Damian J Ntundagi
JF-Expert Member
- Jun 28, 2017
- 1,652
- 2,355
Aiseee!!!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jamaa ni mshamba sana sijapata kuonANaitikia wito wa kumtenga Pascal Mayalla, sitasoma Nyuzi zake, means sitachangia chochote kinachomuhusu.
#Eric Kabendera.
Yeye alikubali kuwa kibaraka ili kudhoofisha jitihada za maendeleo kwa maslahi ya nani?????Ha ha ha ha ha, Pascall Mayalla Mungu anakuona eti. Wakati bwana Erick Kafrag akipambana kutoa shombo zake kupitia gazeti la Mabeberu wewe ulikuwa busy kuzipandisha shombo zake kwa mbwembwe na nakishi za kutosha humu jamvini. Ona sasa mwenzako yuko nyavuni. Mungu anakuona bro.
Na mabeberu wana marafiki????Anapaswa kutambua kwamba Shetani hana rafiki .
Hao wanaompinga mayalla so ndo wale wale vibaraka, kila mtz mwenye nia njema na Tz hawezi ku-expose mambo ya ndani kwa maadui. Jeshini hao huwa hawana uhaiPamoja na madhaifu yote alionayo Pascal Mayalla.... Lakini kwa hili naona wazi jinsi mleta mada ulivyo na chuki ya wazi juu ya unae mtuhumu.
Kimsingi alicho kifanya Pascal Mayalla ni kupinga kwa hoja gazeti la mabeberu. Na lengo lake kubwa haikua kumuumiza Erick Kabendera, bali lengo lake kubwa lilikuwa ni kujenga hoja kwa mtazamo tofauti kwa uwezo wake wa uelewa.
Hao Unaosema Mabeberu Nao walitawaliwa vile vileNa mabeberu wana marafiki????
Baada ya kutokea huu msiba wa mama yale Eric,
Leo ndio najibu hoja za bandiko hili
PPersonal Plea Kwa Rais Magufuli: Kama ameweza kuwasamehe wabakaji, wauaji, mafisadi, wahujumu, anaweza pia kumsamehe Eric Kabendera, amzike mama yake
Wanabodi Tangu kukamatwa kwa Mwandishi wa habari za kiuchunguzi Eric Kabendera, na kukamatwa kule kukahushishwa na makala zake, na kwa vile ni mimi niliyekuwa natafsiri makala za majarida ya nje na kuzileta humu jf, hivyo nikatuhumiwa kuwa ni makala za jf ndio zimemchongea Eric Kabendera...www.jamiiforums.com
Walifika pale kwa kuthubutu na kujikita kwenye ajenda za maendeleo kama tunachokifanya sasa, sasa vibaraka hawa wanafikiri mzungu anataka tz one day tujetufanane na Australia, India n.k????? Hakuna adui anaependa maendeleo ya opponent wake. NeverHao Unaosema Mabeberu Nao walitawaliwa vile vile
Australia, India, Singapore, New Zealand, South Korea nk
Na almost same years tulipata uhuru wote
Singapore got independence 1965
Angalia walipo Sasa na Angalia Tulipo Sisi
Mind you !#
Umekua mtu wa hovyo sana paskaliBaada ya kutokea huu msiba wa mama yale Eric,
Leo ndio najibu hoja za bandiko hili
PPersonal Plea Kwa Rais Magufuli: Kama ameweza kuwasamehe wabakaji, wauaji, mafisadi, wahujumu, anaweza pia kumsamehe Eric Kabendera, amzike mama yake
Wanabodi Tangu kukamatwa kwa Mwandishi wa habari za kiuchunguzi Eric Kabendera, na kukamatwa kule kukahushishwa na makala zake, na kwa vile ni mimi niliyekuwa natafsiri makala za majarida ya nje na kuzileta humu jf, hivyo nikatuhumiwa kuwa ni makala za jf ndio zimemchongea Eric Kabendera...www.jamiiforums.com
Nashangaa sana aiseeKama kosa lake ni kuchambua tu Makala, haumtendei haki, Ana haki hiyo kama mwandishi!
Kwann lawama kwa Pascal???? Yeye alijaribu kueleza na kutafsiri report, waliyotafuta aliyenyuma ya hiyo report ndiyo labda muwalaumu japo na wao wametimiza yao. Tufike mahali sisi kama wanahabari tusizitumie karamu zetu kuleta machafuko kwa nchi zetu hasa AFRICA
Amekua mtu wa hovyo sana paskaliKwann lawama kwa Pascal???? Yeye alijaribu kueleza na kutafsiri report, waliyotafuta aliyenyuma ya hiyo report ndiyo labda muwalaumu japo na wao wametimiza yao. Tufike mahali sisi kama wanahabari tusizitumie karamu zetu kuleta machafuko kwa nchi zetu hasa AFRICA
Hili ni somo kwa wanaopenda udalali Wa namna hii, usiuze nchi kwa kipande cha mkate.Kabendera simuonei huruma. Kama aliyafanya haya, alijua na consequences zake. Hivyo, azikabili. Julian Assange mpaka leo kajificha kwenye Ubalozi wa Honduras nchini Uingereza. Snowden hawezi kurudi kwao Marekani. Sitaki kumzungumzia Kashoggi.
Asipo soma inamaana kaiogopa nondo za nayalla. We mayala wachane tu! Huyu mnaweza kumlaum lakini hata kama nikweli huwezi jua kaliokoa taifa ktk mambo muhim kuliko kabendera kuwa gerezani, kumbukeni magenge km haya yalisababisha tupoteze vijana wetu wa police kule kibiti, ndg na jamaa pia waliuawa sasa hoja ya kumteteakabendera mgeiacha hamjui serikari imetumia garama gani kumnasa.kwa kufanya hivyo, unadhani utakuwa umempunguzia nini labda...tuanzie hapo kwanza.