada zinazowafurahisha furahisha akajisahau kujipanua wazi ajionyeshe yuko upande gani akatuachia Ya CCM tupambane wenyewe akina sisi ambao hakuna asiyetujua kuwa ni CCM HUMU JAMII FORUMS.
Yale mapambio yaleHahaaa alileta thread ya Kawe, kumbe na yeye ananyemelea, aisee inaelekea ubunge mtamu
Ni DTV Mmkuu siyo ITV.Wanafahamu kitimoto mnyama sio kipindi kilichorushwa ITV.
🤣 Pasco yupo hapa atatoa ufafanuziNi DTV Mmkuu siyo ITV.