Unajuaje kakaa kimya? Mbona alishatoa taarifa?Inaweza kuwa kweli passport yake imeibiwa au imepotea, Hilo analijua yeye. Lakini kitendo Cha kukaa kimya bila kutoa taarifa Hadi alipokutana na Rais na kumuomba msaada amsaidie hakijakaa vizuri.
Vinginevyo angesema amepata vipingamizi Gani na akiba nani wanamkwamisha kupata passport yake.
Nina binti ya rafiki yangu,jina lake la mwisho ni jina ambalo mwendakuzimu alikuwa na ugomvi naye.Inaelekea watu bado wanafanya kazi kama awamu iliyopita...zama zile kutoa passport kwa mtu kama Tundu Lissu ni kujitafutia kutumbuliwa tu....taratitu zinaaply kwa wananchi wa kawaida tu...
Ndo kuomba msaada kwenyewe huko.Hajamuomba Rais amsaidie, amesema amehakikishiwa kuwa atapata hati ya kusafiria... hajasema ataipata kwa namna ipi
Una uhakika hayatokei? Lissu aliomba guarantee ya usalama wake tokea Samia anaingia, Mbona hajapewa?Lissu kasema ameomba passport mpya na wamemzungusha?
Halafu, kama ulichodai ni kweli, kwa nini haya yanatokea chini ya Samia?
I conquer
Bongo noma sana,Lisu sio mjinga amuombe rais.
Lissu ni msanii tu!I conquer [emoji848]
Bongo noma sana,Lisu sio mjinga amuombe rais.
1. Hakuna mtu anayeweza ku guarantee usalama wa mtu.Una uhakika hayatokei? Lissu aliomba guarantee ya usalama wake tokea Samia anaingia, Mbona hajapewa?
Mbona hajalipwa haki zake za Bunge tokea Samia aingie madarakani?
Mbona Mbowe anateseja wakati sasa ni Samia?
Chuki zenu zinawafanya kushindwa hata kufikiri logically
Wafuasi wako bado mpoHuyo ameshakufa wewe!
Unataka wezi waeleze mbinu zao hadharani?Sijaelewa kabisa!
Tundu Lissu kasema kuwa amemuomba Rais Samia amsaidie kupata passport mpya kwa sababu aliyokuwa nayo iliibwa mwezi uliopita huko Ujerumani.
Aliyeiiba hiyo passport ni nani? Na iliibwa au yeye aliipoteza na anachanganya kupoteza na kuibwa?
Na kama iliibwa, kwa nini hilo liwe suala la Rais kumsaidia yeye aipate tena passport yake?
Kwani hakuna taratibu za kufuata pale passport yako inapoibwa au inapopotea mpaka yeye amtumie Rais kuipata mpya?
Kwa kweli kwenye hili sijamuelewa!
Mtu usalama wake ukiwa hatarini, nchi humps ulinzi. Samia alikataa kumpa ulinzi Lissu.1. Hakuna mtu anayeweza ku guarantee usalama wa mtu.
2. Samia anahusikaje na mambo ya kibunge? Masuala ya stahili zake za kibunge ni suala la mhimili mwingine. Au hatuna utenganisho kati ya mihimili yetu hiyo mitatu?
3. Kuhusu Mbowe, hilo nakubali.
Kama mange kimambi tu, ku renew hati yake ya kusafiria walimkataliaa katakataa, kuwa wizara imezuiwa kufanya hivyo , hadi awamu ya sita tena kupitia kwa rais ndio akapewa nyingine, sembuse LISU??iwe imepotea au imeibiwa vyovyote vile.Sijaelewa kabisa!
Tundu Lissu kasema kuwa amemuomba Rais Samia amsaidie kupata passport mpya kwa sababu aliyokuwa nayo iliibwa mwezi uliopita huko Ujerumani.
Aliyeiiba hiyo passport ni nani? Na iliibwa au yeye aliipoteza na anachanganya kupoteza na kuibwa?
Na kama iliibwa, kwa nini hilo liwe suala la Rais kumsaidia yeye aipate tena passport yake?
Kwani hakuna taratibu za kufuata pale passport yako inapoibwa au inapopotea mpaka yeye amtumie Rais kuipata mpya?
Kwa kweli kwenye hili sijamuelewa!
Unalinganisha hao na Lissu? Lissu iliamuluwa auawe na rais wa nchi. Ni mtu gani wa chini atakubali kumsaidia?Kuna watu walikuwa wanapinga ule mtindo watu kumlalamikia Magufuli kesi zao, walisema ni ushamba walipaswa kufuata taratibu kwa kupeleka malalamiko yao sehemu husika ila si ajabu hiki alichokifanya Lissu watakitetea.
Hilo sasa ni kazi yako kujua kiwango cha ugum wa kichwa chakoSiwezi kuwafikia nyumbu
Ukitaka kuelewa fanya jaribio la kutoa ndizi mbivu kwa wale "nyani" wanaoranda mto ruaha kuanzia daraja mbili kuelekea Ruaha Mbuyuni.Sijaelewa kabisa!
Tundu Lissu kasema kuwa amemuomba Rais Samia amsaidie kupata passport mpya kwa sababu aliyokuwa nayo iliibwa mwezi uliopita huko Ujerumani...
Ona hili nalo linamtishia nani sasa?Ninaouwezo na sema SUU hapo ulipo uangalie nitakachokufanya unaona tumo humu kwa bahati mbaya tu kwasbaabu tunaandika jumbe. Ila uache upuuzi wako nitakachkufnya usijekujakulia humu.
Ulinzi siyo guarantee ya usalama wa mtu. Hata Rais Biden wa Marekani, pamoja na ulinzi wake wote ule, bado anaweza akauwawa au kuumizwa.Mtu usalama wake ukiwa hatarini, nchi humps ulinzi. Samia alikataa kumpa ulinzi Lissu.
Samia ni business as usual kama Mwendazake tu...
Sasa kama passport ya Lissu imepotea mwezi uliopita, ambayo ni ndani ya miezi 10 ya Rais Samia, shida iko wapi? Samia naye kawaelekeza watu wa ubalozi wamfanyie figisu Lissu?Kama mange kimambi tu, ku renew hati yake ya kusafiria walimkataliaa katakataa, kuwa wizara imezuiwa kufanya hivyo , hadi awamu ya sita tena kupitia kwa rais ndio akapewa nyingine, sembuse LISU??iwe imepotea au imeibiwa vyovyote vile.
Roho mbaya gani tena mkuu mbona unaongea vitu vingine kabisa hapa? Wengine huku mtaani wanaotaka kuuliwa kama Lissu watamuonea wapi huko Samia kama alivyomuona Lissu?Unalinganisha hao na Lissu? Lissu iliamuluwa auawe na rais wa nchi. Ni mtu gani wa chini atakubali kumsaidia?
Hujui kwamba Balozi Sokione alipoteza kazi kwa kwenda tu kumsalimia Lissu hospitalini?
Acheni roho mbaya