Pascal Mayalla; Hongera kwa kushinda vita dhidi ya Ndugai

Pascal Mayalla; Hongera kwa kushinda vita dhidi ya Ndugai

You are a very shallow minded person. Hapo utakuwa wanachama wa Chama tofauti na tena Wale wasiolewa hata Siasa Ni mchezo wa kugombania kiti, na hivyo haifanyi watu wasiendelee na mengine.
you're an imbecile... your man is quite irrelevant as of now
 
View attachment 2093199


Hapo ni April 2018. Kwangu nililiona hili kama ni personal vendetta dhidi ya uhuru wa habari na dhidi ya mwandishi mbobezi Bwana Pascal Mayalla japo mpaka leo hajawahi kutujuza ni nini kulikuwa matokeo ya kikao hicho. Tunajuwa kimoja tu kuwa walikukatia biashara zako za PPR kwenye sekta mbali mbali za umma.

Kwangu Mimi niliona yafuatayo;
1. Hukupoa kumkosoa Job Ndugai hata baada ya kikao hicho.

2. Ulitabiri kuwa Job Ndugai asingekuwa Spika 2020-25, na imetokea

3. Wewe ni MSHINDI wa vita aliyoanzisha Ndugai akitumia nafasi yake kama Spika wa Bunge dhidi yako raia usiye na madaraka wala silaha zaidi ya ubongo wako na kalamu.

Mapendekezo;
1. Kusanya nyuzi zako zote, hariri ziwe kitabu. Zitakuja saidia kizazi kijacho kwenye Elimu ya utawala Bora, Udikteta wa Bunge na madhira ya uandishi wa habari

Nawasilisha
Paskali ni kiboko, yaani sijui anapataje hizo habari. Kasema Magu atakuwa rais, akasema Samia atakuwa, halafu akawa, akasema Lema atakimbilia Canada ikawa, akasema Spika au subwoofer atafukuzwa na ikawa, akasema yule Tulia, atakuja kutulia pale kwenye bunge, sasa anakuja kuwa.
 
Paskali ni kiboko, yaani sijui anapataje hizo habari. Kasema Magu atakuwa rais, akasema Samia atakuwa, halafu akawa, akasema Lema atakimbilia Canada ikawa, akasema Spika au subwoofer atafukuzwa na ikawa, akasema yule Tulia, atakuja kutulia pale kwenye bunge, sasa anakuja kuwa.
Tabia za Ndugai zilionyesha
 
Paskali ni kiboko, yaani sijui anapataje hizo habari. Kasema Magu atakuwa rais, akasema Samia atakuwa, halafu akawa, akasema Lema atakimbilia Canada ikawa, akasema Spika au subwoofer atafukuzwa na ikawa, akasema yule Tulia, atakuja kutulia pale kwenye bunge, sasa anakuja kuwa.
Pascal Mayalla Kwanza ni mtoto wa aliyewahi kuwa kachero wa Usalama wa Taifa, amekulia humo humo na anafahamu kupanda na kuteremka kwa watu wengi.

Pili ni msomi wa sheria na mwandishi wa habari na ana utulivu wa akili.

Tupende tusipende yeye ni kati ya magwiji wachache wa JF
 
Pascal Mayalla Kwanza ni mtoto wa aliyewahi kuwa kachero wa Usalama wa Taifa, amekulia humo humo na anafahamu kupanda na kuteremka kwa watu wengi.

Pili ni msomi wa sheria na mwandishi wa habari na ana utulivu wa akili.

Tupende tusipende yeye ni kati ya magwiji wachache wa JF
Wakati mwingine tunamzodoa tu na kumtolea maneno machafu. Ila Paskali ni moja ya vichwa vizuri hapa kwenye jamiiforums. Ni analyst mzuri sana, hana papara wala hasira, yaani ni mtulivu. Bravo kaka Paskali
 
View attachment 2093199


Hapo ni April 2018. Kwangu nililiona hili kama ni personal vendetta dhidi ya uhuru wa habari na dhidi ya mwandishi mbobezi Bwana Pascal Mayalla japo mpaka leo hajawahi kutujuza ni nini kulikuwa matokeo ya kikao hicho. Tunajuwa kimoja tu kuwa walikukatia biashara zako za PPR kwenye sekta mbali mbali za umma.

Kwangu Mimi niliona yafuatayo;
1. Hukupoa kumkosoa Job Ndugai hata baada ya kikao hicho.

2. Ulitabiri kuwa Job Ndugai asingekuwa Spika 2020-25, na imetokea

3. Wewe ni MSHINDI wa vita aliyoanzisha Ndugai akitumia nafasi yake kama Spika wa Bunge dhidi yako raia usiye na madaraka wala silaha zaidi ya ubongo wako na kalamu.

Mapendekezo;
1. Kusanya nyuzi zako zote, hariri ziwe kitabu. Zitakuja saidia kizazi kijacho kwenye Elimu ya utawala Bora, Udikteta wa Bunge na madhira ya uandishi wa habari

Nawasilisha

Hapo mwisho kwenye mapendekezo umekosea sana.Ndio maana mnauziwa vijarida halafu mnasema vitabu
 
Back
Top Bottom