mbota
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 1,054
- 585
Mkuu hata Rav4 new model?RAV 4 yote yanagonga gonga tu...
Poor design
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu hata Rav4 new model?RAV 4 yote yanagonga gonga tu...
Poor design
X-trail watu huwa wanaikosea sana! Hawafanyi service kwa wakati halafu wanalalamika!! Usipoifanyia service kwa wakati hesabu maumivu ya kufa MTU!! Ila ukiifanyia service kwa wakati hutakaa ujuta kuwa na X-trail!Gari nyingine zinazosumbua ni Nisan extril
Rav 4 new model ni habari nyingine kabisa!! Safi sana!Mkuu hata Rav4 new model?
Kweli mkuipasso ni gari za akina mama kwenda sokoni,saloon n.k.
Sasa ww mwanaume mzima na kitambi unakalia passo lazima kibume tu.
Hahahah nyieKama ni hivyo basi, hata mimi najipanga kununua Scania mwezi ujao.
Kila mtu ana uhuru wa kutoa maoni yake na kila kitu kinawezekana.
Duuuh,,,,,,Mimi nilikasukuma mwaka Jana kalinisumbua sanaMimi natumia Nissan murano no stress
Hahaaa[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji125] kumbe na wewe umeshtukia aiseee, Uzi huu kila MTU wa jf ana gari.Mm nilikuwa na baskeli aina ya swala ilinusumbua Mara pedal zipinde, Mara uskani ulegee nikaona huu ni ufala nikaamua kumgawia uncle
Kwa sasa nmechukua Phonex new model napeta tu
Sasa wewe unanunua kagari halafu unaendesha hovyo, shimo zote unadunda unategemea hiyo gari itadumu? hizo shock up zimepimwa kwa numbers of suspension...nunua heavy duty suspension...Wana jf,
Katika magari mabovu passo na kilitime rav4 zinaongoza kuharibika reki End na shock Up za mbele, niliagiza passo kukabiriana na hali ya mafuta, lakini gari hili baada ya miezi mitatu ikaanza kugonga nikapeleka kwa fundi nikaambiwa ninunue full staring system ambayo used ni laki 3, sikutaka used nikaenda Toyota nikaambiwa laki tano. Fundi kaniambia nisisumbuke kwani hii inajazwa na inatulia, kweli ikatulia mwezi, Kwa sasa ni mbovu kuliko mwanzo. Mwenye uzoefu na spare nafuu anisaidie vyuma vimetaiti.
Pambana na hali yakoHuu Uzi kila MTU ana gari au magari kabisaa, utasikia nilikuwa na kluger nimeuza nikanunua v8 [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] utashangaa member karibia wote isipokuwa wewe tu ndiye huna gari[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
passo zina shida sana.. mimi nilikuwa ninako ila imebidi nikauze na kununua escudo
Yes hizi miss tanzania ya mwaka 2006-2008Mkuu hata Rav4 new model?
Jamaa umenikumbusha mbali. jirani yetu alikua na GAZEBO lakini sie tulikua na phoenix na avon. nenda rudi lakini baiskeli ni phoenix old model mchina aliumiza kichwa.Mm nilikuwa na baskeli aina ya swala ilinusumbua Mara pedal zipinde, Mara uskani ulegee nikaona huu ni ufala nikaamua kumgawia uncle
Kwa sasa nmechukua Phonex new model napeta tu