Pascal Mayalla; Hongera kwa kushinda vita dhidi ya Ndugai

Pascal Mayalla; Hongera kwa kushinda vita dhidi ya Ndugai

Huihui2

JF-Expert Member
Joined
Jan 5, 2012
Posts
7,021
Reaction score
11,475
Screenshot_20220123-221210.png



Hapo ni April 2018. Kwangu nililiona hili kama ni personal vendetta dhidi ya uhuru wa habari na dhidi ya mwandishi mbobezi Bwana Pascal Mayalla japo mpaka leo hajawahi kutujuza ni nini kulikuwa matokeo ya kikao hicho. Tunajuwa kimoja tu kuwa walikukatia biashara zako za PPR kwenye sekta mbali mbali za umma.

Kwangu Mimi niliona yafuatayo;
1. Hukupoa kumkosoa Job Ndugai hata baada ya kikao hicho.

2. Ulitabiri kuwa Job Ndugai asingekuwa Spika 2020-25, na imetokea

3. Wewe ni MSHINDI wa vita aliyoanzisha Ndugai akitumia nafasi yake kama Spika wa Bunge dhidi yako raia usiye na madaraka wala silaha zaidi ya ubongo wako na kalamu.

Mapendekezo;
1. Kusanya nyuzi zako zote, hariri ziwe kitabu. Zitakuja saidia kizazi kijacho kwenye Elimu ya utawala Bora, Udikteta wa Bunge na madhira ya uandishi wa habari

Nawasilisha
 
Ametabiri hatakuwa spika 2020-2025 wakati huo huo hadi january 2022 ndugai alikuwa bado spika.!

Vipi hizo PPR alizopoteza , amerudishiwa!
Angalia big picture usiangalie hizo variations ndogo za mwaka 2020 versus 2022. Kimsingi Pascal Mayalla kaupiga mwingi sifa zake tumpatie bila choyo. Wengi humu tunaandika lakini hatuko VERIFIED kama Pascal
 
Ametabiri hatakuwa spika 2020-2025 wakati huo huo hadi january 2022 ndugai alikuwa bado spika.!

Vipi hizo PPR alizopoteza , amerudishiwa!
Pasco ameonyesha ushujaa wake wa kukiongelea anachokiamini,sio sawa mimi na wewe tuliojificha kwenye vichaka na kupiga kelele za mbwa koko,ukiona kivuli chako unakimbia na mkia wako umefwata.
 
Ndugai alikuwa overrated. Na pia,unknown to us,alikuwa amewahi kufika Mirembe.

Lakini talking about Mirembe,sasa hivi nilikuwa nimedoze,nikaota watu wamenikat I'lla nilipokuwa matembezini,psychiatrists wamenikamata. Labda nitafute posting zangu nyingine nizi- delete. Hii serikali paranoic.

Nilikuwa Musoma wakati wa kampeni za Uchaguzi,ile Magufuli vs Lowassa. What I noticed Lowassa alopfika kule,kuanzia alipofika Mwanza,zile incidents za suicide,au watu kuuana kwa wubi wa mapenzi zilikwisha. Kwa sababu ya ile thrill and excitement of political events.

Kwa hiyo,strictly speaking,watu wakipotea,(wakiwa disoriented)the government is incompetent. It is strange that it should be called "disoriented" Kwa sababu watu ni certainly dis-Oriented.

Hawajui kuhusu tantra na mantra. Vajrabhairava Tantra, Guhyasamaja Tantra,Chakrasamvara Tantra. Agai,I say,Lowassa alifika watu wakasahau kuuana.

What was I talking about? Ah,yes,huyu Ndugai alikuwa overrated. I noticed this alivyokuwa Moshi kanisani katika ibada ya kumuombea Mengi.

Sasa watu wanakwama,hasa katika business ya state police,kwa sababu vyama vya upinzani wanalazimika kuviita terrorist organizations,for the purpose of mantaining security.
 
Angalia big picture usiangalie hizo variations ndogo za mwaka 2020 versus 2022. Kimsingi Pascal Mayalla kaupiga mwingi sifa zake tumpatie bila choyo. Wengi humu tunaandika lakini hatuko VERIFIED kama Pascal
Kuupiga mwingi ni maneno yenye maana gani?
Paskali amenyea mbingu kwenye hesabu haiwezekani jibu liwe 7 wewe upate tano eti tuseme umejitahidi

Ni sawa na Lema tu
 
Atakuwaje wakujitegemea wati anategemea CCM???? ushahidi ni ile kura moja ya mjumbe kwenye kura zamaoni.

You are a very shallow minded person. Hapo utakuwa wanachama wa Chama tofauti na tena Wale wasiolewa hata Siasa Ni mchezo wa kugombania kiti, na hivyo haifanyi watu wasiendelee na mengine.
 
Back
Top Bottom