Pascal Mayalla apata ajali.....

Eeh, 2008?. Mkitumia simu za aina gani kuingia JF. Nakumbuka miaka hiyo ndiyo kwanza nipo form 3 na simu zikizotamba ni Nokia 6030, express e.t.c.

Mwisho, naomba model ya pikipiki akiyotumia huyu Nyamaume.
Ukipitia nyuzi zake katika Jukwaa hili utayapata majibu ya maswali kuhusu nini kilijiri wakati wa Ile ajali na pia Aina ya pikipiki aliyokuwa akiitumia huyu umuitae Nyamaume.
 
Duuuh!
Pole sana Kwa Brother....500km?
 
Huyu sio PM
 
Post ya zamani hii chief....
 
Hivi umesoma kwamba hili tukio unalilitolea pole leo ni la lini?
Hii ilikuwa miaka mitano kabla haujajiunga JF.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…