amtoni mwaihesya
Member
- May 31, 2019
- 86
- 86
Hata ingekuwa serkali ni ya Chadema, bado Tume isingeonekana huru kwa sababu mwenyekiti huteuliwa na mgombea au na Rais wa serkali ya Chadema.Aidha time si huru kwa SBB wakurugenzi huteuliwa na Rais ambaye pia ni mgombea,pia ndo Hugo huyo anawapa nyenzo zote za kufanyia kazi.Nadhani hapo ndo penye matatizo.
Hii ni baada ya majibu ya suala alouliza ikulu