Pascal Mayalla: CHADEMA watengeneze kwanza Katiba mpya ya chama chao kabla ya kukimbilia katiba ya nchi, wawatendee haki wabunge 19

Pascal Mayalla: CHADEMA watengeneze kwanza Katiba mpya ya chama chao kabla ya kukimbilia katiba ya nchi, wawatendee haki wabunge 19

Pasco ametema MADINI YA ALMASI mno........

Chadema ni "The Comedy"......

Katiba yao INAWASHINDA....leo waiweze ya NCHI ?!!!

Hivi hawa akina "Jangala" wanashindwaje kuwaiga wenzao CCM wenye katiba LULU?!!!

#KaziIendelee
Katiba yao inasemaje kwanza? Isije kuwa na wewe fuata upepo kama mataahira wenzio
 
Mwandishi wa habari nguli nchini na mwanasheria Pascal Mayalla amesema Chadema wanapaswa kurekebisha kwanza katiba ya chama chao kabla ya kukimbilia kudai katiba mpya ya nchi.

Pascal amesema Chadema hawana fedha za kuitisha kikao cha kujadilu rufaa za wabunge wake wa viti maalumu sasa fedha za kuendeshea " harakati " za kudai katiba ya nchi watazitoa wapi?

Mayalla amewataka Chadema wamwache mama Samia atengeze uchumi kwanza kwa sababu katiba mpya haiko katika Ilani ya uchaguzi ya 2020/35.

Nawasalimu kwa jina la JMT!
Mwandishi wa habari nguli au mwandishi wa habari njaa?
 
Mwandishi wa habari nguli nchini na mwanasheria Pascal Mayalla amesema Chadema wanapaswa kurekebisha kwanza katiba ya chama chao kabla ya kukimbilia kudai katiba mpya ya nchi.

Pascal amesema Chadema hawana fedha za kuitisha kikao cha kujadilu rufaa za wabunge wake wa viti maalumu sasa fedha za kuendeshea " harakati " za kudai katiba ya nchi watazitoa wapi?

Mayalla amewataka Chadema wamwache mama Samia atengeze uchumi kwanza kwa sababu katiba mpya haiko katika Ilani ya uchaguzi ya 2020/35.

Nawasalimu kwa jina la JMT!
Nchi imefiwa lakini kutwa mamtu majinga tu yanahangaika sijui katiiba sijui nn pumbavu kabisa
 
Yaani nimecheka mpaka nikakaa Chini kwa mtu huyu anavyo hangaika ili kupata teuzi.

Moja Pascal national priority ni kubwa kuliko chama Cha siasa. Na hata ukipewa teuzi Basi jua taifa kwanza chama baadae.

Pili, Pascal Kama ni suala la wabunge hewa kuwa bungeni wa kulaimiwa ni Speaker, Time ya taifa ya uchaguzi na serikali kwa kushupaza shingo na sio Chadema walishatoa hukumu yao kwa mujibu wa katiba yao na kuonyesha upungufu wote. Tume imegopa kuweka hadharani barua ya utezi ya Chadema, Bunge limekataa kuitambua barua ya chadema. Pascal ukitaka chadema wafanye Nini? Ukipewa uteuzi fuata utawala wa sheria na sio shinikizo la chama, taifa kwanza chama baadae.

Tatu, Chadema hawana mgogoro ndani ya chama Chao, Wala hakuna aliyelalamikia katiba yao(wanachama). Cha ajabu wasio wanachama ndio wanalalamika, haya ni maajabu ya kuzimu huku duniani. Ukipewa teuzi fuata job description ya cheo chako Wala sio ya mtu mwingine. Taifa kwanza chama baadae.

Mwisho Kuna msemo "kuchamba kwingi...."

Taifa mbele chama baadae
Umetema madini sana mwamba. Inashangaza sana kuona sisiemu ndio wana uchungu sana na chadema kuliko wana chadema wenzao.
 
Huyu jamaa ni mnafiki mkubwa sana. Tangu lini amekuwa msemaji wa Chadema? Yule dhalimu mwendazake alifuata katiba ipi alipowafukuza ccm Binti Simba na Membe? Mbona hakumwambia dhalimu magufuli kuhusu katiba ya maccm!?

Mwandishi wa habari nguli nchini na mwanasheria Pascal Mayalla amesema Chadema wanapaswa kurekebisha kwanza katiba ya chama chao kabla ya kukimbilia kudai katiba mpya ya nchi.

Pascal amesema Chadema hawana fedha za kuitisha kikao cha kujadilu rufaa za wabunge wake wa viti maalumu sasa fedha za kuendeshea " harakati " za kudai katiba ya nchi watazitoa wapi?

Mayalla amewataka Chadema wamwache mama Samia atengeze uchumi kwanza kwa sababu katiba mpya haiko katika Ilani ya uchaguzi ya 2020/35.

Nawasalimu kwa jina la JMT!
 
Pasco ametema MADINI YA ALMASI mno........

Chadema ni "The Comedy"......

Katiba yao INAWASHINDA....leo waiweze ya NCHI ?!!!

Hivi hawa akina "Jangala" wanashindwaje kuwaiga wenzao CCM wenye katiba LULU?!!!

#KaziIendelee
Swala la kitaba ni namna tu ya kutafuta political platform na wao wasikike ,kwamba wapo maana amna chochote cha maana cha kuongea kipindi hiki
 
Mwandishi wa habari nguli nchini na mwanasheria Pascal Mayalla amesema Chadema wanapaswa kurekebisha kwanza katiba ya chama chao kabla ya kukimbilia kudai katiba mpya ya nchi.

Pascal amesema Chadema hawana fedha za kuitisha kikao cha kujadilu rufaa za wabunge wake wa viti maalumu sasa fedha za kuendeshea " harakati " za kudai katiba ya nchi watazitoa wapi?

Mayalla amewataka Chadema wamwache mama Samia atengeze uchumi kwanza kwa sababu katiba mpya haiko katika Ilani ya uchaguzi ya 2020/35.

Nawasalimu kwa jina la JMT!
Katiba ya chadema sisi kama raia inatuhusu nini tunataka katiba mpya sio kila mwanachi ni chadema wengine hatu vyama vya siasa
 
Yaani nimecheka mpaka nikakaa Chini kwa mtu huyu anavyo hangaika ili kupata teuzi.

Moja Pascal national priority ni kubwa kuliko chama Cha siasa. Na hata ukipewa teuzi Basi jua taifa kwanza chama baadae.

Pili, Pascal Kama ni suala la wabunge hewa kuwa bungeni wa kulaimiwa ni Speaker, Time ya taifa ya uchaguzi na serikali kwa kushupaza shingo na sio Chadema walishatoa hukumu yao kwa mujibu wa katiba yao na kuonyesha upungufu wote. Tume imegopa kuweka hadharani barua ya utezi ya Chadema, Bunge limekataa kuitambua barua ya chadema. Pascal ukitaka chadema wafanye Nini? Ukipewa uteuzi fuata utawala wa sheria na sio shinikizo la chama, taifa kwanza chama baadae.

Tatu, Chadema hawana mgogoro ndani ya chama Chao, Wala hakuna aliyelalamikia katiba yao(wanachama). Cha ajabu wasio wanachama ndio wanalalamika, haya ni maajabu ya kuzimu huku duniani. Ukipewa teuzi fuata job description ya cheo chako Wala sio ya mtu mwingine. Taifa kwanza chama baadae.

Mwisho Kuna msemo "kuchamba kwingi...."

Taifa mbele chama baadae
Na aliyekwaambia anatkaa katiba mpya Kama si ninyi ili tu mpate kiki ya kisiasa
 
Mwandishi wa habari nguli nchini na mwanasheria Pascal Mayalla amesema Chadema wanapaswa kurekebisha kwanza katiba ya chama chao kabla ya kukimbilia kudai katiba mpya ya nchi.

Pascal amesema Chadema hawana fedha za kuitisha kikao cha kujadilu rufaa za wabunge wake wa viti maalumu sasa fedha za kuendeshea " harakati " za kudai katiba ya nchi watazitoa wapi?

Mayalla amewataka Chadema wamwache mama Samia atengeze uchumi kwanza kwa sababu katiba mpya haiko katika Ilani ya uchaguzi ya 2020/35.

Nawasalimu kwa jina la JMT!
Ujinga ni kudhani manufaa ya katiba mpya ni CDM pekee Yao huku tumeona jinsi madhara ya katiba hii yalivyokuwa kwa Jiwe akiwa madarakani
Rai yangu tuungane never know kesho tutaamkaje tupiganie katiba ss iwe inamfunga kila mtu

Sent from my Nokia 3.2 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom