Passport ya Tanzania inaweza kukupeleka nchi 72 bila kulipia Visa. Iko nafasi ya 77 duniani kati ya nchi 195

Passport ya Tanzania inaweza kukupeleka nchi 72 bila kulipia Visa. Iko nafasi ya 77 duniani kati ya nchi 195

Tanzania passport imeongezewa nguvu duniani sasa mmiliki anaweza kudhuru Jumla ya nchi 72 duniani toka nchi 67 mwaka wa Jana bila kulipia " VISA " hakika hakuna kama Rais Samia.

Ujio wa Rais Samia Suluhu umevileta karibu karibu kila kitu kuwa rahisi sana kuliko wakati wowote wa Uhai wa Taifa hili,

Rais Samia katika ujenzi wake mpya wa diplomasia ya kimataifa kwa miezi hii michache tumeshuhudia mabadiliko makubwa mbalimbali ya kiuchimi, kidiplomasia,kidemokrasia,Utawala wa sheria,Uhuru wa habari na wanahabari na mengine mbalimbali,

Kitendo hiki kimemfanya Rais wetu haraka akubalike na dunia ndio maana majuzi tumeshuhudia Sweden ikitupatia Tshs 196BL kwaajili ya EPforR ilizosita kutupatia mwanzoni pia tumeshuhudia International monetary Fund ( IMF ) ikitupatia mkopo wa bila riba ( interest free loan ) ya Jumla ya bilioni elfu moja na mia tatu au Tshs 1.3trl,Haya ni matunda ya moja kwa moja ya Rais Samia Suluhu Hassan,

......KAZIIENDELEE......

==============================

The Tanzanian passport has ranked 77 among the world's most powerful passports, according to the latest report which assesses the influence of global travel documents.
According to research conducted by Henley site, the Tanzanian passport grants a holder access to 72 countries globally without the requirement of paying for a visa.

The Henley Passport Index is the original, authoritative ranking of all the world’s passports according to the number of destinations their holders can access without a prior visa. The index is based on exclusive data from the International Air Transport Association (IATA).

On the list, Tanzania is tied with Kenya on the 77 slot, with both countries having a national passport which allows a holder to gain access to 72 countries without a visa on entry.

The two East African nations are ahead of their neighbours, with Uganda coming in third at number 81 with a passport that allows its holder to enter into 67 territories visa-free. Rwanda is 87 with holders of its passport gaining entry into 61 countries without a visa, while Burundi is placed 97 with 51 countries globally accepting holders of its passport to enter without visa payment. Zambia is ranked 78, a slot behind Tanzania with access to 71 countries without a visa. While the DRC is 106 with access to 42 countries.
Taking top spot is Japan, whose passport allows a holder to enter 192 countries around the world without the need for visa payment.
Tanzania's 2021 performance has improved from the last time it was ranked back in 2018 where the national passport could only enter 67 countries worldwide without the need to pay for a visa.

Source : The Citizen
 
"Kama Katiba ingeruhusu Mhe Samia Suluhu Hassan hakupashwa kuwa Rais wa mihula miwuli pekee,

Huyu Mama walau kwa Uchache angestahili miaka walau 15 "
 
Tanzania passport imeongezewa nguvu duniani sasa mmiliki anaweza kudhuru Jumla ya nchi 72 duniani toka nchi 67 mwaka wa Jana bila kulipia " VISA " hakika hakuna kama Rais Samia.

Ujio wa Rais Samia Suluhu umevileta karibu karibu kila kitu kuwa rahisi sana kuliko wakati wowote wa Uhai wa Taifa hili,

Rais Samia katika ujenzi wake mpya wa diplomasia ya kimataifa kwa miezi hii michache tumeshuhudia mabadiliko makubwa mbalimbali ya kiuchimi, kidiplomasia,kidemokrasia,Utawala wa sheria,Uhuru wa habari na wanahabari na mengine mbalimbali,

Kitendo hiki kimemfanya Rais wetu haraka akubalike na dunia ndio maana majuzi tumeshuhudia Sweden ikitupatia Tshs 196BL kwaajili ya EPforR ilizosita kutupatia mwanzoni pia tumeshuhudia International monetary Fund ( IMF ) ikitupatia mkopo wa bila riba ( interest free loan ) ya Jumla ya bilioni elfu moja na mia tatu au Tshs 1.3trl,Haya ni matunda ya moja kwa moja ya Rais Samia Suluhu Hassan,

......KAZIIENDELEE......

==============================

The Tanzanian passport has ranked 77 among the world's most powerful passports, according to the latest report which assesses the influence of global travel documents.
According to research conducted by Henley site, the Tanzanian passport grants a holder access to 72 countries globally without the requirement of paying for a visa.

The Henley Passport Index is the original, authoritative ranking of all the world’s passports according to the number of destinations their holders can access without a prior visa. The index is based on exclusive data from the International Air Transport Association (IATA).

On the list, Tanzania is tied with Kenya on the 77 slot, with both countries having a national passport which allows a holder to gain access to 72 countries without a visa on entry.

The two East African nations are ahead of their neighbours, with Uganda coming in third at number 81 with a passport that allows its holder to enter into 67 territories visa-free. Rwanda is 87 with holders of its passport gaining entry into 61 countries without a visa, while Burundi is placed 97 with 51 countries globally accepting holders of its passport to enter without visa payment. Zambia is ranked 78, a slot behind Tanzania with access to 71 countries without a visa. While the DRC is 106 with access to 42 countries.
Taking top spot is Japan, whose passport allows a holder to enter 192 countries around the world without the need for visa payment.
Tanzania's 2021 performance has improved from the last time it was ranked back in 2018 where the national passport could only enter 67 countries worldwide without the need to pay for a visa.

Source : The Citizen
Najaribu kuwaza kwa Sauti kama sio Rais Samia Suluhu leo Tanzania tungekuwa wapi?
 
Jamani siyo Visa free. Hakuna kitu kama hicho duniani. Kilichopo ni Visa on arrival. Full stop!!
Mkuu nikienda Burundi ni visa free au visa on arrival?!
Au naomba nisaidie kwanini hakuna neno bisa free duniani
 
Kwa speed hii ya Rais Samia, Tanzania huenda ikaibua mabilionea wapya 100 miaka miwili ijayo,Tufanye kazi kwa bidii zaidi
 
Acheni uongo wa wazi nyie,hivi mtu unaibuka na liongo lako ili iweje, mtoa thread acha upumbavu mjinga mkubwa



 
Team JF,


MERRY CHRISTMAS AND HAPPY NEW YEAR 2022.

#TUENDELEE KUMUUNGA MKONO RAIS WETU,
 
Acheni uongo wa wazi nyie,hivi mtu unaibuka na liongo lako ili iweje, mtoa thread acha upumbavu mjinga mkubwa



Mbona hujautaja huo uongo?
 
Happy Boxing Day kwa hisani ya Mhe Samia Suluhu Hassan
 
Tanzania passport imeongezewa nguvu duniani sasa mmiliki anaweza kudhuru Jumla ya nchi 72 duniani toka nchi 67 mwaka wa Jana bila kulipia " VISA " hakika hakuna kama Rais Samia.

Ujio wa Rais Samia Suluhu umevileta karibu karibu kila kitu kuwa rahisi sana kuliko wakati wowote wa Uhai wa Taifa hili,

Rais Samia katika ujenzi wake mpya wa diplomasia ya kimataifa kwa miezi hii michache tumeshuhudia mabadiliko makubwa mbalimbali ya kiuchimi, kidiplomasia,kidemokrasia,Utawala wa sheria,Uhuru wa habari na wanahabari na mengine mbalimbali,

Kitendo hiki kimemfanya Rais wetu haraka akubalike na dunia ndio maana majuzi tumeshuhudia Sweden ikitupatia Tshs 196BL kwaajili ya EPforR ilizosita kutupatia mwanzoni pia tumeshuhudia International monetary Fund ( IMF ) ikitupatia mkopo wa bila riba ( interest free loan ) ya Jumla ya bilioni elfu moja na mia tatu au Tshs 1.3trl,Haya ni matunda ya moja kwa moja ya Rais Samia Suluhu Hassan,

......KAZIIENDELEE......

==============================

The Tanzanian passport has ranked 77 among the world's most powerful passports, according to the latest report which assesses the influence of global travel documents.
According to research conducted by Henley site, the Tanzanian passport grants a holder access to 72 countries globally without the requirement of paying for a visa.

The Henley Passport Index is the original, authoritative ranking of all the world’s passports according to the number of destinations their holders can access without a prior visa. The index is based on exclusive data from the International Air Transport Association (IATA).

On the list, Tanzania is tied with Kenya on the 77 slot, with both countries having a national passport which allows a holder to gain access to 72 countries without a visa on entry.

The two East African nations are ahead of their neighbours, with Uganda coming in third at number 81 with a passport that allows its holder to enter into 67 territories visa-free. Rwanda is 87 with holders of its passport gaining entry into 61 countries without a visa, while Burundi is placed 97 with 51 countries globally accepting holders of its passport to enter without visa payment. Zambia is ranked 78, a slot behind Tanzania with access to 71 countries without a visa. While the DRC is 106 with access to 42 countries.
Taking top spot is Japan, whose passport allows a holder to enter 192 countries around the world without the need for visa payment.
Tanzania's 2021 performance has improved from the last time it was ranked back in 2018 where the national passport could only enter 67 countries worldwide without the need to pay for a visa.

Source : The Citizen
Kaziindelee
 
Miradi yote iliyoachwa na Hayati Dkt John John Joseph Pombe Magufuli Rais Samia Suluhu Hassan anaitekeleza kwa 100%

Sihiyo tu tayari mingine mipya inaendelea na Ujenzi,

Tunawajibu wa kumwombea Mama huyu,
 
#2025Fever itawapotezea muda wenu bure,hakuna wakumuangusha Rais Samia Suluhu Hassan kwa kazi hizi kubwa na nzuri anazozifanya,

#KAZIIENDELEE NA MAMA
 
Hakika kama mambo yataendelea kuwa hivi Rais Samia Suluhu Hassan atashinda Uchaguzi Huru na Haki wa 2025 kwa zaidi ya 76%
 
Back
Top Bottom