Pascal Mayalla: CHADEMA watengeneze kwanza Katiba mpya ya chama chao kabla ya kukimbilia katiba ya nchi, wawatendee haki wabunge 19

Pascal Mayalla: CHADEMA watengeneze kwanza Katiba mpya ya chama chao kabla ya kukimbilia katiba ya nchi, wawatendee haki wabunge 19

Wewe mnafiki na huyo uliyemtaja kwa kiwango cha makinikia.
Mkubsli mkatae, kwa heri ams kwa shari katiba mpya lazima
Mwandishi wa habari nguli nchini na mwanasheria Pascal Mayalla amesema Chadema wanapaswa kurekebisha kwanza katiba ya chama chao kabla ya kukimbilia kudai katiba mpya ya nchi.

Pascal amesema Chadema hawana fedha za kuitisha kikao cha kujadilu rufaa za wabunge wake wa viti maalumu sasa fedha za kuendeshea " harakati " za kudai katiba ya nchi watazitoa wapi?

Mayalla amewataka Chadema wamwache mama Samia atengeze uchumi kwanza kwa sababu katiba mpya haiko katika Ilani ya uchaguzi ya 2020/35.

Nawasalimu kwa jina la JMT!
 
Mwandishi wa habari nguli nchini na mwanasheria Pascal Mayalla amesema Chadema wanapaswa kurekebisha kwanza katiba ya chama chao kabla ya kukimbilia kudai katiba mpya ya nchi.

Pascal amesema Chadema hawana fedha za kuitisha kikao cha kujadilu rufaa za wabunge wake wa viti maalumu sasa fedha za kuendeshea " harakati " za kudai katiba ya nchi watazitoa wapi?

Mayalla amewataka Chadema wamwache mama Samia atengeze uchumi kwanza kwa sababu katiba mpya haiko katika Ilani ya uchaguzi ya 2020/35.

Nawasalimu kwa jina la JMT!
Two wrongs don't make a right
 
Mwandishi wa habari nguli nchini na mwanasheria Pascal Mayalla amesema Chadema wanapaswa kurekebisha kwanza katiba ya chama chao kabla ya kukimbilia kudai katiba mpya ya nchi.

Pascal amesema Chadema hawana fedha za kuitisha kikao cha kujadilu rufaa za wabunge wake wa viti maalumu sasa fedha za kuendeshea " harakati " za kudai katiba ya nchi watazitoa wapi?

Mayalla amewataka Chadema wamwache mama Samia atengeze uchumi kwanza kwa sababu katiba mpya haiko katika Ilani ya uchaguzi ya 2020/35.

Nawasalimu kwa jina la JMT!
Huyu umri umeshamtupa na akili nazo zimemhama. Anaongea ujinga ujinga gani huu? Hivi kweli Paschal na wewe si ku hizi unaongea vitu bila kujiridhisha halafu unajiita mwandishi kweli?

Kimsingi ukimuona mwezio hastahili kudai katiba mpya wewe utakua chizi.
 
Mwandishi wa habari nguli nchini na mwanasheria Pascal Mayalla amesema Chadema wanapaswa kurekebisha kwanza katiba ya chama chao kabla ya kukimbilia kudai katiba mpya ya nchi.

Pascal amesema Chadema hawana fedha za kuitisha kikao cha kujadilu rufaa za wabunge wake wa viti maalumu sasa fedha za kuendeshea " harakati " za kudai katiba ya nchi watazitoa wapi?

Mayalla amewataka Chadema wamwache mama Samia atengeze uchumi kwanza kwa sababu katiba mpya haiko katika Ilani ya uchaguzi ya 2020/35.

Nawasalimu kwa jina la JMT!

Mayalla kwa kisukuma ni njaa- by Mwendazake
 
Je, Paskali ana hoja?

Tuanze kwa kuitazama Katiba ya CHADEMA. Inahitaji marekebisho?
Bila shaka, inahitaji Mabadiliko. Katiba ya CHADEMA haielezi ukomo wa Kiongozi kuwa Mwenyekiti wa Chama. Ndiyo, kuna vipindi vya uongozi lakini kiongozi anatakiwa apewe ukomo wa muda wa kuwa Mwenyekiti. Ahudumu kwa miaka 8 aachie ngazi damu mpya zichukue kijiti.

Katiba yao inamruhusu Mwenyekiti aendelee kugombea mpaka atakapoamua mwenyewe kuacha.

Kwa hiyo ni dhahiri katiba yao inahitaji marekebisho.

Juu ya Swala la Wabunge Covid 19.
Paskali ameamua tu kujitoa ufahamu. Ila katika Chama chochote, kilichofanywa na Wabunge hao 19 siyo cha kufurahisha na wala hakipaswi kunyamaziwa. Siyo CHADEMA wala CCM ambaye angekuwa tayari kunyamaza kwa upuuzi uliofanyika.

CHADEMA kwa sasa wangekazania kufuatwa kwa Katiba iliyopo kuliko kuipigia kelele Katiba mpya. Ni swala ambalo linahitaji muda. Na Mh Rais kasema atalifanyia kazi miaka ijayo.
Hayo ni mawazo yako. Katiba ya chama sio lazima ifanane na ya taifa. Hata ibara ya 113 ya Katiba ya CCM ya 2017 haitoi ukomo wa mwanachama kuchaguliwa kuwa Mwenyekiti wa CCM. Inasema kuwa atadumu kwa miaka mitano na ataweza kuchaguliwa tena bila kutoa ukomo wa kuchaguliwa tena. Mabadiliko unayoyaona ni kutoka na tamaduni ya Rais kuwa pia Mwenyekiti ingawa Mwalimu alikawia sana kumuachia uenyekiti Mwinyi. Kwa sababu hiyo, inabidi uwaambie CCM nao wabadili Katiba yao.

Katiba kwa jinsi ilivyo haitoi haki sawa kwa vyama vyote vya siasa na inategemea mno utashi wa aliye Rais ili haki ifanyike. CHADEMA wana haki na wajibu wa kudai Katiba mpya ili yaliyo wapata yasiwapate tena.

Amandla...
 
Mwandishi wa habari nguli nchini na mwanasheria Pascal Mayalla amesema Chadema wanapaswa kurekebisha kwanza katiba ya chama chao kabla ya kukimbilia kudai katiba mpya ya nchi.

Pascal amesema Chadema hawana fedha za kuitisha kikao cha kujadilu rufaa za wabunge wake wa viti maalumu sasa fedha za kuendeshea " harakati " za kudai katiba ya nchi watazitoa wapi?

Mayalla amewataka Chadema wamwache mama Samia atengeze uchumi kwanza kwa sababu katiba mpya haiko katika Ilani ya uchaguzi ya 2020/35.

Nawasalimu kwa jina la JMT!
Huyu mayalla bado anatetea legacy ya shujaa
 
Katiba yao inasemaje kwanza? Isije kuwa na wewe fuata upepo kama mataahira wenzio
We hata picha hauoni Mwenyekiti amewekewa superglue kwenye kiti then mnataka kutuaminisha nyie ni wa demokrasia etii?! Labda mseme nyie ni wa democrazy
 
Ila Pasco nchi ipo kabla ya Chama, kama nchi ina katiba mbovu basi hata vyama vitakavyozaliwa humo nchini vitakua na katiba mbovu...wazungu wanasema when in rome, do as the romans do !
 
Mwandishi wa habari nguli nchini na mwanasheria Pascal Mayalla amesema Chadema wanapaswa kurekebisha kwanza katiba ya chama chao kabla ya kukimbilia kudai katiba mpya ya nchi.

Pascal amesema Chadema hawana fedha za kuitisha kikao cha kujadilu rufaa za wabunge wake wa viti maalumu sasa fedha za kuendeshea " harakati " za kudai katiba ya nchi watazitoa wapi?

Mayalla amewataka Chadema wamwache mama Samia atengeze uchumi kwanza kwa sababu katiba mpya haiko katika Ilani ya uchaguzi ya 2020/35.

Nawasalimu kwa jina la JMT!
Go to hell Mayala! Chadema ina katiba bora kupita vyama vyote nchi hii.
 
Je, Paskali ana hoja?

Tuanze kwa kuitazama Katiba ya CHADEMA. Inahitaji marekebisho?
Bila shaka, inahitaji Mabadiliko. Katiba ya CHADEMA haielezi ukomo wa Kiongozi kuwa Mwenyekiti wa Chama. Ndiyo, kuna vipindi vya uongozi lakini kiongozi anatakiwa apewe ukomo wa muda wa kuwa Mwenyekiti. Ahudumu kwa miaka 8 aachie ngazi damu mpya zichukue kijiti.

Katiba yao inamruhusu Mwenyekiti aendelee kugombea mpaka atakapoamua mwenyewe kuacha.

Kwa hiyo ni dhahiri katiba yao inahitaji marekebisho.

Juu ya Swala la Wabunge Covid 19.
Paskali ameamua tu kujitoa ufahamu. Ila katika Chama chochote, kilichofanywa na Wabunge hao 19 siyo cha kufurahisha na wala hakipaswi kunyamaziwa. Siyo CHADEMA wala CCM ambaye angekuwa tayari kunyamaza kwa upuuzi uliofanyika.

CHADEMA kwa sasa wangekazania kufuatwa kwa Katiba iliyopo kuliko kuipigia kelele Katiba mpya. Ni swala ambalo linahitaji muda. Na Mh Rais kasema atalifanyia kazi miaka ijayo.
Ukomo wa nafasi ya mwenyekiti uliondolewa strategicay kutokana na mazingira. Nachojua mie utaondolewa tu mazingira yakibadilika. Kuhusu Samia kupewa muda utakuwa umeamua tu kujitoa ufahamu pia. CCM haitaki na haitakubali katiba ya wananchi
 
Duh,wasomi njaa wetu.
Tanzania bado xana,kuwa mwanachama Wa Ccm sio ndo ukubaliane na ujinga ujinga.
Hivi mnadhani Ccm ndo Mwenye hii nchi tu!.Uzee mbaya,mungu nisaidie
 
Back
Top Bottom