MKANDAHARI
JF-Expert Member
- Apr 7, 2011
- 5,727
- 6,615
Miaka 60 bado mnalilia uchumi mbwa ninyi? Rekebisheni katiba muone kama uchumi hautapaaPaschal akili kubwaa, uchumi kwanza.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Miaka 60 bado mnalilia uchumi mbwa ninyi? Rekebisheni katiba muone kama uchumi hautapaaPaschal akili kubwaa, uchumi kwanza.
Your always stupidMasikini njaa imemfika Pasco shingoni hana namna tena.
Katiba yao inasemaje kwanza? Isije kuwa na wewe fuata upepo kama mataahira wenzioPasco ametema MADINI YA ALMASI mno........
Chadema ni "The Comedy"......
Katiba yao INAWASHINDA....leo waiweze ya NCHI ?!!!
Hivi hawa akina "Jangala" wanashindwaje kuwaiga wenzao CCM wenye katiba LULU?!!!
#KaziIendelee
Mwandishi wa habari nguli au mwandishi wa habari njaa?Mwandishi wa habari nguli nchini na mwanasheria Pascal Mayalla amesema Chadema wanapaswa kurekebisha kwanza katiba ya chama chao kabla ya kukimbilia kudai katiba mpya ya nchi.
Pascal amesema Chadema hawana fedha za kuitisha kikao cha kujadilu rufaa za wabunge wake wa viti maalumu sasa fedha za kuendeshea " harakati " za kudai katiba ya nchi watazitoa wapi?
Mayalla amewataka Chadema wamwache mama Samia atengeze uchumi kwanza kwa sababu katiba mpya haiko katika Ilani ya uchaguzi ya 2020/35.
Nawasalimu kwa jina la JMT!
Nguli!Mwandishi wa habari nguli au mwandishi wa habari njaa?
Nchi imefiwa lakini kutwa mamtu majinga tu yanahangaika sijui katiiba sijui nn pumbavu kabisaMwandishi wa habari nguli nchini na mwanasheria Pascal Mayalla amesema Chadema wanapaswa kurekebisha kwanza katiba ya chama chao kabla ya kukimbilia kudai katiba mpya ya nchi.
Pascal amesema Chadema hawana fedha za kuitisha kikao cha kujadilu rufaa za wabunge wake wa viti maalumu sasa fedha za kuendeshea " harakati " za kudai katiba ya nchi watazitoa wapi?
Mayalla amewataka Chadema wamwache mama Samia atengeze uchumi kwanza kwa sababu katiba mpya haiko katika Ilani ya uchaguzi ya 2020/35.
Nawasalimu kwa jina la JMT!
Umetema madini sana mwamba. Inashangaza sana kuona sisiemu ndio wana uchungu sana na chadema kuliko wana chadema wenzao.Yaani nimecheka mpaka nikakaa Chini kwa mtu huyu anavyo hangaika ili kupata teuzi.
Moja Pascal national priority ni kubwa kuliko chama Cha siasa. Na hata ukipewa teuzi Basi jua taifa kwanza chama baadae.
Pili, Pascal Kama ni suala la wabunge hewa kuwa bungeni wa kulaimiwa ni Speaker, Time ya taifa ya uchaguzi na serikali kwa kushupaza shingo na sio Chadema walishatoa hukumu yao kwa mujibu wa katiba yao na kuonyesha upungufu wote. Tume imegopa kuweka hadharani barua ya utezi ya Chadema, Bunge limekataa kuitambua barua ya chadema. Pascal ukitaka chadema wafanye Nini? Ukipewa uteuzi fuata utawala wa sheria na sio shinikizo la chama, taifa kwanza chama baadae.
Tatu, Chadema hawana mgogoro ndani ya chama Chao, Wala hakuna aliyelalamikia katiba yao(wanachama). Cha ajabu wasio wanachama ndio wanalalamika, haya ni maajabu ya kuzimu huku duniani. Ukipewa teuzi fuata job description ya cheo chako Wala sio ya mtu mwingine. Taifa kwanza chama baadae.
Mwisho Kuna msemo "kuchamba kwingi...."
Taifa mbele chama baadae
Ubovu wake ni kama upi bwashee? Wana chadema hawajaona ubovu wake iweje ninyi misukule ya marehemu mjitie kiherehere na katiba ya chadema?Amesema katiba ya Chadema ni mbovu, tengenezeni mpya!
Nchi haijafiwa, mataga ndio wamefiwaNchi imefiwa lakini kutwa mamtu majinga tu yanahangaika sijui katiiba sijui nn pumbavu kabisa
Mkuu ndio utuite jina baya hivyo ?!!! Khaaa....Miaka 60 bado mnalilia uchumi mbwa ninyi? Rekebisheni katiba muone kama uchumi hautapaa
Katiba ya Chadema haitoi mwanya/ fursa ya wanachama wake kusikilizwa kabla ya kuchukuliwa hatua za kinidhamu!Ubovu wake ni kama upi bwashee? Wana chadema hawajaona ubovu wake iweje ninyi misukule ya marehemu mjitie kiherehere na katiba ya chadema?
Mwandishi wa habari nguli nchini na mwanasheria Pascal Mayalla amesema Chadema wanapaswa kurekebisha kwanza katiba ya chama chao kabla ya kukimbilia kudai katiba mpya ya nchi.
Pascal amesema Chadema hawana fedha za kuitisha kikao cha kujadilu rufaa za wabunge wake wa viti maalumu sasa fedha za kuendeshea " harakati " za kudai katiba ya nchi watazitoa wapi?
Mayalla amewataka Chadema wamwache mama Samia atengeze uchumi kwanza kwa sababu katiba mpya haiko katika Ilani ya uchaguzi ya 2020/35.
Nawasalimu kwa jina la JMT!
Swala la kitaba ni namna tu ya kutafuta political platform na wao wasikike ,kwamba wapo maana amna chochote cha maana cha kuongea kipindi hikiPasco ametema MADINI YA ALMASI mno........
Chadema ni "The Comedy"......
Katiba yao INAWASHINDA....leo waiweze ya NCHI ?!!!
Hivi hawa akina "Jangala" wanashindwaje kuwaiga wenzao CCM wenye katiba LULU?!!!
#KaziIendelee
Katiba ya chadema sisi kama raia inatuhusu nini tunataka katiba mpya sio kila mwanachi ni chadema wengine hatu vyama vya siasaMwandishi wa habari nguli nchini na mwanasheria Pascal Mayalla amesema Chadema wanapaswa kurekebisha kwanza katiba ya chama chao kabla ya kukimbilia kudai katiba mpya ya nchi.
Pascal amesema Chadema hawana fedha za kuitisha kikao cha kujadilu rufaa za wabunge wake wa viti maalumu sasa fedha za kuendeshea " harakati " za kudai katiba ya nchi watazitoa wapi?
Mayalla amewataka Chadema wamwache mama Samia atengeze uchumi kwanza kwa sababu katiba mpya haiko katika Ilani ya uchaguzi ya 2020/35.
Nawasalimu kwa jina la JMT!
Na aliyekwaambia anatkaa katiba mpya Kama si ninyi ili tu mpate kiki ya kisiasaYaani nimecheka mpaka nikakaa Chini kwa mtu huyu anavyo hangaika ili kupata teuzi.
Moja Pascal national priority ni kubwa kuliko chama Cha siasa. Na hata ukipewa teuzi Basi jua taifa kwanza chama baadae.
Pili, Pascal Kama ni suala la wabunge hewa kuwa bungeni wa kulaimiwa ni Speaker, Time ya taifa ya uchaguzi na serikali kwa kushupaza shingo na sio Chadema walishatoa hukumu yao kwa mujibu wa katiba yao na kuonyesha upungufu wote. Tume imegopa kuweka hadharani barua ya utezi ya Chadema, Bunge limekataa kuitambua barua ya chadema. Pascal ukitaka chadema wafanye Nini? Ukipewa uteuzi fuata utawala wa sheria na sio shinikizo la chama, taifa kwanza chama baadae.
Tatu, Chadema hawana mgogoro ndani ya chama Chao, Wala hakuna aliyelalamikia katiba yao(wanachama). Cha ajabu wasio wanachama ndio wanalalamika, haya ni maajabu ya kuzimu huku duniani. Ukipewa teuzi fuata job description ya cheo chako Wala sio ya mtu mwingine. Taifa kwanza chama baadae.
Mwisho Kuna msemo "kuchamba kwingi...."
Taifa mbele chama baadae
Ujinga ni kudhani manufaa ya katiba mpya ni CDM pekee Yao huku tumeona jinsi madhara ya katiba hii yalivyokuwa kwa Jiwe akiwa madarakaniMwandishi wa habari nguli nchini na mwanasheria Pascal Mayalla amesema Chadema wanapaswa kurekebisha kwanza katiba ya chama chao kabla ya kukimbilia kudai katiba mpya ya nchi.
Pascal amesema Chadema hawana fedha za kuitisha kikao cha kujadilu rufaa za wabunge wake wa viti maalumu sasa fedha za kuendeshea " harakati " za kudai katiba ya nchi watazitoa wapi?
Mayalla amewataka Chadema wamwache mama Samia atengeze uchumi kwanza kwa sababu katiba mpya haiko katika Ilani ya uchaguzi ya 2020/35.
Nawasalimu kwa jina la JMT!