Huo mwaka 1994 ndipo ITV ilipoanzishwa, na hata baadhi ya mikoa ilikuwa haikamati. Vipindi kuanza kuchanganya (kikiwamo KITIMOTO) ni miaka mingine mbele ya 1994. Umeteleza kusema miaka 20, kubali tu haukuwa na hoja pale
Kama anazo milioni kumi za kutoa kila kata,anagombea kutafuta nini tena.
Pasco akizidiwa kura na Mashinji au Mwijaku nitacheeeeka!
Uchaguzi huu umeonyesha ni jinsi gani watu walivyo na njaa.
Jofrey Mizengo Pinda na yeye ameshakarishwa chini na mwanamke huko Katavi.
Kumbe mzee Pinda zile siiifa zote kwa mkulu ilikuwa ni kumtafutia ulaji mwanaye Jofrey.
Yajayo yanahuzunisha.
Pasco akipata hata kura 20 tu, mnitag hapa, tutaandamana CCM imteue kuwa mgombea wa Kawe.
Duh Million Kumi?? nigaie na mimi..lol
Kwa kwanza watu,ngoja.matokeo tuoneWanafahamu kitimoto mnyama sio kipindi kilichorushwa ITV.
Ahadi za kugawa hela si za maendeleo ni kutaka tu kuwahadaa watu after all 10M kwa kata ni kitu gani?Jamaa yangu Pascal Mayalla lazima amwagwe kwa kishindo uchaguzi maoni CCM Kawe baada ya kujiita KITIMOTO eti kwa vile aliendesha kipindi cha KITIMOTO miaka zaidi ya 20 iliyopita wakati wengi walikuwa hawajazaliwa miongoni mwa wapigakura humo ukumbini.
Nani mshauri wa huyu mtaka ubunge aliyempotosha? Mayalla asije ambulia kura 2 akatulilia hapa JF
Kwa akili yako ya ufipa unadhani mtu aliyepo kwenye kamati ya siasa ya wilaya asifahamu kipidi cha kitimoto?? Tafadhali sana.Tumia akili kidogo basi! Kama kipindi kilikuwepo 1994 ni miaka 26 iliyopita. Mwenye miaka 36 hajui hata maudhui ya kipindi kile maana walikuwa na miaka 10 tuu, jee umeelewa? Maana nimesema zaidi ya miaka 20
Gwajima usiku kakesha akiroga asiumbukeTatizo la kujazana li chama li moja kutoboana ugali wakati kuna options kibao za kimaisha, sasa bado tunaisubiri AIBU ya mchunga kondoo wa bwana !!
Hatoboi hata 15 boraWatampiga spana vibaya sana
Ova
Yule alisoma degree kwa miaka 17.Wala usishangae.Jamaa yangu Pascal Mayalla lazima amwagwe kwa kishindo uchaguzi maoni CCM Kawe baada ya kujiita KITIMOTO eti kwa vile aliendesha kipindi cha KITIMOTO miaka zaidi ya 20 iliyopita wakati wengi walikuwa hawajazaliwa miongoni mwa wapigakura humo ukumbini.
Nani mshauri wa huyu mtaka ubunge aliyempotosha? Mayalla asije ambulia kura 2 akatulilia hapa JF
Hii ni njia ya kupalilia ka uteuzi ikiwa JPM atashinda. Pasco is visionary.Jamaa yangu Pascal Mayalla lazima amwagwe kwa kishindo uchaguzi maoni CCM Kawe baada ya kujiita KITIMOTO eti kwa vile aliendesha kipindi cha KITIMOTO miaka zaidi ya 20 iliyopita wakati wengi walikuwa hawajazaliwa miongoni mwa wapigakura humo ukumbini.
Nani mshauri wa huyu mtaka ubunge aliyempotosha? Mayalla asije ambulia kura 2 akatulilia hapa JF