Pasco Mayalla ana vielement vya unabii afungue kanisa

Pasco Mayalla ana vielement vya unabii afungue kanisa

hili andiko nililisoma na hapo ndipo naungana na yule bwana aliyesema yawezekana ukawa na vielement vya u prophetic ama ukawa special department nakumbuka mwaka huo 2015 CCM walipokuwa wanafanya vetting ya nan
atakayepew bendera yao ya kupeperusha nilikuwa dodom kuna rafiki yan gu yupo hicho kitengo cha siri kabla ya magufuli kutangazwa kuwa ndiye mshindi pale yule bwana asubuhi kabla ya tukio ananiambia idadi ya kura zilizopigwa kura zilizoharibika na mwenda zake kashinda kwa kura kiaszi gani sikumuamini nafkiri mida ya mbili ama tatu alirudi tena nyumban akiwa ametokea ukumbini kule tena kaacha watu wanapiga kura kaja tukawa tunatazama naye runinga huku anacheka Mkuu Mayala nilishangaa sana yule bwana data alizonipa kura zinatangazwa ni vile vile nilichoka kwa kweli kumbe hawa undercover wanafanya kazi za ccm Mkuu
Sio undercover, CCM ni dola!. Sasa tukiwaambia watu humu ukweli mchungu kuwa CCM itatawala milele, hawaamini na kunibeza!. Kupata maendeleo ya kweli, Watanzania ni lazima tujifunze kuukubali ukweli!. Hili la CCM kutawala milele ni kweli!.
P
 
Brother you are the master of your destiny mtu kusemasema haimaanishi anaweza kuingia ndani yako na kuumba atakacho, you have keys of your life.
Watu wa aina hii(scoffers) wapo na faida yao kwa watu imara kama wewe ni kuzidi kuimarika mara dufu. Mtu ameshikilia njaaa...njaaa...haleti hoja ya maana..
Mpuuzie tu.
Mkuu Victor Mlaki , thanks for encouragement. Wengine wakiniita njaa I don't mind I just Ignore them, kwasababu tumekutana tuu humu JF, but not FaizaFoxy , huyu ananijua over and above JF, ananijua tangu nikiwa mshamba kutoka kijijini, naingia mjini, walioniingiza mjini ni kaka zake, mwezi Mtukufu tunafuturu kwao!. Huyu sio mtu wa wa kuniombea majanga, huyu anapaswa kuwa ni mtu wa kuniombea heri.
P
 
Alafu nilikuona Geita kupitia TBC 1, vipi yule dada mwenye shepu yake alipona kweli? Maana alikuchanganya sana 😀😀😀
Duh...!, kumbe uliiona ile Sancho ya Geita!, uliniona kupitia TV gani?, maana nilikuwa natumia vituo vitano vya TV!.

Ila kiukweli kabisa mimi dhaifu sana kwenye mambo hayo , pona yake ni baada ya kunieleza yuko single na hana mtu!, sisi ni wale walaji wa vifunikavyo vyaliwa!, vyaachwa vilo wazi, hivyo now niko near 60, nakula kwa macho tuu, ila ingekuwa enzi zangu zile!, pale haponi mtu!. Kiukweli kabisa mimi napenda sana misosi kula vyakula vizuri, na kama ni kula, kiukweli nimepiga sana misosi!. Uliwahi kula vyakula gani kutoka sehemu mbalimbali Duniani ukafaidi?
P
 
Duh...!, kumbe uliiona ile Sancho ya Geita!, uliniona kupitia TV gani?, maana nilikuwa natumia vituo vitano vya TV!.

Ila kiukweli kabisa mimi dhaifu sana kwenye mambo hayo , pona yake ni baada ya kunieleza yuko single na hana mtu!, sisi ni wale walaji wa vifunikavyo vyaliwa!, vyaachwa vilo wazi, hivyo now niko near 60, nakula kwa macho tuu, ila ingekuwa enzi zangu zile!, pale haponi mtu!. Kiukweli kabisa mimi napenda sana misosi kula vyakula vizuri, na kama ni kula, kiukweli nimepiga sana misosi!. Uliwahi kula vyakula gani kutoka sehemu mbalimbali Duniani ukafaidi?
P
"Vifunikavyo Vyaliwa, Vyaachwa viliowazi"

We mzee wewe...
 
Kuna nchi moja nilikutana naye nadhani hapa mr Mayalla ndo ulikuwa unamfuatilia nyumba ndogo yako yule alosoma Urusi u daktari kitu Kama hicho 😎 Pascal Mayalla joking 🙃
Mkuu Britanicca, ile ya Urusi, Rostov on Dhow ilianzia Jeshini JKT Makotupora, ndio ilikuwa nyumba kubwa!. Alikwenda Urusi for medicine, 7 years with promises nita wait!,.Nikiwa Chuoni huku nasubiria, data za kukatishana tamaa zikaanza kushuka kuwa kwa baridi ya Rostov, full time barafu, mtu hawezi kupiga 7 years bila bila!, itaganda na kugeuka barafu!, lazima ipashwe!.

Huku class kuna kabinti kamekufa, kameoza!, Ile kumaliza tuu chuo ni fasta altareni!.
P
 
Nabii wa walevi
Mkuu Nurain , ili uweze kuisikia the Voices from within, lazima ama ujue ku meditate, ukiwa kimya kabisa, body mind and soul is at complete rest, kinywaji kinanifanya nakuwa very relaxed. Hivyo ni kweli mimi ni mtembeaji mzuri nikitembea na Joni Mtembezi wa lebo nyeusi. Nitafungua the first online church!.
P
 
wengine hatumjui huyo mayala, mngeweka picha yake humu
Mkuu Blood of Jesus, if hatujuani kwa majina, kwa kwa sura wala kwa picha, tunajuana kwa hoja tuu. Kama ilivyo kanuni ya name calling, hata ukimjua Bladi Ofu Jizasi ni nani in real name, huruhusiwi kumtaja, mimi ni verified member humu ila hata kama kuna watu wananijua na wanazo picha zangu, hawaruhusiwi kuweka na kusema huyu ndiye Mayalla, humu JF huhitaji kumjua mtu yoyote, kwasababu hatujadili watu, tunajadili hoja.
P
 
Hii nchi ya hovyo sana, eti watu kama Garson Msigwa ni maafisa habari wakubwa serikalini lakini Mayalla ni nobody...khaa!.
Mkuu goodluck5 , this is where Watanzania misses the point, wanasoma ili waajiriwe, wakihitimu na kukosa ajira wanalalamika hakuna ajira wakati kuna vitu chungu mzima vya kufanya!.

Hivyo kwao ili mtu uwe ni somebody lazima uajiriwe serikalini au uteuliwe!. No!. Everybody and everyone is somebody! sio mpaka ateuliwe au aajiriwe serikalini!.
P
 
Yeye mwenyewe ndio aliharibu njia yake...watu wakaamua kumharibia.....

We fikiria alikuwa anaomba hadi chupi kwa wakubwa.......hadi mama wa watu anampigia magoti asiandike habari zake.....anamuomba miguu. Lazima wamzibie kupenyaa
Ni kweli, mimi sio malaika na hakuna mkamilifu!.
P
 
Back
Top Bottom