Passport ya Tanzania inaweza kukupeleka nchi 72 bila kulipia Visa. Iko nafasi ya 77 duniani kati ya nchi 195

Passport ya Tanzania inaweza kukupeleka nchi 72 bila kulipia Visa. Iko nafasi ya 77 duniani kati ya nchi 195

Tanzania passport imeongezewa nguvu duniani sasa mmiliki anaweza kudhuru Jumla ya nchi 72 duniani toka nchi 67 mwaka wa Jana bila kulipia " VISA " hakika hakuna kama Rais Samia...
Tuache kudanganyana.. Hizi data huwa mnazitoa wapi?. . Hakuna reference. Tuwe tunaenda kisomi angalau.
Screenshot_20220107-211642_Chrome.jpg


Screenshot_20220107-211642_Chrome.jpg
 
Kama mambo ndio haya basi Tanzania kama kuna wakati tumepata Rais bora na wa kweli nadhani ni sasa,Tufanye kazi kwa bidii sana,

Hakika huyu Mama ni Mpango wa Mungu,

#WATANZANIA TUFANYE KAZI KWA BIDII
 
Tunataka Uchumi bora unaogusa hadi raia wa kijijini kule Katerero,mkulima wa migomba naye aone kweli Uchumi umeboreka,sio ishu za Passport;Bila Uchumi bora passport hazina maana,tutaenda nje kufanya nini sasa?
Uwasalimie wote wa Kyetema,Bujugo,Kanyangereko,Kemondo,Burila,Kanazi,Barabarampya na Katerero yenyewe.
 
Mimi mtanzania wa kawaida hizo passport zinanisaidia nini,wekezeni kwenye mambo ya msingi,mazingira wezeshi kwa sisi machinga,tupate na sisi makate wa kila siku
 
" Kwa mwendo huu Tanzania tutafika tunakotaka kwenda tena kwa kuwahi sana, Hongera Mama Samia, Watanzania tuko nyuma yako We chapa kazi achana na Wasio na jema "
 
Okay....

Ila better still bei ya mkate, sukari na pembejeo singeshuka bila kusahau umeme wa uhakiki ingekuwa more valuable kuliko kuondolewa bei ya VISA

Hizo ViSA tungelipa tu..., baada ya kusave kwenye sukari
 
Hakika
Tunataka Uchumi bora unaogusa hadi raia wa kijijini kule Katerero,mkulima wa migomba naye aone kweli Uchumi umeboreka,sio ishu za Passport;Bila Uchumi bora passport hazina maana,tutaenda nje kufanya nini sasa?
 
Back
Top Bottom