Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kilo moja ya mawe na kilo moja ya pamba ipi nzito kubeba?Hivi jamani Passo ikiwa kwenye speed ya 80km/h inakuwa sawa na V8 ikiwa kwenye speed hiyo hiyo au kuna tofauti? Cse magari madogo mengi ni 180KMh, sawa na haya magarri yetu SUVs.
Sasa tofauti ni wapi?
Acha ujinga.Msukuma aliyezaliwa mwaka 1990 na Mchaga aliyezaliwa mwaka 1990 nani kati yao atakuwa na umri wa miaka mingi?
Tofauti kubwa iko katika jinsi magari hayo yanavyohisi na kufanya kazi kwenye mwendo huo wa 80km/h. Gari dogo kama Passo linaweza kuhisi kasi zaidi, huku V8 inaweza kuonekana kuwa na utulivu zaidi kwenye kasi hiyo.Hivi jamani Passo ikiwa kwenye speed ya 80km/h inakuwa sawa na V8 ikiwa kwenye speed hiyo hiyo au kuna tofauti? Cse magari madogo mengi ni 180KMh, sawa na haya magarri yetu SUVs.
Sasa tofauti ni wapi?
Tofauti kabisa kutokana na ukubwa wa tyre rotationHivi jamani Passo ikiwa kwenye speed ya 80km/h inakuwa sawa na V8 ikiwa kwenye speed hiyo hiyo au kuna tofauti? Cse magari madogo mengi ni 180KMh, sawa na haya magarri yetu SUVs.
Sasa tofauti ni wapi?
Ngoja boieng aje kutujibuHivi jamani Passo ikiwa kwenye speed ya 80km/h inakuwa sawa na V8 ikiwa kwenye speed hiyo hiyo au kuna tofauti? Cse magari madogo mengi ni 180KMh, sawa na haya magarri yetu SUVs.
Sasa tofauti ni wapi?