Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,197
- 128,160
Wanafahamu kitimoto mnyama sio kipindi kilichorushwa ITV.Inamaana wapiga kura ni watoto under 18 wasifahamu kitimoto??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanafahamu kitimoto mnyama sio kipindi kilichorushwa ITV.Inamaana wapiga kura ni watoto under 18 wasifahamu kitimoto??
Huyo na Stive Nyerere, Mpoki na Kingwendu hawana tofauti na usishangae akaibuka na kura 0Jamaa yangu Pascal Mayalla lazima amwagwe kwa kishindo uchaguzi maoni CCM Kawe baada ya kujiita KITIMOTO eti kwa vile aliendesha kipindi cha KITIMOTO miaka zaidi ya 20 iliyopita wakati wengi walikuwa hawajazaliwa miongoni mwa wapigakura humo ukumbini.
Nani mshauri wa huyu mtaka ubunge aliyempotosha? Mayalla asije ambulia kura 2 akatulilia hapa JF
Miaka 20 iliopita wapiga kura walikuwa hawajazaliwa?
Inamaana wapiga kura ni watoto under 18 wasifahamu kitimoto??
Huo mwaka 1994 ndipo ITV ilipoanzishwa, na hata baadhi ya mikoa ilikuwa haikamati. Vipindi kuanza kuchanganya (kikiwamo KITIMOTO) ni miaka mingine mbele ya 1994. Umeteleza kusema miaka 20, kubali tu haukuwa na hoja paleTumia akili kidogo basi! Kama kipindi kilikuwepo 1994 ni miaka 26 iliyopita. Mwenye miaka 36 hajui hata maudhui ya kipindi kile maana walikuwa na miaka 10 tuu, jee umeelewa? Maana nimesema zaidi ya miaka 20
Huyu jamaa ni wa hovyo. Maana kipindi chake hicho kilisaidia sana kuibomoa NCCR-MAGEUZI.Jamaa yangu Pascal Mayalla lazima amwagwe kwa kishindo uchaguzi maoni CCM Kawe baada ya kujiita KITIMOTO eti kwa vile aliendesha kipindi cha KITIMOTO miaka zaidi ya 20 iliyopita wakati wengi walikuwa hawajazaliwa miongoni mwa wapigakura humo ukumbini.
Nani mshauri wa huyu mtaka ubunge aliyempotosha? Mayalla asije ambulia kura 2 akatulilia hapa JF
Ukiwa mwanasiasa wa ccm jua unatakiwa usiwe na akili.kama kweli Pasco ndio gia yako hiyo mkuu kujiita KITIMOTO umetuangusha!! WAJUMBE waislam ushawakwaza!! kwanini hakutuambia wanajukwaa tukupe agenda balozi wetu JF?
1.Ajira kwa raia wenye hali ngumu Kawe hasa vijana
2. Mikopo ya Bodaboda kwa masela
3.Mikopo ya biashara kwa kinamama yenye masharti nafuu
4.Kodi zipunguzwe kwa wafanyabiashara za maduka kutwa wanafunga wakisikia TRA wako mtaani kwao
5.Kushawishi serikali kuweka bajeti kubwa jimboni kwake huduma za jamii
6. Hiyo yake ya kugawa mil 10 kila kata