Samwel Ngulinzira
JF-Expert Member
- Aug 5, 2017
- 1,829
- 1,972
umeongea point mkuu unakuta gari imetembea kilometa 60,000 japan lakini haijapata shida lakini ikija bongo kilometa 2000 tu gari hoi. barabara zetu haziendani na haya magari coz unakuta ground clearance ni ndogo halafu gari inapita kwenye matuta na mashimo ya hatariiiKuna baadhi ya magari hua yanapata shida sana kweke kuhimili huu ubovu wa 'barabara' zetu....zimekua designed for njia za japan huko mijini (njia nzuri uki compare na za kwetu) ...Ni vizuri ukanunua mpya ukafunga at least unaweza kaa nayo kwa mda mrefu zaidi
Hahahahahaha nimependa sana hili swali.Mkuu hata Rav4 new model?
Mkuu tufanye biashara,niuzie mimi hiyo passoWana jf,
Katika magari mabovu passo na kilitime rav4 zinaongoza kuharibika reki End na shock Up za mbele, niliagiza passo kukabiriana na hali ya mafuta, lakini gari hili baada ya miezi mitatu ikaanza kugonga nikapeleka kwa fundi nikaambiwa ninunue full staring system ambayo used ni laki 3, sikutaka used nikaenda Toyota nikaambiwa laki tano. Fundi kaniambia nisisumbuke kwani hii inajazwa na inatulia, kweli ikatulia mwezi, Kwa sasa ni mbovu kuliko mwanzo. Mwenye uzoefu na spare nafuu anisaidie vyuma vimetaiti.
Hivi kama we ni mtu wa Lami tu hizi gari kumbe zinadumu sana hutaumiza kichwa kuchaguaumeongea point mkuu unakuta gari imetembea kilometa 60,000 japan lakini haijapata shida lakini ikija bongo kilometa 2000 tu gari hoi. barabara zetu haziendani na haya magari coz unakuta ground clearance ni ndogo halafu gari inapita kwenye matuta na mashimo ya hatariii
Mkuu hata Rav4 new model?
New model kwako ni kuanzia mwaka gani mkuu?
Sent from my iPhone using JamiiForums
Ni gari imara ila siyo comfort.Vipi kuhusu uimara wa Suzuki swift
Kaka defender uliipata kwa tsh. ngapMm baada ya kuona napata gharama za matengenezo na barabara zetu .....nikapiga moyo konde liwalo na liwe nikanunu defender [emoji3]
New model ya 2019 au 18Mkuu hata Rav4 new model?
Inamaana suspension za sport hazi absorb shocks.. Vipi zile gari za sport zinazokimbia offroadCha msingi ni kununua gari sahihi kwa matumizi sahihi. Rav4s zimetengenezwa kutumika kwenye barabara nzuri (on-road vehicles). Hata ile AWD yake lengo ni kusaidia kwenye snow tu na wala sio kwenda off-road. Sasa sisi uendeshaji wetu, na barabara zetu mara nyingi ni changamoto kubwa. Ukizingatia suspension set up ya Rav4 ni sporty kidogo, ndoa maana nyingi sio comfortable kivile ukiwa kwenye roughroad, so uwezo wake wa kuabsorb shorks za kwenye rough road ni kidogo. Ila ukijua matumizi yake, kidogo haitasumbua saana. Paso kwa kweli sina uzoefu nazo, ila kwa jinsi kalivyo kadogo, nafikiri hakafai kabisa kuwa molested.
Tukisema sport suspension, hatumaanishi gari za mashindano. A sport-tuned suspension inakuwa ngumu, kwa Kiswahili rahisi ni kwamba haibonyei sana kama normal suspension. Hii inasaidia saana kama unaendesha gari kwenye race track au barabara zenye kona. Inapunguza body roll, handling inakuwa nzuri, hata steering inakuwa ngumu na mara nyingi zinakuwa chini sana. Hivyo ile wheel travel inakuwa ndogo.Inamaana suspension za sport hazi absorb shocks.. Vipi zile gari za sport zinazokimbia offroad
Mkuu isipoabsorb shock handling itakuaje rahisi?Tukisema sport suspension, hatumaanishi gari za mashindano. A sport-tuned suspension inakuwa ngumu, kwa Kiswahili rahisi ni kwamba haibonyei sana kama normal suspension. Hii inasaidia saana kama unaendesha gari kwenye race track au barabara zenye kona. Inapunguza body roll, handling inakuwa nzuri, hata steering inakuwa ngumu na mara nyingi zinakuwa chini sana. Hivyo ile wheel travel inakuwa ndogo.
Sasa inapokuwa ngumu, huwa haiwezi ku absorb shocks kama suspension ya normal au comfort. Kama umeshaendesha gari kama Altezza, au BMW3 series au Crown Athlete ukaweka sport mode utanielewa vizuri. Ukipita kwenye bonde unalisikia zaidi, hata ya Corolla. Ndio maana most people wanasema sport cars ziko uncomfortable sababu hawaelewi suspension zimekuwa tuned hivyo kwa malengo maalumu. Hizo gari unazosema wewe mfumo wake wa suspension ni tofauti. Maana handling sio lengo lake. Pia ni extremely uncomfortable humo ndani. Japo suspension zake sio sporty, maana zinatakiwa ku absorb bumps za kutosha.
Mbona hapo juu nimeeleza kwa kirefu. Kwanza sijasema kwamba haiabsorb kabisa, nimesema ina absorb kidogo kulinganisha na normal suspension.Mkuu isipoabsorb shock handling itakuaje rahisi?
Ni katika kuuliza ili kufaham mkuu..Mbona hapo juu nimeeleza kwa kirefu. Kwanza sijasema kwamba haiabsorb kabisa, nimesema ina absorb kidogo kulinganisha na normal suspension.
Ina handle vizuri sababu ina kuwa kama imekumbatia barabara which means inakuwa haina body rolls. Ina absorb kidogo sababu ina wheel travel ndogo kuliko normal suspension, na inakuwa ngumu. So hainepi nepi saana. Kwa kweli, kama hujaelewa mpaka sasa, mpaka uendeshe sport cars ndio utanielewa vizuri.
ππππππpasso ni gari za akina mama kwenda sokoni,saloon n.k.
Sasa ww mwanaume mzima na kitambi unakalia passo lazima kibume tu.
Okay, unajua sport cars, lengo lake kubwa ni kufurahia kuendesha. Ndio maana zinaitwa drivers cars, kuliko kutoa comfortability. So, ili kupata that feeling ya kuwa connected na barabara, kuna vitu huwa vinafanyika kwenye tuning ya gari. Kwanza kabisa, lazima urefu au height ya gari iwe lowered. Ndo maana unaona gari kama BMW 3 Series ziko chini. Kina Ferrari, Lamborghini hizo siongelei kabisa, maana ni kama zinagusa barabara kabisa.Ni katika kuuliza ili kufaham mkuu..