Uchaguzi 2020 Pascal Mayalla aomba kura Kawe, adai akipitishwa atagawa Tshs. Milioni 10 kwa kila Kata

Tatizo la kujazana li chama li moja kutoboana ugali wakati kuna options kibao za kimaisha, sasa bado tunaisubiri AIBU ya mchunga kondoo wa bwana !!
 
Huyo na Stive Nyerere, Mpoki na Kingwendu hawana tofauti na usishangae akaibuka na kura 0
 
Ametia nia, akikosa sidhani kama ni dhambi, kaonyesha ukomavu kujipima kwa wana ccm wenzake wa Kawe anakubalika kwa kiasi gani.
 
Tumia akili kidogo basi! Kama kipindi kilikuwepo 1994 ni miaka 26 iliyopita. Mwenye miaka 36 hajui hata maudhui ya kipindi kile maana walikuwa na miaka 10 tuu, jee umeelewa? Maana nimesema zaidi ya miaka 20
Huo mwaka 1994 ndipo ITV ilipoanzishwa, na hata baadhi ya mikoa ilikuwa haikamati. Vipindi kuanza kuchanganya (kikiwamo KITIMOTO) ni miaka mingine mbele ya 1994. Umeteleza kusema miaka 20, kubali tu haukuwa na hoja pale
 
Huyu jamaa ni wa hovyo. Maana kipindi chake hicho kilisaidia sana kuibomoa NCCR-MAGEUZI.
 
Pasco akizidiwa kura na Mashinji au Mwijaku nitacheeeeka!

Uchaguzi huu umeonyesha ni jinsi gani watu walivyo na njaa.

Jofrey Mizengo Pinda na yeye ameshakarishwa chini na mwanamke huko Katavi.

Kumbe mzee Pinda zile siiifa zote kwa mkulu ilikuwa ni kumtafutia ulaji mwanaye Jofrey.

Yajayo yanahuzunisha.
 
Ukiwa mwanasiasa wa ccm jua unatakiwa usiwe na akili.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…