Huu ni uleule uvivu wa kufikiri
Rwanda ni mkoa na tz ni nchi tofautisha kwanza population ndio uhoji.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Rwanda ni mkoa na tz ni nchi tofautisha kwanza population ndio uhoji.
Sipati picha utavyorudishiwa pale getini wanapotolea visitors card, shauri ako.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nita wa surprise hadi wafurahi.
Sasa hivi inapatikana kirahisi sana kuna jamaa yangu kaipata kwa siku zisizozidi 14 tu ukiwa na viambatanishi vyote.
Alienda na mazaga yote alikuwa kavaa mavazi ya wale wenye digrii ine wakawa wanamuuliza unafanya kazi wapi? Akawajibu ni muuza machungwa tu jamaa hakusumbuka sana mzee ni mbishi sana jamaa.Muulize siri ya mafanikio
Kama ni natokea huku Bara naweza kwenda kuchukua kwa huko zenji?
No Mimi yangu niliomba nikaisubiria wiki tatu ikawa kimya ikanibidi niende makao makuu nikawaonyesha visa yangu iliyoandaliwa kwa kutumia passport ya zamani,baada ya hapo kesho yake nikaenda kuichukua passport yangu.Huwezi kukata ticket bisa pass na visa.
Hata uwe navyo uhsmiaji wana uwezo wa kukataa vyote kwani ni waamuzi wa mwisho
Nje ya mada,
Huko uhamiaji bado wana ujinga wa kufatilia mavazi na kurudisha watu?
Akiwa na nyaraka zote zinazohitajika akifika uhamiaji makao makuu ndani ya diku tatu anapata hiyo passport kwa sasa hakuna ukiiritimba wala rushwa za kizembe nina uhakika kwa 100% mifumo iliyopo na watendaji wanafanya viziri sana, mimi, mke wangu na watoto wawili tumekamilisha na kupatiwa passport ndani ya siku tatu, sikuwa namjua mtu pale wala sikutoa ya brash hata kumi. Nawapongeza sana wale watumishi walionisikia na kunihakikishia kupata kwa haraka tena walisisitiza usitoe rushwa hii ni haki yakoUtaibiwa kijana sasa hivi
Passport inakaa miaka mingap
YapAkiwa na nyaraka zote zinazohitajika akifika uhamiaji makao makuu ndani ya diku tatu anapata hiyo passport kwa sasa hakuna ukiiritimba wala rushwa za kizembe nina uhakika kwa 100% mifumo iliyopo na watendaji wanafanya viziri sana, mimi, mke wangu na watoto wawili tumekamilisha na kupatiwa passport ndani ya siku tatu, sikuwa namjua mtu pale wala sikutoa ya brash hata kumi. Nawapongeza sana wale watumishi walionisikia na kunihakikishia kupata kwa haraka tena walisisitiza usitoe rushwa hii ni haki yako
Mimi nimepata ndani ya siku moja Makao Makuu Uhamiaji hapa DarWakubwa hivi eti inawezekanaje Rwanda passport kutolewa ndani ya siku 3,watz tunakwama wapi
Wanataka mavazi gani labda?Bado wanaendelea Kuna siku niliona wamemzuia dada mmoja alivaa nguo ya kubana wakamrudisha,na siku nyingine Kuna brother mmoja alivaa suruali nyepesi Kama za kulalia naye walimrudisha.
Gharama ya jumla ni Sh. ngapi kupata epassport?Mimi e-passport niliipata ndani ya siku mbili. Muhimu ni kua na makaratasi wanayohitaji baasi.
WAPE MWONGOZO MKUU.
Muulize pesa aliyoitumia mpaka kuipata.Sasa hivi inapatikana kirahisi sana kuna jamaa yangu kaipata kwa siku zisizozidi 14 tu ukiwa na viambatanishi vyote.
Vipi kwa watu wa mikoani,Mimi nimepata ya kwangu bila ya msaada wa mtu yeyote kwa wiki 1 acha uoga andaa doc zako uende usisikilize maneno ya watu.sasa passport inapatikana kwa week moja tu mtu anaweza akajifanya kakusaidia kumbe imetoka kihalali kabisa
Sikufuatilia sheria zao zinasemaje isipokuwa niliona tu wanaowatoa nje ni wanawake waliovaa suruali na wanaume waliovaa suruali laini zile traki suti.Wanataka mavazi gani labda?
Well saidBongo nchi ya kishamba sana kwenye ukanda wetu ,wanadhani passport ndio mwisho kumbe kuna Visa/Resident permit ya huko uendako.