Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Mtu anayekaribia umri wa miaka 70 hawezi kuteuliwa hata akijipendeza kwa kiwango cha kudhalilikaMwandishi wa habari nguli nchini na mwanasheria Pascal Mayalla amesema Chadema wanapaswa kurekebisha kwanza katiba ya chama chao kabla ya kukimbilia kudai katiba mpya ya nchi.
Pascal amesema Chadema hawana fedha za kuitisha kikao cha kujadilu rufaa za wabunge wake wa viti maalumu sasa fedha za kuendeshea " harakati " za kudai katiba ya nchi watazitoa wapi?
Mayalla amewataka Chadema wamwache mama Samia atengeze uchumi kwanza kwa sababu katiba mpya haiko katika Ilani ya uchaguzi ya 2020/35.
Nawasalimu kwa jina la JMT!
Naomba nichangie hoja yako ya pili.. covid-19.Je, Paskali ana hoja?
Tuanze kwa kuitazama Katiba ya CHADEMA. Inahitaji marekebisho?
Bila shaka, inahitaji Mabadiliko. Katiba ya CHADEMA haielezi ukomo wa Kiongozi kuwa Mwenyekiti wa Chama. Ndiyo, kuna vipindi vya uongozi lakini kiongozi anatakiwa apewe ukomo wa muda wa kuwa Mwenyekiti. Ahudumu kwa miaka 8 aachie ngazi damu mpya zichukue kijiti.
Katiba yao inamruhusu Mwenyekiti aendelee kugombea mpaka atakapoamua mwenyewe kuacha.
Kwa hiyo ni dhahiri katiba yao inahitaji marekebisho.
Juu ya Swala la Wabunge Covid 19.
Paskali ameamua tu kujitoa ufahamu. Ila katika Chama chochote, kilichofanywa na Wabunge hao 19 siyo cha kufurahisha na wala hakipaswi kunyamaziwa. Siyo CHADEMA wala CCM ambaye angekuwa tayari kunyamaza kwa upuuzi uliofanyika.
CHADEMA kwa sasa wangekazania kufuatwa kwa Katiba iliyopo kuliko kuipigia kelele Katiba mpya. Ni swala ambalo linahitaji muda. Na Mh Rais kasema atalifanyia kazi miaka ijayo.
Katiba ya sasa ndio inayosababisha katiba nzima isifuatwe. Unaonaje hiiCHADEMA kwa sasa wangekazania kufuatwa kwa Katiba iliyopo kuliko kuipigia kelele Katiba mpya. Ni swala ambalo linahitaji muda. Na Mh Rais kasema atalifanyia kazi miaka ijayo.
Katika interview yote aliizungumza chadema kwa asilimia ngapiMwandishi wa habari nguli nchini na mwanasheria Pascal Mayalla amesema Chadema wanapaswa kurekebisha kwanza katiba ya chama chao kabla ya kukimbilia kudai katiba mpya ya nchi.
Pascal amesema Chadema hawana fedha za kuitisha kikao cha kujadili rufaa za wabunge wake wa viti maalumu sasa fedha za kuendeshea " harakati " za kudai katiba ya nchi watazitoa wapi?
Mayalla amewataka Chadema wamwache Rais Samia atengeze uchumi kwanza kwa sababu katiba mpya haiko katika Ilani ya uchaguzi ya 2020/35.
Nawasalimu kwa jina la JMT!
Uchumi umeshindikana kutengenezwa kwa miaka yote 60 ya ccm ndio Samia anategemea muujiza?Mwandishi wa habari nguli nchini na mwanasheria Pascal Mayalla amesema Chadema wanapaswa kurekebisha kwanza katiba ya chama chao kabla ya kukimbilia kudai katiba mpya ya nchi.
Pascal amesema Chadema hawana fedha za kuitisha kikao cha kujadili rufaa za wabunge wake wa viti maalumu sasa fedha za kuendeshea " harakati " za kudai katiba ya nchi watazitoa wapi?
Mayalla amewataka Chadema wamwache Rais Samia atengeze uchumi kwanza kwa sababu katiba mpya haiko katika Ilani ya uchaguzi ya 2020/35.
Nawasalimu kwa jina la JMT!
mnafiq tu huyoMwandishi wa habari nguli nchini na mwanasheria Pascal Mayalla amesema Chadema wanapaswa kurekebisha kwanza katiba ya chama chao kabla ya kukimbilia kudai katiba mpya ya nchi.
Pascal amesema Chadema hawana fedha za kuitisha kikao cha kujadili rufaa za wabunge wake wa viti maalumu sasa fedha za kuendeshea " harakati " za kudai katiba ya nchi watazitoa wapi?
Mayalla amewataka Chadema wamwache Rais Samia atengeze uchumi kwanza kwa sababu katiba mpya haiko katika Ilani ya uchaguzi ya 2020/35.
Nawasalimu kwa jina la JMT!
Huyo Pasco alijiondolea uhalali wa kuaminiwa na kuheshimiwa. Aliingia chaka la ukabila kumshabikia dikteta mwendazake aliyetuharibia nchi yetu. Jambo lingine huyu Mzee wa njaa analikwepa makusudi ni kuwa hitaji la Katiba Mpya siyo la Chadema pekee, bali Watanzania wenye mapenzi mema na Taifa hili. Naona frustration za kukosa teuzi na ulevi uliokithiri zimeshamharibu akili yuko kama mwezi mchanga tu.Mwandishi wa habari nguli nchini na mwanasheria Pascal Mayalla amesema Chadema wanapaswa kurekebisha kwanza katiba ya chama chao kabla ya kukimbilia kudai katiba mpya ya nchi.
Pascal amesema Chadema hawana fedha za kuitisha kikao cha kujadili rufaa za wabunge wake wa viti maalumu sasa fedha za kuendeshea " harakati " za kudai katiba ya nchi watazitoa wapi?
Mayalla amewataka Chadema wamwache Rais Samia atengeze uchumi kwanza kwa sababu katiba mpya haiko katika Ilani ya uchaguzi ya 2020/35.
Nawasalimu kwa jina la JMT!
Mbona wamehodhi sasa nakujifanya wao ndio wamebeba maoni yetu watu 60M.
Kweli kabisa.Mwandishi wa habari nguli nchini na mwanasheria Pascal Mayalla amesema Chadema wanapaswa kurekebisha kwanza katiba ya chama chao kabla ya kukimbilia kudai katiba mpya ya nchi.
Pascal amesema Chadema hawana fedha za kuitisha kikao cha kujadili rufaa za wabunge wake wa viti maalumu sasa fedha za kuendeshea " harakati " za kudai katiba ya nchi watazitoa wapi?
Mayalla amewataka Chadema wamwache Rais Samia atengeze uchumi kwanza kwa sababu katiba mpya haiko katika Ilani ya uchaguzi ya 2020/35.
Nawasalimu kwa jina la JMT!
Hahahaaaa........!Kweli kabisa.
Pamoja na bando la Katiba Mpya, CHADEMA nao waitazame katiba yao inayombakisha Mboewe uenyekiti milele.
Aisee kwahiyo katiba ya CHADEMA ndiyo inayoongoza nchi? Katiba ya chama ccm hanaga akili kulinganisha katiba ya nchi na ya chama ni insanity wa hali ya juuJe, Paskali ana hoja?
Tuanze kwa kuitazama Katiba ya CHADEMA. Inahitaji marekebisho?
Bila shaka, inahitaji Mabadiliko. Katiba ya CHADEMA haielezi ukomo wa Kiongozi kuwa Mwenyekiti wa Chama. Ndiyo, kuna vipindi vya uongozi lakini kiongozi anatakiwa apewe ukomo wa muda wa kuwa Mwenyekiti. Ahudumu kwa miaka 8 aachie ngazi damu mpya zichukue kijiti.
Katiba yao inamruhusu Mwenyekiti aendelee kugombea mpaka atakapoamua mwenyewe kuacha.
Kwa hiyo ni dhahiri katiba yao inahitaji marekebisho.
Juu ya Swala la Wabunge Covid 19.
Paskali ameamua tu kujitoa ufahamu. Ila katika Chama chochote, kilichofanywa na Wabunge hao 19 siyo cha kufurahisha na wala hakipaswi kunyamaziwa. Siyo CHADEMA wala CCM ambaye angekuwa tayari kunyamaza kwa upuuzi uliofanyika.
CHADEMA kwa sasa wangekazania kufuatwa kwa Katiba iliyopo kuliko kuipigia kelele Katiba mpya. Ni swala ambalo linahitaji muda. Na Mh Rais kasema atalifanyia kazi miaka ijayo.
Mwandishi wa habari nguli nchini na mwanasheria Pascal Mayalla amesema Chadema wanapaswa kurekebisha kwanza katiba ya chama chao kabla ya kukimbilia kudai katiba mpya ya nchi.
Pascal amesema Chadema hawana fedha za kuitisha kikao cha kujadili rufaa za wabunge wake wa viti maalumu sasa fedha za kuendeshea " harakati " za kudai katiba ya nchi watazitoa wapi?
Mayalla amewataka Chadema wamwache Rais Samia atengeze uchumi kwanza kwa sababu katiba mpya haiko katika Ilani ya uchaguzi ya 2020/35.
Nawasalimu kwa jina la JMT!
Mkuu Yericko Nyerere , kwanza hongera kwa andiko zuri, wewe ni mwandishi mzuri, una kipaji cha uandishi, tatizo lako ni dogo tuu, ambalo kwangu naliona kama ndio tatizo kuu la Chadema, kama mngelitatua saa hizi, siku nyingi Chadema ingekuwa Ikulu.Nyaraka hazikuwa na maana ya "kuomba msamaha" kama Zitto alivyoamua kupotosha umma mbele ya Rais.
Na Yericko Nyerere